Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Litapigwa 433 moja matata lenye Olivia, Russo na Kelly pale mbele. Yale mabio yao hakuna beki atakayoyaweza. Nyuma yao Mariona akipenyeza through balls kama Xavi... wapinzani wameisha aisee.
Ninyi ni wachumba tu ,hamna ubavu wa kupambana na majike shupa ya timu ya wanawake ya pale Stamford Bridge ,acheni kujitoa ufahamu ,yaani Chelsea ni serial winners timu ya wanawake na wanaume ,timu yetu ya wanawake msimu huu ulioisha wamebeba trebble yaani vikombe vitatu , imagine . Ninyi timu yenu ya wanawake ni kubinua makalio tu uwanjani
 
Tupooooo 😂🤣, wamiliki wa winga MADUEKE 😂🤣
EHH, mungu nipe uhai na afya nzuri nione vituko vya arteta na madueke wake .😂🤣
Dah ila wamiliki wa Arsenal wanazingua Sana man , yaani sikutarajia galasa kama Madueke auzwe faster vile na kwa bei ile , hawa wamarekani kuna biashara chafu wanaweza kuwa wanafanya nyuma ya pazia
 
Screenshot_20250720_114535.jpg
 
Yes.

Huenda ingekuwa poa kukomaa na Gyokeres na Mosquera kwanza halafu tumkamate Eze na tuachane na Madueke kwanza. Hapo tungehangaika na mauzo halafu mkwanja ukipatikana tukamchukue Rodrygo hata mwezi wa 8 huko. Kama tungeshindwana bei na Madrid, basi Madueke inaonekana ingekuwa suala la kupiga simu moja tu na kumpata kwa bei chee maana Chelsea wanahitaji kupunguza kikosi chao.

Labda sasa tunataka kukamilisha madili mapema ili tuanze msimu vizuri ndiyo maana tumemchukua Noni mapema.
Mkuu hii ni fezi ngapi?......tutegemee makombe kuanzia lini?
 
Tunaongeza takataka kwa kweli...
Huyu MADUEKE nimewahi kumuona mara 2 tu, na zote hizo nikaamini mie nikifanya mazoezi ni bora kuliko yeye, sasa imagine mchezaji kama huyu ndio anakuja arsenal..
Madueke ni mzuri atawasaidia kwenye fezi 6 yenu. Anakoliba ya kubeba makombe makubwa cheki kwenye club World Cup amefunga magoli 15 na kusaidia Chelsea kubeba kombe. Madueke mitano tena. Arsenal
 
Nawapongeza arsenyeto kwa kuchukua ubingwa wa EPL 2025/2026 na winga teleza madueke kuwa mchezaji bora wa msimu na kuchangia pakubwa kupata ubingwa huo 😂
 
Nawakumbusha tuu, ndani ya wiki mbili, Pedro ana mafanikio makubwa kuliko wachezaji wote wa arsenyeto na nyumbuz kwa pamoja tangu hizo timu zianzishwe miaka mingi iliyopita 😂
 
Dah ila wamiliki wa Arsenal wanazingua Sana man , yaani sikutarajia galasa kama Madueke auzwe faster vile na kwa bei ile , hawa wamarekani kuna biashara chafu wanaweza kuwa wanafanya nyuma ya pazia
Mchezaji ana medali ya kombe la dunia unamuitaje galasa? 😂
 
Ninyi ni wachumba tu ,hamna ubavu wa kupambana na majike shupa ya timu ya wanawake ya pale Stamford Bridge ,acheni kujitoa ufahamu ,yaani Chelsea ni serial winners timu ya wanawake na wanaume ,timu yetu ya wanawake msimu huu ulioisha wamebeba trebble yaani vikombe vitatu , imagine . Ninyi timu yenu ya wanawake ni kubinua makalio tu uwanjani
Wewe unawaongelea mabingwa watetezi wa champions league ujue? Na kuanzia msimu ujao utawala wa soka la wanawake England na Ulaya kwa ujumla unarejea rasmi kwa washika bunduki.
 
Lakini wachezaji wake wanatulipa vipi Joao Pedro, Caicedo, Cucurella na Sanchez unawaonaje??? Unaona hao wachezaji tumepigwa na Brighton au inabidi tuwape sadaka ya shukrani
Sasa makombe ya kichovu hayo mnaita mafanikio? Conference sisi hatukuweza kushiriki kwa sababu ni la hadhi ya chini sana hata kushiriki tulishindwa kwa sababu tulimaliza nafasi ya pili na kuingia UCL. Hilo world cup kila mtu anajua ni kombe la watakatishaji fedha wa uarabuni na marekani.

500m kwa mlichopata, sisi ile 65 tu mliyotupiga kwa Havertz, achana na hao wahuni wengine mliotuuzia, imezaa matunda ya maana kuliko hivyo vijikombe uchwara vyenu.
 
Back
Top Bottom