Wells
Senior Member
- Apr 21, 2017
- 171
- 415
Noni Madueke to Arsenalš¤!! Hii club hakuna ambition yoyote inafocus.. Unawezaje kutaka kutumia almost 50m kwa mchezaji ambaye atakuja kuwa ni bench warmer upande wa kulia ambao yupo Saka.. Au ndio kutaka kutuaminisha Madueke akacheze upande wa kulia?? Hivi kwanini Arsenal ni waoga kuapproach Elite players wanakimbilia makapi na reject za Chelsea ambazo historically hazijawahi kutusaidia chochote zaidi ya kugharimu timu. Ubahili ukizidi sana hutengeneza ujinga ndani yake