Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanawake wamemchukua Olivia Smith wa Liverpool kwa world record fee ya 1 million pounds.
Hapo Kelly naye tayari, na kipa mpya...
Wapewe tu makombe yao mapema.

Bado wanaume sasa kufanya maajabu.
 
Litapigwa 433 moja matata lenye Olivia, Russo na Kelly pale mbele. Yale mabio yao hakuna beki atakayoyaweza. Nyuma yao Mariona akipenyeza through balls kama Xavi... wapinzani wameisha aisee.
McCabe na Catley watafurahi sana kwa sababu alikuwa anawatesa sana
 
Mnyama MADUEKE anakuja na medali ya hilo kombe.
chelsea-are-champions-of-the-world-v0-0k17gz66spcf1.jpeg
 
Wanawake wamemchukua Olivia Smith wa Liverpool kwa world record fee ya 1 million pounds.
Hapo Kelly naye tayari, na kipa mpya...
Wapewe tu makombe yao mapema.

Bado wanaume sasa kufanya maajabu.
Bora nishangilie wanawake, soka zuri na vikombe, hata tukifungwa nitaona watoto wazuri.

Huku kwa kina madueke, napumzika kidogo 😂🤣
 
Inawezekana ushabiki wa mpira umeanza juzijuzi hujui wala huelewi haya yameanzia wapi ndio maana unasema haya. Kwenye hii michuano ya FIFA CWC ilikua ni Chelsea dhidi ya vilabu vyote vya EPL na wapinzani wakubwa ni Liverpool, Man Utd, Arsenal, Man City.

Sasa kwanini Arsenal? Kwanza kabisa ni mpinzani wa jadi katika jiji la London, kila mmoja anataka kuonesha yeye ndio ana timu bora zaidi London. Hivyo hayo yanaenda sambamba na kubeba makombe, hivyo kinachoendelea hapa ni muendelezo wa hayo yote. Pili, anasemwa zaidi Arsenal kwasababu misimu ya hivi karibuni hajabeba kombe lolote wakati Chelsea ndani ya msimu huu kabeba makombe mawili tayari.

Hasemwi Man Utd kwa sababu yule tayari keshajifia kibudu, hasemwi Liverpool kwa sababu tayari ni bingwa EPL, Hasemwi Man City kwa sababu huna wa kubishana naye mtandaoni, hasemwi Spurs kwa sababu ni bingwa wa EUROPA. Kwahiyo usishangae haya yanayoendelea siku ukifika level ya Chelsea nawewe utafanya hivi. Walikuwepo kina Dully Jr sijui yuko wapi huyu dogo, wengine nishawasahau na wengine bado nawaona humu, tulikua tunabishana na kutambiana sana. Wewe yawezekana ni mgeni karibu.
Mimi sijawahi kuona uhasimu wq Arsenal na Chelsea, ni nyinyi tu Chelsea fans ndio mnalazimisha, Chelsea ni km Liverpool au Man City, kwetu ni timu kama zingine, hasimu wa Arsenal kwa uingereza ni Spurs remember NLD. kwa duniani Man Utd, ule uhasimu wa Arsenal vs Man utd hii hata shule tulikuwa tunacheza hizi mechi
 
Mimi sijawahi kuona uhasimu wq Arsenal na Chelsea, ni nyinyi tu Chelsea fans ndio mnalazimisha, Chelsea ni km Liverpool au Man City, kwetu ni timu kama zingine, hasimu wa Arsenal kwa uingereza ni Spurs remember NLD. kwa duniani Man Utd, ule uhasimu wa Arsenal vs Man utd hii hata shule tulikuwa tunacheza hizi mechi
kuna mwezi tulifunga goli moja huku tukila vichapo vikali nyie aseno ndo mlikuwa wa kwanza kutuandama
 
Mimi sijawahi kuona uhasimu wq Arsenal na Chelsea, ni nyinyi tu Chelsea fans ndio mnalazimisha, Chelsea ni km Liverpool au Man City, kwetu ni timu kama zingine, hasimu wa Arsenal kwa uingereza ni Spurs remember NLD. kwa duniani Man Utd, ule uhasimu wa Arsenal vs Man utd hii hata shule tulikuwa tunacheza hizi mechi
Kama wewe huoni waache wanaoona. Ndio maana nikasema wewe bado ni mchanga kwenye ushabiki wa mpira hasa ulaya. Huu upinzani hatujaanzisha sisi wasukuma tulioko huku Tanangozi au wachaga walioko Mugango, upinzani ulianza miaka. Lakini sio mbaya kujaribu kuchagua mpinzani ambaye unammudu kwa sasa japo naye keshaanza kukupiga gap. Sisi ngoja tukomae na Fulham.

Lakini pia sawa sisi ngoja tuendelee kulazimisha kama unavyojiaminisha
 
Back
Top Bottom