Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Kitu ambacho nina uhakika nacho pekee hata ligi haijaanza ni ARSENAL hawezi kuwa bingwa wa EPL labda wa supercomputer 😁.
Vipi ma false hopers kwahiyo mmeona kuwa madueke ndo anaweza kuwapa ubingwa sio alishindwa Sanchez ndo aje madueke au martineli kuweni serious basi.
Kila siku naawambia arsenal ni team ya vichekesho na burudani ndo maana humu huwa hatutokiiii , nimeona clip jamaa mhadzabe kavalishwa jezi ya arsenal kavua kaitupa ukitaka mkosane nae ww mtajie arsenal 😂😂
Vipi ma false hopers kwahiyo mmeona kuwa madueke ndo anaweza kuwapa ubingwa sio alishindwa Sanchez ndo aje madueke au martineli kuweni serious basi.
Kila siku naawambia arsenal ni team ya vichekesho na burudani ndo maana humu huwa hatutokiiii , nimeona clip jamaa mhadzabe kavalishwa jezi ya arsenal kavua kaitupa ukitaka mkosane nae ww mtajie arsenal 😂😂