Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,732
- 9,017
Kaingia mitiniWakikujibu hao Madueke Efusiii, unitag
Kaingia mitiniWakikujibu hao Madueke Efusiii, unitag
Hii ni timu aliyorithi Mikel Arteta kutoka kwa Unai Emery afu unamfananisha na Slot aliyerithi timu ya klopp ikiwa na Van dijk, Trent, Konate na Mo salah, ukumbuke misimu miwili mbele mwamba akaingia kwenye title contention na monster Pep Guardiola akiwa na peak squad iliyochukua treble, ukisema Arteta mjuaji, ofcoz ni mjuaji sababu kweli anajua.


Hio hio timu aliyorithi Mikel Arteta kutoka kwa Unai Emery ndio iliyompatia Arteta the one and only trophy katika maisha yake ya ukocha, Kiwigi kabeba FA Cup 2020 kwa kikosi chote cha Unai Emery baada kumfunga Chelsea kwenye fainali. Huenda Maresca akabadili mambo zaidi. Tatizo lenu siyo kuwa na wachezaji wabovu. Mmekuwa na wachezaji wazuri tangu enzi za Potter. Nakumbuka mimi mwenywewe nilikuwa naamini Potter atafanya makubwa sana na kile kikosi ila hakuweza na mmeendelea hivyo mpaka kumpata Maresca. Pia mmekuwa na majeruhi kwa wachezaji wazuri kama Nkunku.Ndio ujue kwamba sisi sio wa kupigwa Bali Brighton ndio chimbo letu zuri la bidhaa tunazohitaji
Madueke Efusiii tena? Yaani hata heshima ya jina hamtupi? Ligi ianze tu tuendelee kuwashushia vichapo ili muendelee kutamba na vikombe.Wakikujibu hao Madueke Efusiii, unitag
Mmefanya Mambo makubwa Kama yapi? Mbona unanichekeshaHuenda Maresca akabadili mambo zaidi. Tatizo lenu siyo kuwa na wachezaji wabovu. Mmekuwa na wachezaji wazuri tangu enzi za Potter. Nakumbuka mimi mwenywewe nilikuwa naamini Potter atafanya makubwa sana na kile kikosi ila hakuweza na mmeendelea hivyo mpaka kumpata Maresca. Pia mmekuwa na majeruhi kwa wachezaji wazuri kama Nkunku.
Sisi mmetupiga hela kizembe kwa kututupia wachezaji wenu hovyo, ila hao hao wachezaji, kwa miujiza flani, tumeweza kufanya nao mambo makubwa kuliko uwezo wao.
Nafasi ya 2 misimu 3 mfululizo. Msimu uliopita tumetolewa UCL kwenye hatua ya nusu fainali. Haya ni mafanikio makubwa kimpira kuliko UEFA Conference league na hata CWC. Asikudanyanye mtu yeyote kuwa Conference league title ni kubwa kuliko hizo za Arsenal.Mmefanya Mambo makubwa Kama yapi? Mbona unanichekesha
Kwa sababu Victor tunashindwa kumnunua ndo maana hela inaniuma. Bila hivyo hata wangetoa zote me sina shidaBei yake kwani hela unatoa wewe?? Ilimradi Madueke gaucho ni mzuri basii inatosha kwa sisi mashabiki. Tusubiri machachari yake uwanjani.
Tumechukua UEFAPamoja na kuwapasua umebeba kombe gani la maana msimu huu?
UEFA ya msimu gani hiyo?Tumechukua UEFA
Kwahiyo hayo kwenu ndio mafanikio kwa team ambayo mshajipata basi mnasafari ndefu sanaNafasi ya 2 msismu 3 mfululizo. Msimu uliopita tumetolewa UCL kwenye hatua ya nusu fainali. Haya ni mafanikio makubwa kimpira kuliko UEFA Conference league na hata CWC, asikudanyanye mtu yeyote kuwa Conference league title ni kubwa kuliko hizo za Arsenal.
Kijana wa miaka 16 aliye na Div 3 form 4 si sawa na kijana wa miaka 16 aliyefanya mitihani ya darasa la saba na kuwa kinara wa darasa hilo.
Nimesema ni mafanikio kuliko hayo yenu.Kwahiyo hayo kwenu ndio mafanikio kwa team ambayo mshajipata basi mnasafari ndefu sana
Usiishi kwa mazoea blaza, shauri yako! Jua mnaenda kukutana na Bingwa wa vitimu vyote vya hapa duniani. Usiseme sijakutahadharisha. Muulizeni mbabe wenu PSGMadueke Efusiii tena? Yaani hata heshima ya jina hamtupi? Ligi ianze tu tuendelee kuwashushia vichapo ili muendelee kutamba na vikombe.