Tunawapa na Sanchezi +Chillwell kama nyongezaWakuu madueke mmemuona huyo fainali bila shaka tuna na jackson tunawapa wote kwa 110 tuu.
mara ya mwisho kuona hii team iki poteza hilo kombe, wali fungwa na monaco ya falcao 😂😂😁Oyaaa wanangu Arsenyau kwani msimu huu hamchezi emirates cup?
Sasa bila hio michuano mtashinda kombe gani?
Nyie ndio mabingwa wa historia wa hilo kombe, kama vipi ongeeni tu na waarabu wawapee tu hilo kombe la msimu huu hata kama hamna hayo mashindano, maana bila ya hivyo hakuna kombe lingine tena mtakaloweza kubeba. View attachment 3399282View attachment 3399283View attachment 3399284
Ni yeye anayewahitaji au mapendekezo ya directors wa bodi, maana Madueke ni wa kwenda mid-table teams aongeze kiwango sio wa kukupa mataji. Washindani wana Wirtz na Marmoush then sie tunamsaka Madueke! Surprise kwa kweliarsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.
wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Tutamharibia career Victor maana ana mpango wa kwenda kwa mkopo timu nyingine kama hili dili litakwama. Atajuta kutuaminiarsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.
wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Nyinyi ni chimbo letu la kutupa mizoga yaani mnasajili mchezaji ambaye mnajua hawezi kuwa kwenye first 11 kwa pound 50M kwa kweli Chelsea ni matapeli wakupindukia alafu Sasa Chelsea walimsajili kwa pound 28marsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.
wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki
Money laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! 😄😄.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo ya kipumbavu yanaendeleaNyinyi ni chimbo letu la kutupa mizoga yaani mnasajili mchezaji ambaye mnajua hawezi kuwa kwenye first 11 kwa pound 50M kwa kweli Chelsea ni matapeli wakupindukia alafu Sasa Chelsea walimsajili kwa pound 28m
Ni Bora hata mngembakisha yupo dogo wenu asaidiane na saka alafu mkajikita kusajili strikerMoney laundering.. Hizi dili huenda zina upigaji ndani yake au zimekaa kimkakati kuisaidia Chelsea financially. 50m with ad ons kwa Noni Madueke seriously!!! 😄😄.. This club is rotted and loosing direction. No wonder huenda Edu Gaspar aliamua kutimka zake akaona kuna mambo ya kipumbavu yanaendelea
sijui hao wachezaji wote Arteta kawajaza pale wanini?Mimi namkubali Martinelli. Asiuzwe. Uza Trossard, Lokonga, Vieira, Zinchenko, Jesus, Nelson...
Arsenal wana mradi gani na chelseaKama kweli Noni anahitajika pale Arsenal basi kuna akili za kiwenger bado zinaendelea pale klabuni.
Tunaelekea msimu mpya Liverpool timu iliyo serious imeshabeba watu wakujiimarisha.
Sisi bado tunaangalia pochi.
Arteta anahusika na kubargain hela kwenye usajili kuanzia lini??arsenal katoa ofa ya paun 50m kwa noni, Chelsea kataka zaidi.
wakati huo arsenal bado haja msajili gyokeres, arteta ni mwehu kudadadeki