makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,744
- 103,668
Noni haikupaswa kuwa biashara ya mapema, tungeringa, jioooni kabisa tungepata kwa bei chee, kifupi anaefanya biashara sidhani kama anajielewa.Yes.
Huenda ingekuwa poa kukomaa na Gyokeres na Mosquera kwanza halafu tumkamate Eze na tuachane na Madueke kwanza. Hapo tungehangaika na mauzo halafu mkwanja ukipatikana tukamchukue Rodrygo hata mwezi wa 8 huko. Kama tungeshindwana bei na Madrid, basi Madueke inaonekana ingekuwa suala la kupiga simu moja tu na kumpata kwa bei chee maana Chelsea wanahitaji kupunguza kikosi chao.
Labda sasa tunataka kukamilisha madili mapema ili tuanze msimu vizuri ndiyo maana tumemchukua Noni mapema.

