HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
Huenda Maresca akabadili mambo zaidi. Tatizo lenu siyo kuwa na wachezaji wabovu. Mmekuwa na wachezaji wazuri tangu enzi za Potter. Nakumbuka mimi mwenywewe nilikuwa naamini Potter atafanya makubwa sana na kile kikosi ila hakuweza na mmeendelea hivyo mpaka kumpata Maresca. Pia mmekuwa na majeruhi kwa wachezaji wazuri kama Nkunku.Ndio ujue kwamba sisi sio wa kupigwa Bali Brighton ndio chimbo letu zuri la bidhaa tunazohitaji
Sisi mmetupiga hela kizembe kwa kututupia wachezaji wenu hovyo, ila hao hao wachezaji, kwa miujiza flani, tumeweza kufanya nao mambo makubwa kuliko uwezo wao.