Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yupo sahihi mnaiweka sana kichwani. Mngekuwa hamtuwazi kusingekuwa na haja ya kuzurula humu toka jana.
Liva na City wakichukua kombe wanatulia makwao ila nyie sasa. Hizo ni dalili za inferiority. Kama unajua utaonekana tu ila sio ulazimishe kujadiliwa
Liva akichukua anamtambia mtani wake everton man city akichukua anamtambia UNited ila sisi na nyie ni wa mji mmoja tukichukua lazima tuwatambie alafu kingine hakuna mwanaume anaetmanani mwanamke mgumba ambae hazai yani kutamani chelsea iwe kama arsenal ni jambo ambalo haliwezekani makombe ni matokeo ya project project ya miaka 6 bila kombe ni sawa na kuishi na mke miaka 6 bila mtoto je wewe utakubali uwe arsenal?
 
Liva akichukua anamtambia mtani wake everton man city akichukua anamtambia UNited ila sisi na nyie ni wa mji mmoja tukichukua lazima tuwatambie alafu kingine hakuna mwanaume anaetmanani mwanamke mgumba ambae hazai yani kutamani chelsea iwe kama arsenal ni jambo ambalo haliwezekani makombe ni matokeo ya project project ya miaka 6 bila kombe ni sawa na kuishi na mke miaka 6 bila mtoto je wewe utakubali uwe arsenal?
Ubaya ni kwamba Arsenal hatuna uhasimu na Chelsea, wala hatujawahi kumuweka Chelsea kwenye equation, bora ungesema Spurs sababu ya North London derby, jukwaa hili anayeruhusiwa kupiga kelele ni nyumbu sababu ya tamaduni za Arsenal na Man u, na uhasimu wa Wenger na Fergie.
 
IMG_20250715_085943.jpg
 
Ubaya ni kwamba Arsenal hatuna uhasimu na Chelsea, wala hatujawahi kumuweka Chelsea kwenye equation, bora ungesema Spurs sababu ya North London derby, jukwaa hili anayeruhusiwa kupiga kelele ni nyumbu sababu ya tamaduni za Arsenal na Man u, na uhasimu wa Wenger na Fergie.
IMG_20250715_085943.jpg

Kwa hii hali kweli tusiwatanie kweli?! Hata kama mnalia hamtaki utani na sisi. Ndio useme wa hapo juu anatamani kuwa wa mwisho. Si bora ungetutukana tu tujue umetutuka.
 
Hata kama ni wewe utaacha kurusha ngumi? Utaacha?
Yaani Luis Enrique ameona juzi tu ametoka kubeba Uefa na Ligue 1 halafu umfananishe na Tetea Kiwigi kweli?
Bora Joao Pedro angetuka tusi la kawada Luis Enrique angepotezea, lakini kumfananisha na Masterclass in failure hilo ni zaidi ya tusi, hata lile kofi halitoshi angempiga ngumi ya pua kabisa.
 
Yaani Luis Enrique ameona juzi tu ametoka kubeba Uefa na Ligue 1 halafu umfananishe na Tetea Kiwigi kweli?
Bora Joao Pedro angetuka tusi la kawada Luis Enrique angepotezea, lakini kumfananisha na Masterclass in failure hilo ni zaidi ya tusi, hata lile kofi halitoshi angempiga ngumi ya pua kabisa.
Arsenal ndo wasahau kuchukua ubingwa kwa miaka hizi mitano mbele make washindani wake wanazidi kuimarika ila wao wanazidi kushuka kiwango na kuanza tena kutengeneza timu.

Wanachokosa ni bahati pamoja na mipango madhubuti kimbunu namna ya kumaliza mwendo; wao wanajikita kwenye mbinu ya kuanza mwendo tu.
 
Liva akichukua anamtambia mtani wake everton man city akichukua anamtambia UNited ila sisi na nyie ni wa mji mmoja tukichukua lazima tuwatambie alafu kingine hakuna mwanaume anaetmanani mwanamke mgumba ambae hazai yani kutamani chelsea iwe kama arsenal ni jambo ambalo haliwezekani makombe ni matokeo ya project project ya miaka 6 bila kombe ni sawa na kuishi na mke miaka 6 bila mtoto je wewe utakubali uwe arsenal?
Ukweli mchungu
 
Gyokeres dili linaonekana limekamilika.
Nafikiri sasa tutakomaa na Christhian Mosquera halafu Eze. Huenda tumeachana na mipango ya Rodrygo kwa sababu tumemchukua Noni Madueke, hivyo tunaweza kuwa tunafikiria kutunza mkwanja ili tumchuke Eze.

Tuna kazi kubwa ya kupunguza wachezaji kama kina Lokonga na Nelson ila kuna matumaini kwamba karibia kila nafasi ina watu wawili (Madueke nimemhesabu mara mbili, yaani kama backup ya Martinelli na Saka). Kwangu sasa Eze naona ndiyo awe kipaumbele maana namuona kama mbadala wa Odegaard kama chief creative mid.
Rodrygo ni bora zaidi kwa hii MADUEKE, basi tu.
 
Rodrygo ni bora zaidi kwa hii MADUEKE, basi tu.
Yes.

Huenda ingekuwa poa kukomaa na Gyokeres na Mosquera kwanza halafu tumkamate Eze na tuachane na Madueke kwanza. Hapo tungehangaika na mauzo halafu mkwanja ukipatikana tukamchukue Rodrygo hata mwezi wa 8 huko. Kama tungeshindwana bei na Madrid, basi Madueke inaonekana ingekuwa suala la kupiga simu moja tu na kumpata kwa bei chee maana Chelsea wanahitaji kupunguza kikosi chao.

Labda sasa tunataka kukamilisha madili mapema ili tuanze msimu vizuri ndiyo maana tumemchukua Noni mapema.
 
Hongeri wanangu Gunners kwa kukamilisha sajili ya winga teleza Noni Yamal Madueke.
Uzuri wa Arsenyashi kwenye kusajili takataka mpo fasta kwelikweli, ila linapokuja suala la kusajili mchezaji wa maana mtajizungusha kama vile mmekewa gumzi matter konny.
1752674596133.jpg
 
Back
Top Bottom