Kwani mkuu penalty sio goal?Magoli mangapi yalikua ya penalty misimu yote miwili?
Kwani mkuu penalty sio goal?Magoli mangapi yalikua ya penalty misimu yote miwili?
Nadhani kuwekwa benchi na Saka sio kipimo sahihi cha ubovu au ubora wa Palmer.Unajua kama anawekwa bench na Saka? Halafu maajabu yake timu ya taifa Noni anamuweka benchi Cole Palmer
Msimu wa 23/24Msimu wa 2023_24 na 2024_25 ni namba 10 kumi yupi uingereza aliyemzidi kutengeneza nafasi na kufunga magoli?.
Ngoja niseme kitu.Nadhani kuwekwa benchi na Saka sio kipimo sahihi cha ubovu au ubora wa Palmer.
Timu ya taifa ya uingereza inacheza kwa kuvizia zaidi kaunta na wachezaji wake wanahitajika sana kukaba muda mwingi.
Palmer sio mkabaji mzuri sana kama Saka, Plamer hana ukomavu wa michuano mikubwa ya kimataifa kama Saka na vile vile Plamer kucheza pembeni kabisa kama Saka sio sehenu sahihi sana kwake.
Nami nawaunga mkono jamaa wanaotetea Palmer kuwa ni bora na sio mchezaji wa msimu mmoja.
Kwani mkuu penalty sio goal?
Pamoja na hayo ila Palmer akawa mchezaji bora wa timu ya taifa pamoja na kukaa benchi 😂Unajua kama anawekwa bench na Saka? Halafu maajabu yake timu ya taifa Noni anamuweka benchi Cole Palmer
penalty sio goal?Magoli mangapi yalikua ya penalty misimu yote miwili?
Salah ndo masta wa kupiga penalty ila kwa ushabiki palmer ndo anaonekana penalty merchant😂Magoli mangapi yalikua ya penalty misimu yote miwili?
Bruno ana goli ngapi?. odegard ana goli ngapi?. mbona umebase upande wa kutengeza nafasi tu?.Msimu wa 23/24
Wa kwanza kwa chances ni Bruno, wa pili Paskal wa tatu Martin Odegaard.
Huu msimu Cole alikua wa ngapi?
Msimu wa 24/25
Wa kwanza ni Bruno
Wewe hizo takwimu feki za Cole kuongoza umetoa wapi?
Mkuu wewe hizo takwimu umetoa wapi?😂 Kwa no. 10 Msimu wa 23/24 acc to sofascore aliongoza Bruno na kdb....wakafuata palmer na odegaard....Msimu wa 24/25 aliongoza palmer akafuatiwa na Bruno.....Msimu wa 23/24
Wa kwanza kwa chances ni Bruno, wa pili Paskal wa tatu Martin Odegaard.
Huu msimu Cole alikua wa ngapi?
Msimu wa 24/25
Wa kwanza ni Bruno
Wewe hizo takwimu feki za Cole kuongoza umetoa wapi?
Hata huo upande wa kutengeneza katuongopeaBruno ana goli ngapi?. odegard ana goli ngapi?. mbona umebase upande wa kutengeza nafasi tu?.
Anaongea kishabiki sana huyu jamaa.Hata huo upande wa kutengeneza katuongopea
Oooh ok yupo sawa nadhani ameweka kwenye angle ya chances created tu.Anaongea kishabiki sana huyu jamaa.
Huyu Maresca naye amekuwa msemaji zaid siku hizi. Timu ina wachezaji zaidi ya 40 halafu wamecheza mechi 63 tu hiyo ni shida yetu au yake kutofanya rotation? Ila akibahatika kukibeba hicho kikombe atajisifia ila sasa hivi analia na wingi wa mechi, si atoke!
Haupo serious.Mkuu wewe hizo takwimu umetoa wapi?😂 Kwa no. 10 Msimu wa 23/24 acc to sofascore aliongoza Bruno na kdb....wakafuata palmer na odegaard....Msimu wa 24/25 aliongoza palmer akafuatiwa na Bruno.....
na wale wanaosema kwamba mwaka huu arsenal mwaka huu asipotwaa kombe kibarua cha arteta kitakuwa mashakani sio kweli,kwanza wamiliki wa arsenal wanajua arteta msimu uliioisha ndio kaingiza pesa nyingi kuliko timu yoyote ya EPL kwahyo kazi yake ipo secured
Jukwaa linahitaji mashabiki aina yako, optimistic, obsever, smart thinking lkn unfortunately tuna watu wa "mara huyu mbaya tumepigwa, mara hatuwezi kushinda chochote, sijui ooh Arteta ndio anaua timu" yani ukiingia humu unasoma comment dakika moja unatoka, vinginevyo unajikuta unatukana mtu.Kwangu ntaona usjali bora zaidi kama kweli tukimchukua rodry au EZE sisi timu yetu kimuundo haina tofauti na city au PSG,number tisa sio mchezaji muhimu,mfano mechi yetu na PSG martnel angekuwa mzuri kwa umaliziaji tusingetolewa nao,hatuaji tu magoli tunahitaji mfumo uliokamilika mbape kaongoza kwa magoli hispania lakin madrid hawakuwa na kombe