As of now inasemwa kwamba Arsenal inaendelea na mazungumzo na kambi ya Noni juu ya makubaliano binafsi na yanaenda vizuri.
Lakini Arsenal pia ipo kwenye mazungumzo na Nwaneri na moja ya sehemu waliyopo kwa sasa ni makubaliano juu ya game time.
Achana na Eze.
Achana na Rodrygo.
Kuna Nelson.
Tunaguarantee vipi game time kwa Nwaneri ili akue ikiwa unahangaika na Noni?
Hii itakua ni nonsensical signing ambayo nimewahi kuishuhudia. Chelsea kapigwa fine leo, hii signing ni sehemu ya kujisafisha.
Binafsi yangu, ikatokea Arsenal tunamsajili Noni sitafuatilia mechi za Arsenal mpaka akiondoka.