Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Madueke mzuri sana, naamini wewe ni mshabiki halisi wa Arsenal.
Shida ni bei yake tu, tungeweza kumpata kwa bei poa zaidi, ila utaniambia.
Bei yake kwani hela unatoa wewe?? Ilimradi Madueke gaucho ni mzuri basii inatosha kwa sisi mashabiki. Tusubiri machachari yake uwanjani.
 
Sasa makombe ya kichovu hayo mnaita mafanikio? Conference sisi hatukuweza kushiriki kwa sababu ni la hadhi ya chini sana hata kushiriki tulishindwa kwa sababu tulimaliza nafasi ya pili na kuingia UCL. Hilo world cup kila mtu anajua ni kombe la watakatishaji fedha wa uarabuni na marekani.

500m kwa mlichopata, sisi ile 65 tu mliyotupiga kwa Havertz, achana na hao wahuni wengine mliotuuzia, imezaa matunda ya maana kuliko hivyo vijikombe uchwara vyenu.
Ebu ondoa ushabiki ebu niambie kwa maana ya uwezo binafsi Caicedo au Joao Pedro ni wachezaji wabaya?
 
Sasa makombe ya kichovu hayo mnaita mafanikio? Conference sisi hatukuweza kushiriki kwa sababu ni la hadhi ya chini sana hata kushiriki tulishindwa kwa sababu tulimaliza nafasi ya pili na kuingia UCL. Hilo world cup kila mtu anajua ni kombe la watakatishaji fedha wa uarabuni na marekani.

500m kwa mlichopata, sisi ile 65 tu mliyotupiga kwa Havertz, achana na hao wahuni wengine mliotuuzia, imezaa matunda ya maana kuliko hivyo vijikombe uchwara vyenu.
Kwa maana hy arsenyeto hamtokaa mcheze conference na Kombe la dunia?

Uzuri ni kwamba dunia mzima inafahamu Chelsea ndio timu bora duniani kwa miaka minne, haya em tuambie nyie nyetos mnajulikana na chama gn hata hapo UK.?
 
Kwa maana hy arsenyeto hamtokaa mcheze conference na Kombe la dunia?

Uzuri ni kwamba dunia mzima inafahamu Chelsea ndio timu bora duniani kwa miaka minne, haya em tuambie nyie nyetos mnajulikana na chama gn hata hapo UK.?
Tukishuka kiwango na kumaliza nafasi za nje ya top 5, then ndiyo kuna uwezekano wa kucheza conference league. Ni mpira tu huu na hatuwezi kujua ya mbele. Nyie hamkufikiri kuwa litakuja kutokea kwenu ila limetokea na mkatoka na kombe hilo kabisa, hivyo hatuwezi kutukana mamba kabla ya kuvuka mto.
 
Tukishuka kiwango na kumaliza nafasi za nje ya top 5, then ndiyo kuna uwezekano wa kucheza conference league. Ni mpira tu huu na hatuwezi kujua ya mbele. Nyie hamkufikiri kuwa litakuja kutokea kwenu ila limetokea na mkatoka na kombe hilo kabisa, hivyo hatuwezi kutukana mamba kabla ya kuvuka mto.
Pia kiwango chenu kikishuka mtacheza kombe la dunia 😂
Mana hata huko UCL hakuna la maana mliwahi kufika
 
Mosquera to arsenal is a done deal
FB_IMG_17530515033599325.jpg
 
Back
Top Bottom