Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Noni Madueke to Arsenal🤔!! Hii club hakuna ambition yoyote inafocus.. Unawezaje kutaka kutumia almost 50m kwa mchezaji ambaye atakuja kuwa ni bench warmer upande wa kulia ambao yupo Saka.. Au ndio kutaka kutuaminisha Madueke akacheze upande wa kulia?? Hivi kwanini Arsenal ni waoga kuapproach Elite players wanakimbilia makapi na reject za Chelsea ambazo historically hazijawahi kutusaidia chochote zaidi ya kugharimu timu. Ubahili ukizidi sana hutengeneza ujinga ndani yake
Watani zangu hapa ndipo nawapenda mnatusaidiaga kwenye kupunguza mizigo kwenye team kuanzia kina Kai etc endeleani na kuwa na moyo huo huo
 
Tulieni nyie aseno ya makombe isukwe huku madueke huku saka lazima watu waombe poo madueke tunawauzia kwa 50 sababu nyie wanetu ila tungewapiga hata 70 ni bonge la mchezaji lile baada ya madueke njooni tuwape na badiashile bonge la beki
😂😂😂
 
Barcola na Doue walikua wanauzwa 50M.

Leo unatoa 50M kwaajili ya bench warmer
Mbona kijana unanongwa uzuri wa Madueke ni Kama sterling huwa wanaamua game zakucheza vizuri na unaweza ukasema huyu ndio Messi sasa kwenye hizo game chache atawasaidia
 
Aseno yamsajili madueke na dudukwee
1000043588.jpg
 
Chelsea huwa hauzi magarasa yake mbali na London, anajua sehemu ya kuwapeleka pindi wakishindwa kufit kwenye mfumo wake.
No one saw this coming! Unakataa kumuongezea Octopus £50,000 unamleta Madueke akupe EPL!

Kama chelsea sio wachawi basi Arsenal huwa wanapenda kitenga sana.
 
Chelsea huwa hauzi magarasa yake mbali na London, anajua sehemu ya kuwapeleka pindi wakishindwa kufit kwenye mfumo wake.
No one saw this coming! Unakataa kumuongezea Octopus £50,000 unamleta Madueke akupe EPL!

Kama chelsea sio wachawi basi Arsenal huwa wanapenda kitenga sana
Hamjapanga hata mikakati ya namna ya kutoshuka daraja ila mmekalia tu ya Arsenal. Nyie hayaa 😂
 
Arrizabalaga
Zubimendi
Nørgaard

Gyökeres
Mosquera

Rodrygo
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Eze
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Madueke

Andrea Berta is cooking.
Arsenal Football Club will be unstoppable next season
 
Arrizabalaga
Zubimendi
Nørgaard

Gyökeres
Mosquera

Rodrygo
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Eze
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Madueke

Andrea Berta is cooking.
Arsenal Football Club will be unstoppable next season
Mmeanza tena kutustua mioyo yetu bila sababu za msingi mkuu.
 
As of now inasemwa kwamba Arsenal inaendelea na mazungumzo na kambi ya Noni juu ya makubaliano binafsi na yanaenda vizuri.

Lakini Arsenal pia ipo kwenye mazungumzo na Nwaneri na moja ya sehemu waliyopo kwa sasa ni makubaliano juu ya game time.

Achana na Eze.

Achana na Rodrygo.

Kuna Nelson.

Tunaguarantee vipi game time kwa Nwaneri ili akue ikiwa unahangaika na Noni?

Hii itakua ni nonsensical signing ambayo nimewahi kuishuhudia. Chelsea kapigwa fine leo, hii signing ni sehemu ya kujisafisha.

Binafsi yangu, ikatokea Arsenal tunamsajili Noni sitafuatilia mechi za Arsenal mpaka akiondoka.
Tunaongeza takataka 🤣😂
 
Back
Top Bottom