Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kitu ambacho nina uhakika nacho pekee hata ligi haijaanza ni ARSENAL hawezi kuwa bingwa wa EPL labda wa supercomputer 😁.

Vipi ma false hopers kwahiyo mmeona kuwa madueke ndo anaweza kuwapa ubingwa sio alishindwa Sanchez ndo aje madueke au martineli kuweni serious basi.
Kila siku naawambia arsenal ni team ya vichekesho na burudani ndo maana humu huwa hatutokiiii , nimeona clip jamaa mhadzabe kavalishwa jezi ya arsenal kavua kaitupa ukitaka mkosane nae ww mtajie arsenal 😂😂
 
Arsenal iliwahi kuhusishwa na kumnunua Higuain au Suarez.

Dirisha likafungwa akaja Yaya Sanogo.

Kwahiyo mnaofurahi Noni kusajiliwa mkidhani kwamba yeye anakuja na Eze na Gyokeres au Sesko anakuja itakua hamuijui Arsenal.

Atakuja Noni halafu Eze, Gyokeres au Sesko utaambiwa pesa haitoshi.

Trossard ataongezewa mkataba na usajili ambao tuliambiwa utakua wa kujiandaa na kuchukua makombe unakua umeishia hapo.

Manina
 
Noni Madueke to Arsenal🤔!! Hii club hakuna ambition yoyote inafocus.. Unawezaje kutaka kutumia almost 50m kwa mchezaji ambaye atakuja kuwa ni bench warmer upande wa kulia ambao yupo Saka.. Au ndio kutaka kutuaminisha Madueke akacheze upande wa kulia?? Hivi kwanini Arsenal ni waoga kuapproach Elite players wanakimbilia makapi na reject za Chelsea ambazo historically hazijawahi kutusaidia chochote zaidi ya kugharimu timu. Ubahili ukizidi sana hutengeneza ujinga ndani yake
 
Gyokeres is almost a done deal. Nwaneri kwenda loan, naona ni sahihi, lakini timu inayomchukua should guarantee him enough game time otherwise the loan contract should be rescinded at anytime if breached.
Eze ni mali sana, Arteta anajua anavyotufungaga kifundi.
 
Arteta kama kuna msimu ambao ni wamoto kwa Arsenal basi ni huu... Bila kikombe chochote maisha yake ni Magumu sana Emirates mwaka huu. Mashabiki walishaanza kuwa toxic
 
Nyie arsenyeto tutawapa Madueke Baada ya kushinda ubingwa wa dunia ili muendelee kushangaa medali za mabingwa kama mlivyoshangaa medali za UCL za Kai 😂
 
Najitahidi tu kujipa matumaini bro. Chelkenge wamechukua Gittens na Delap, Manymbu wanamchukua Mbeumo, C11ty imeweza kuwapata kina Cherki. Hao wote naona tulikuwa na uwezo wa kuwachukua mbele ya hizo timu ila ni kama hata hatukuwaangalia hao wachezaji. Hivyo sielewi watu wetu wanafanyaje chaguzi zao.
Chelsea yupo nusu fainali kombe la dunia, afu arsenyeto yupo anahangaila na usajili wa mchezaji ambaye ana uhakika wa kushinda kombe la dunia ili angalau waone medali zinavyoonekana 😂

Hapo nani ni kenge? 😂
 
Ila mashabiki wa arsenyeto mkiwa kwenye uzi wa mwanaume wa London ambaye yupo nusu fainali huko USA hua mnatamba sana ila kwenye huu uzi wenu ni kulia na kusaga meno 😂
 
Cv ya maduake hiyo inatosha kabisa aseno kutosa 60m
 

Attachments

  • IMG_20250706_124912.jpg
    IMG_20250706_124912.jpg
    279.4 KB · Views: 9
Leteni hela nyie, fungueni pochi ..sisi ndio wakubwa wenu mkatae mkubali ..sisi ni wakubwa tuu na wakubwa siku zone tutawasaidia wadogo zetu, tunajua wachezaji wetu wengi kwa sasa mnao nyie na kikosi cha kwanza ni lazima wapate namba, chukua Madueke huyoo leta pesa , acheni kulipa kwa mafungu takataka ninyi

Rest Easy Man Jota & Silva 💔💔
 
Back
Top Bottom