JAoa Pedro alivyomwambia kocha wa PSG Hana tofauti na Arteta akaona ni tusi ikabidi arushe ngumi ndio sisi Chelsea tutamani kuwa Kama nyie kweli ???Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa