Kuna beki kitasa Ben Chillwell ,tunaweza wapa bure piaKuna utakatishaji fedha na dili mbovu hawa wamarekani wetu na wa chelkenge wanafanya. Haya mambo hayaingii akilini.
Tuwaombee tu mema Noni na Kepa
Kuna beki kitasa Ben Chillwell ,tunaweza wapa bure piaKuna utakatishaji fedha na dili mbovu hawa wamarekani wetu na wa chelkenge wanafanya. Haya mambo hayaingii akilini.
Tuwaombee tu mema Noni na Kepa
Tupooooo 😂🤣, wamiliki wa winga MADUEKE 😂🤣Wapiga nyeeeto efusiii , mupooooo ? , aka kubwa jinga la London
Ninyi ni wachumba tu ,hamna ubavu wa kupambana na majike shupa ya timu ya wanawake ya pale Stamford Bridge ,acheni kujitoa ufahamu ,yaani Chelsea ni serial winners timu ya wanawake na wanaume ,timu yetu ya wanawake msimu huu ulioisha wamebeba trebble yaani vikombe vitatu , imagine . Ninyi timu yenu ya wanawake ni kubinua makalio tu uwanjaniLitapigwa 433 moja matata lenye Olivia, Russo na Kelly pale mbele. Yale mabio yao hakuna beki atakayoyaweza. Nyuma yao Mariona akipenyeza through balls kama Xavi... wapinzani wameisha aisee.
Na Galasa Aka pazia la Ngorika Kepa ArizabaraggaKwahyo ni kweli tumenunue ile mbuzi Madueke.
Serious kabisa au bado ni tetesi tu.
Dah ila wamiliki wa Arsenal wanazingua Sana man , yaani sikutarajia galasa kama Madueke auzwe faster vile na kwa bei ile , hawa wamarekani kuna biashara chafu wanaweza kuwa wanafanya nyuma ya paziaTupooooo 😂🤣, wamiliki wa winga MADUEKE 😂🤣
EHH, mungu nipe uhai na afya nzuri nione vituko vya arteta na madueke wake .😂🤣
Kabisa mkuuDah ila wamiliki wa Arsenal wanazingua Sana man , yaani sikutarajia galasa kama Madueke auzwe faster vile na kwa bei ile , hawa wamarekani kuna biashara chafu wanaweza kuwa wanafanya nyuma ya pazia
Madueke mzuri sana, naamini wewe ni mshabiki halisi wa Arsenal.Tupooooo 😂🤣, wamiliki wa winga MADUEKE 😂🤣
EHH, mungu nipe uhai na afya nzuri nione vituko vya arteta na madueke wake .😂🤣
Mkuu hii ni fezi ngapi?......tutegemee makombe kuanzia lini?Yes.
Huenda ingekuwa poa kukomaa na Gyokeres na Mosquera kwanza halafu tumkamate Eze na tuachane na Madueke kwanza. Hapo tungehangaika na mauzo halafu mkwanja ukipatikana tukamchukue Rodrygo hata mwezi wa 8 huko. Kama tungeshindwana bei na Madrid, basi Madueke inaonekana ingekuwa suala la kupiga simu moja tu na kumpata kwa bei chee maana Chelsea wanahitaji kupunguza kikosi chao.
Labda sasa tunataka kukamilisha madili mapema ili tuanze msimu vizuri ndiyo maana tumemchukua Noni mapema.
Madueke ni mzuri atawasaidia kwenye fezi 6 yenu. Anakoliba ya kubeba makombe makubwa cheki kwenye club World Cup amefunga magoli 15 na kusaidia Chelsea kubeba kombe. Madueke mitano tena. ArsenalTunaongeza takataka kwa kweli...
Huyu MADUEKE nimewahi kumuona mara 2 tu, na zote hizo nikaamini mie nikifanya mazoezi ni bora kuliko yeye, sasa imagine mchezaji kama huyu ndio anakuja arsenal..
Akikujibu unitaq chapLakini wachezaji wake wanatulipa vipi Joao Pedro, Caicedo, Cucurella na Sanchez unawaonaje??? Unaona hao wachezaji tumepigwa na Brighton au inabidi tuwape sadaka ya shukrani
Mchezaji ana medali ya kombe la dunia unamuitaje galasa? 😂Dah ila wamiliki wa Arsenal wanazingua Sana man , yaani sikutarajia galasa kama Madueke auzwe faster vile na kwa bei ile , hawa wamarekani kuna biashara chafu wanaweza kuwa wanafanya nyuma ya pazia
Wewe unawaongelea mabingwa watetezi wa champions league ujue? Na kuanzia msimu ujao utawala wa soka la wanawake England na Ulaya kwa ujumla unarejea rasmi kwa washika bunduki.Ninyi ni wachumba tu ,hamna ubavu wa kupambana na majike shupa ya timu ya wanawake ya pale Stamford Bridge ,acheni kujitoa ufahamu ,yaani Chelsea ni serial winners timu ya wanawake na wanaume ,timu yetu ya wanawake msimu huu ulioisha wamebeba trebble yaani vikombe vitatu , imagine . Ninyi timu yenu ya wanawake ni kubinua makalio tu uwanjani
Sasa makombe ya kichovu hayo mnaita mafanikio? Conference sisi hatukuweza kushiriki kwa sababu ni la hadhi ya chini sana hata kushiriki tulishindwa kwa sababu tulimaliza nafasi ya pili na kuingia UCL. Hilo world cup kila mtu anajua ni kombe la watakatishaji fedha wa uarabuni na marekani.Lakini wachezaji wake wanatulipa vipi Joao Pedro, Caicedo, Cucurella na Sanchez unawaonaje??? Unaona hao wachezaji tumepigwa na Brighton au inabidi tuwape sadaka ya shukrani