Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bora nishangilie wanawake, soka zuri na vikombe, hata tukifungwa nitaona watoto wazuri.

Huku kwa kina madueke, napumzika kidogo 😂🤣
Bora uone boli kali la Slegers huku ukiwacheki kina Kelly na Walti na vibukta vyao vidooogooo, kuliko kucheki boli kali la Arteta lenye akina Madueke na Kepa? 😀 😀 😀
 
Bora uone boli kali la Slegers huku ukiwacheki kina Kelly na Walti na vibukta vyao vidooogooo, kuliko kucheki boli kali la Arteta lenye akina Madueke na Kepa? 😀 😀 😀
Kwa kweli.
 
Bora uone boli kali la Slegers huku ukiwacheki kina Kelly na Walti na vibukta vyao vidooogooo, kuliko kucheki boli kali la Arteta lenye akina Madueke na Kepa? 😀 😀 😀
Mara 100.. katika sajili sijazilibali basi huyu MADUEKE, sijamuona game nyingi ila hizo hizo chache zinanifanya nimkatae, na kikubwa zaidi alipocheza LW ndio kabisaaaa., sijui aeteta anataka amtumiaje kwa kweli, ngoja msimu uanze tupigizane kelele vizuri.
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
[/QUOT
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Acha roho mbaya utoi ela yako mfukoni
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge

Nyie hamjatumia zaidi ya 500m kwa Brighton?
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Sasa mchezaji hajacheza hata mechi moja ya Arsenal unamwita Galasa??, angekua galasa angewasaidia chelsea kubeba makombe mawili. Kwanza chelsea wamefanya fear kbs, winga teleza ile ilitakiwa auzwe £100m.
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Huyu mwamba dudukwe yuko vizuriii
1000064766.jpg
 
Halafu mara nyingi wachezaji wanaosemwa sana hivi ndio wanakuja kuwaprove wrong. Nawashauri mashabiki wa Arsenal mpeni muda Madueke msimpe presha kubwa anakuja kuwasaidia. Madueke ana kitu nadhani Arteta afanye kazi ya kumpunguzia presha tu atatoa output ambayo wengi hamtaitegemea.
 
Madueke 😃 😀 😄

Arteta apewe PhD ya kuokoteza mazaga kutoka kwa kenge !

Garasa, mmetoa hela kichele ! Yule ni squad player, ingesaund walau kwa £25-32m tu ! Sio hizo £50m +adds on !


Nackia tangia Arteta atue hapo, ameshaspend zaidi ya £130m kwa kuokoteza rejects za kenge
Mashabiki wa arsenyeto bhana 😂

Chelsea unaiita Kenge afu hapo tuna conference na kombe la dunia afu nyie mmemaliza nafasi ya pili ila patupu 😂 yn mnashindwa kimafanikio na timu iliyomaliza nafasi ya 16 huko ina Europe 😂

Sasa umuhimu wa kumaliza nafasi ya pili iko wapi wakati kuna timu ipo nafasi ya 16 bado kidogo kushuka daraja lkn ina kombe kikubwa Ulaya 😂

Nyie wapuuzi endeleeni kujipa matumaini kila msimu kuwa mtaambulia kitu, ila Madueke yupo labla mtaambulia hata Karabao mana Madueke ni winga teleza ana medali ya kombe la dunia ambayo hapo Arsenali ni medali mpya tangu club kuumbwa 😂 naskia arteta na Saka walikuwa wanaililia walale nayo 😂
 
Mikel Arteta: "Noni Yamal Madueke, one of the most talented wide forward players in the Premier League, it's clear".

"At just 23, Noni brings here experience of club... and international football. Having seen the quality of Noni performances up close, we are all really excited".

Sasa kama Tetea Kiwigi mwenyewe kasema mashabiki wote wa Arsenyashi wamefurahi kwa kuuona ubora wa uchezaji wa Madueke na kusajiliwa kwenye timu yao mimi ni nani nipinge?

#Tetea mitano tena.
1752908776684.jpg
1752908749045.jpg
 
Mara 100.. katika sajili sijazilibali basi huyu MADUEKE, sijamuona game nyingi ila hizo hizo chache zinanifanya nimkatae, na kikubwa zaidi alipocheza LW ndio kabisaaaa., sijui aeteta anataka amtumiaje kwa kweli, ngoja msimu uanze tupigizane kelele vizuri.
Tatizo la arteta mjuaji sana anajikuta tayari Guardiola yaani too many unnecesary experiments. Usishangae hata akamuweka LB au CAM!!
 
Kama wewe huoni waache wanaoona. Ndio maana nikasema wewe bado ni mchanga kwenye ushabiki wa mpira hasa ulaya. Huu upinzani hatujaanzisha sisi wasukuma tulioko huku Tanangozi au wachaga walioko Mugango, upinzani ulianza miaka. Lakini sio mbaya kujaribu kuchagua mpinzani ambaye unammudu kwa sasa japo naye keshaanza kukupiga gap. Sisi ngoja tukomae na Fulham.

Lakini pia sawa sisi ngoja tuendelee kulazimisha kama unavyojiaminisha
Unaupiga nondo za maana Kama vile Humphrey Pole pole
 
Back
Top Bottom