Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyani asenane asenyetoz aka Chelsea rejects FC , tunaenda beba ndoo ya pili Kenge ninyi , London is buluuuuuuuuu
 
Oyaaa wanangu Arsenyau kwani msimu huu hamchezi emirates cup?
Sasa bila hio michuano mtashinda kombe gani?
Nyie ndio mabingwa wa historia wa hilo kombe, kama vipi ongeeni tu na waarabu wawapee tu hilo kombe la msimu huu hata kama hamna hayo mashindano, maana bila ya hivyo hakuna kombe lingine tena mtakaloweza kubeba. View attachment 3399282View attachment 3399283View attachment 3399284
mara ya mwisho kuona hii team iki poteza hilo kombe, wali fungwa na monaco ya falcao 😂😂😁
 
Ila kati ya timu zenye laana ya kudumu ni mayatima wa wenger fc aka asenyetoz FC , aisee ,yaani Chelsea ikapigwa vikwazo na kubadilisha kikosi kizima kwa kuchukua watoto wadogo lakini tume beba kombe kabla ya hizo Kenge asenyetoz , mna laana ninyi .Ninyi kila msimu ni kuja na mbwembwe mwisho wa msimu hola , 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na yamekaza fuvu bado yanashabikia huu utopolo wa asenyetoz , hivi huwa mnapata hata wapi nguvu za kuvaa hayo madaso mekundu yaliyoandikwa Asenyetoz au kwenda kushabikia kwenye vibanda umiza timu mfu kama asenyetoz aisee ?
Si mhamie timu zenye raha na makombe kama Chelsea ?
Endeleeni kukaza mafuvu yenu hayo
 
arsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.

wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Ni yeye anayewahitaji au mapendekezo ya directors wa bodi, maana Madueke ni wa kwenda mid-table teams aongeze kiwango sio wa kukupa mataji. Washindani wana Wirtz na Marmoush then sie tunamsaka Madueke! Surprise kwa kweli
 
arsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.

wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Nyinyi ni chimbo letu la kutupa mizoga yaani mnasajili mchezaji ambaye mnajua hawezi kuwa kwenye first 11 kwa pound 50M kwa kweli Chelsea ni matapeli wakupindukia alafu Sasa Chelsea walimsajili kwa pound 28m
 
Nyinyi ni chimbo letu la kutupa mizoga yaani mnasajili mchezaji ambaye mnajua hawezi kuwa kwenye first 11 kwa pound 50M kwa kweli Chelsea ni matapeli wakupindukia alafu Sasa Chelsea walimsajili kwa pound 28m
Money laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! 😄😄.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo ya kipumbavu yanaendelea
 
Money laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! 😄😄.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo ya kipumbavu yanaendelea
Ni Bora hata mngembakisha yupo dogo wenu asaidiane na saka alafu mkajikita kusajili striker
 
Timu kama Liverpool na City and the so called giants wanasajili wachezaji wanaokuja kudeliver kuliko kuwatengeneza ila Arsenal wanasajili wachezaji wakiwa na wazo la kuwatengeneza zaidi kuliko kuleta wachezaji wanaokuja kudeliver ( kutoa walichonacho zaidi ambacho kinaonekana kimepungua au hatukuwa nacho) then tunawaza ubingwa.. Kila siku tutaimba phase tu hapa
 
arsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.

wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Arteta anahusika na kubargain hela kwenye usajili kuanzia lini??

Hata kama hampendi Arteta, tafuteni sababu zenye mashiko basi.

Embu taja makocha hata wa3 unaowanona wanaweza kuchukua nafasi ya Arteta
 
Back
Top Bottom