Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mwamba Noni Madueke kaambiwa apumzike kwanza to recharge, baada ya hapo kazi inaanza,
IMG_20250719_123717.jpg
 
Upinzani upi ulianza miaka? nyie wa juzi au umesahau recently mmetuletea takwimu kwamba mnaongoza kwa makombe karne ya 21? kwenye game tupo long time since the days of Chapman & Graham, ukitaka tuongee upinzani usichague miaka, kipindi chapman analeta WM timu yako ilikuwa wapi? that's a rivalry
Hakuna aliyechagua mwaka shida yako unataka kubisha kushindana. Ndio maana nikakwambia kaa na misimamo yako.
 
Sasa mchezaji hajacheza hata mechi moja ya Arsenal unamwita Galasa??, angekua galasa angewasaidia chelsea kubeba makombe mawili. Kwanza chelsea wamefanya fear kbs, winga teleza ile ilitakiwa auzwe £100m.
Makombe mawaili yapi? Huyu angekuwa first 11 kila mechi tusigefika kokote aisee too selfish player sehemu ya kutoa pasi ya bao anafosi yeye ukimyima pasi ukafunga wewe haji kushangilia ananuna puuzi kabisa hii alafu huwa hicho ni kiburi habadiliki kuna mechi alikuwa anagombea kupiga penalt yeye na takataka nyingine jackson wakati wote wanajua utaratibu mpigaji penalt ni palmer
 
Tatizo la arteta mjuaji sana anajikuta tayari Guardiola yaani too many unnecesary experiments. Usishangae hata akamuweka LB au CAM!!
Asante sana kwa kuona hilo.

Na sidhani kama atakuja kubadilika.

Yule ni kocha wa kawaida labda aniprove wrong baadae.

Ila sioni akifanya maajabu ya kubeba makombe ya maana.

Miaka6 una kiFA na Ngao ya jamii.

Kuna makocha miaka michache tu wanabeba makombe.
 
Makombe mawaili yapi? Huyu angekuwa first 11 kila mechi tusigefika kokote aisee too selfish player sehemu ya kutoa pasi ya bao anafosi yeye ukimyima pasi ukafunga wewe haji kushangilia ananuna puuzi kabisa hii alafu huwa hicho ni kiburi habadiliki kuna mechi alikuwa anagombea kupiga penalt yeye na takataka nyingine jackson wakati wote wanajua utaratibu mpigaji penalt ni palmer
Madueke mashine ya kazi wewe, Kama ni mchezaji Arsenal wamepata. Nitumie fursa hii kuwapongeza Arsenal wamepata winga machachari sana. Kile kitambaa cheusi tu ndicho kinachomtofutisha na prime Mess, ila ni mess mtupu.
 
Hakuna aliyechagua mwaka shida yako unataka kubisha kushindana. Ndio maana nikakwambia kaa na misimamo yako.
Timu iliyoshinda makombe mengi karne ya 21 maana yake mnajichagulia miaka ya ku define mafanikio, Kwanini msitafute takwimu za timu iliyoshinda makombe mengi kwa muda wote?
 
If you survived this you are a true Arenal fan

C&P
Hii ni timu aliyorithi Mikel Arteta kutoka kwa Unai Emery afu unamfananisha na Slot aliyerithi timu ya klopp ikiwa na Van dijk, Trent, Konate na Mo salah, ukumbuke misimu miwili mbele mwamba akaingia kwenye title contention na monster Pep Guardiola akiwa na peak squad iliyochukua treble, ukisema Arteta mjuaji, ofcoz ni mjuaji sababu kweli anajua.
 
Yaani imagine ndani ya hii miaka mitatu ,Westham wameleta trophy ya conference league London , crystal palace wameleta FA London , wagumba wenzenu wa makombe Tottenham wamekata ugumba wa makombe mwaka huu kwa kuleta Europa league London ,Sisi Baba Lao ndio usiseme kabisa , Hivi nyinyi panya huku na madaso yenu mekundu hayo hamuoni aibu , ? Miaka yote hii mnatia aibu tu ?
 
Leten
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila mganga wa Chelsea ni kiboko, kuna tetesi zinaagaa kwa kasi kua Nyumbu tunamtaka Nicolas Jackson, utashangaa tunaingia kichwakichwa tunagongwa £65m na tunatoa.
Nyumbu na Arsenyashi kwa Chelkenge ni kama tu mbwa mbele ya chatu.
Huaga tunajipeleka wenyewe huku mkia tumeubana matter konny.
Leteni 65 hiyo ,ikichelewa bei inapanda mpaka 85 , 😆😆😆😆😆😆😆 straika machachari kama Wakojacko ni adimu 😀😀😀😀😀
I
 
Litapigwa 433 moja matata lenye Olivia, Russo na Kelly pale mbele. Yale mabio yao hakuna beki atakayoyaweza. Nyuma yao Mariona akipenyeza through balls kama Xavi... wapinzani wameisha aisee.
Ninyi ni wachumba tu ,hamna ubavu wa kupambana na majike shupa ya timu ya wanawake ya pale Stamford Bridge ,acheni kujitoa ufahamu ,yaani Chelsea ni serial winners timu ya wanawake na wanaume ,timu yetu ya wanawake msimu huu ulioisha wamebeba trebble yaani vikombe vitatu , imagine . Ninyi timu yenu ya wanawake ni kubinua makalio tu uwanjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom