Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaachaje wali nazi wa maharage nazi matata na kikombe cha chai tangawizi pembeni kisa umetafuna jiwe moja kwa bahati mbaya?

Usiache kuenjoy kina Gyokeres na Saka watakvyokuwa wanamimina magoli malangoni mwa akina nyumbu na kenge kisa Noni. Tena huyo Noni huenda atafanya vizuri kuliko Sterling. Ukiachana na Arsenal, hutaki kuwacheki kina Vini, Yamal, Bruno na Salah kisa Noni?

Naomba urudishe moyo nyuma na uzingatie upya uamuzi wako. Naona kile unachojimyima hakiendani na sababu ya kujinyima hicho kitu.
Eti wali nazi wakati kuna watu wanajuta mpaka dakika hii kua mashabiki wa Arsenyashi.
Muacheni Castr apumzike kwanza, mtu mpaka akifikia hatua ya kuomba watu wasimquote ujue ameshavulia sana mpaka uvumilivu umefikia mwisho, ni hatari sana kwa afya ya mwili na akili kuendelea kumng'ang'aniza mtu kwa jambo linalomnyima furaha.
Walikuwepo kina Labyrinth 84 wakahama timu kwa maumivu makali, walikuwepo kina Masingeli wakiwaongopea watu humu kwa false hope kama wewe halafu mwisho wa siku wamelikimbia jukwaa kwa uchungu mkubwa.
1752495802417.jpg
 
Eti wali nazi wakati kuna watu wanajuta mpaka dakika hii kua mashabiki wa Arsenyashi.
Muacheni Castr apumzike kwanza, mtu mpaka akifikia hatua ya kuomba watu wasimquote ujue ameshavulia sana mpaka uvumilivu umefikia mwisho, ni hatari sana kwa afya ya mwili na akili kuendelea kumng'ang'aniza mtu kwa jambo linalomnyima furaha.
Walikuwepo kina Labyrinth 84 wakahama timu kwa maumivu makali, walikuwepo kina Masingeli wakiwaongopea watu humu kwa false hope kama wewe halafu mwisho wa siku wamelikimbia jukwaa kwa uchungu mkubwa. View attachment 3405763
Hao waache tu maana baada ya kama mwezi tu hapa tutakuwa tunawapiga Nyumbuz 6-0 na kurejesha imani yao.
 
Hao waache tu maana baada ya kama mwezi tu hapa tutakuwa tunawapiga Nyumbuz 6-0 na kurejesha imani yao.
Mosquera na gyokeres tyri....hatua inayofata ni kuuza magalasa...Lokonga, Nelson, Zinchenko(hyu inauniuma kusepa ila haina jinsi), Fabio Vieira na trossard naye inabidi tumuuze tu kuingiza pesa...then kituo kinachofata ni Eze na LW mwingine type ya Yule wa Atalanta ademola Lookman....Rodrygo is too expensive...wacha aende PSG au Liverpool kama wataweza kununua
 
Mosquera na gyokeres tyri....hatua inayofata ni kuuza magalasa...Lokonga, Nelson, Zinchenko(hyu inauniuma kusepa ila haina jinsi), Fabio Vieira na trossard naye inabidi tumuuze tu kuingiza pesa...then kituo kinachofata ni Eze na LW mwingine type ya Yule wa Atalanta ademola Lookman....Rodrygo is too expensive...wacha aende PSG au Liverpool kama wataweza kununua
Nafikiri tufunge kazi na Eze.
Hao uliowataja tuwauze wote.
Nafikiri Noni anaweza kidogo kucheza LW kama Trossard akiondoka so hatuhitaji LW mwingine kwa sasa. Trossard akibaki atacover LW.
 
Nafikiri tufunge kazi na Eze.
Hao uliowataja tuwauze wote.
Nafikiri Noni anaweza kidogo kucheza LW kama Trossard akiondoka so hatuhitaji LW mwingine kwa sasa. Trossard akibaki atacover LW.
Noni anaweza kucheza kote ila still tunahitaji another direct LW kuja kuchukua nafasi ya trossard.... trossard ni mzuri ila umri ushaenda na anasumbua Ku sign mkataba mpya...bora kuuza kuliko kuondoka bure
 
Habari za asubuhi kutoka kwa world champions....
Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
 
Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
Hahaha ona vichekesho hivi
 
Eti wali nazi wakati kuna watu wanajuta mpaka dakika hii kua mashabiki wa Arsenyashi.
Muacheni Castr apumzike kwanza, mtu mpaka akifikia hatua ya kuomba watu wasimquote ujue ameshavulia sana mpaka uvumilivu umefikia mwisho, ni hatari sana kwa afya ya mwili na akili kuendelea kumng'ang'aniza mtu kwa jambo linalomnyima furaha.
Walikuwepo kina Labyrinth 84 wakahama timu kwa maumivu makali, walikuwepo kina Masingeli wakiwaongopea watu humu kwa false hope kama wewe halafu mwisho wa siku wamelikimbia jukwaa kwa uchungu mkubwa. View attachment 3405763
Hujui kitu. Unapenda kutafuta relevance. Mimi nimekua humu kwenye worst seasons lakini kilichonikera kwangu ni pursuing ya wachezaji wa Chelsea wakati ambao ukinunua hao wachezaji ni unawabail kwenye msala.
 
Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
Acha kujitekenya ili ucheke😂
 
Hapa ndipo shida ilipo kwa mashabiki wa Chelsea, wao bila kujifananisha na Arsenal hujiona underdog, sisi huwaza kujifananisha na The best km City / Madrid wakati wao huwaza kuhusu Mighty Arsenal all the time, we live rent free in their heads. Shabiki wa Chelsea hata akinywa maji huwaza je shabiki wa Arsenal kanywa maji? furaha yao ipo hapa
Ukisikia kujitoa ufahamu huku ndio kujitoa kwnyewe ufahamu sasa. Kwa hiyo kwa fikra zako chelsea wanatamani siku moja iwe kama Arsenal?! 😂😂😂😂
Aiseee dah! Bro, wewe ni Greti sinka.
 
Huyo jamaa kanichekesha😂😂, halaf kanisikitisha! hivi kweli mtu kwa akili zake timamu atamani timu yake iwe kama Arsenal?! Kweli haya ni matusii

Kama yupo seroius, basi kuna vitu kwa upande wake havijakaa sawa.
Ama hakika😂😂😂
 
Huyo jamaa kanichekesha😂😂, halaf kanisikitisha! hivi kweli mtu kwa akili zake timamu atamani timu yake iwe kama Arsenal?! Kweli haya ni matusii

Kama yupo seroius, basi kuna vitu kwa upande wake havijakaa sawa.
Yupo sahihi mnaiweka sana kichwani. Mngekuwa hamtuwazi kusingekuwa na haja ya kuzurula humu toka jana.
Liva na City wakichukua kombe wanatulia makwao ila nyie sasa. Hizo ni dalili za inferiority. Kama unajua utaonekana tu ila sio ulazimishe kujadiliwa
 
Back
Top Bottom