Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,094
- 7,464
Upinzani upi ulianza miaka? nyie wa juzi au umesahau recently mmetuletea takwimu kwamba mnaongoza kwa makombe karne ya 21? kwenye game tupo long time since the days of Chapman & Graham, ukitaka tuongee upinzani usichague miaka, kipindi chapman analeta WM timu yako ilikuwa wapi? that's a rivalryKama wewe huoni waache wanaoona. Ndio maana nikasema wewe bado ni mchanga kwenye ushabiki wa mpira hasa ulaya. Huu upinzani hatujaanzisha sisi wasukuma tulioko huku Tanangozi au wachaga walioko Mugango, upinzani ulianza miaka. Lakini sio mbaya kujaribu kuchagua mpinzani ambaye unammudu kwa sasa japo naye keshaanza kukupiga gap. Sisi ngoja tukomae na Fulham.
Lakini pia sawa sisi ngoja tuendelee kulazimisha kama unavyojiaminisha
