Kuna page nimekuta imeweka stats.Yah bei kubwa lakini unamuonaje ku compare na our new #9
Chelsea huwa hauzi magarasa yake mbali na London, anajua sehemu ya kuwapeleka pindi wakishindwa kufit kwenye mfumo wake.
No one saw this coming! Unakataa kumuongezea Octopus £50,000 unamleta Madueke akupe EPL!
Kama chelsea sio wachawi basi Arsenal huwa wanapenda kitenga sana.
a aUsajili wa Sesko ni bei lakini namuona kama ilikuwa ni target kitambo, mazungumzo ya Sesko na Arteta tumesikia toka last summer kama siyo January kama sikosei, ila dirisha hili kuna mtu anaitwa Rodrygo, nadhani kocha kaona he's attainable sasa he becomes our main target akili yote imeamia hapa
Kuna mtu aliwahi kusema mwaka jana km sikosei kua Kenge Summer ukienda unajichotea tu wachezaji maana wanakontena la wachezaji naona sasa yameanza kutokeaKenge wakasema mazungumzo ya Noni yaende sambamba na Nwaneri. Wakagomewa.
Wakasema basi ahusishwe Max Downman, wakagomewa pia.
Kenge wanakomaa kumtoa Noni na ninawasapoti mia ya mia
Mkuu Kila mtu ashinde mechi zakeMmeanza tena kutustua mioyo yetu bila sababu za msingi mkuu.
Tunajitaji mtu wa kuweka mipira nyavuniSesko Sesko is the thing, Jaribu ku imagine front three Saka, Sesko, Eze/ Rodrygo! moto mkali sana.
Sesko ceiling yake ni kubwa afu uzuri ukiwa na sesko, saliba, saka, Rodygo, Rice tayari unaunda timu ya masuper star wanaojua mpira unafuata nyayo za Real.
Huyu dogo Sesko sikuwahi kumfutilia ila niliona some comps nikasema this is a real ST, anakimbia mno runner in behind, aerial prowess maanake tunakuwa na threat ya huyu, Merino, Maghales na Nogaard kwenye kona, sesko pia ana ball striking sio ya nchi hii, link up & hold up play ala kai harvertz lakini pia yupo technical ni ST ambaye yupo full package.
*BundesligaInasemwa kwamba Sesko alikimbia kushindania namba na Kai so hataki yajirudie.
Lakini pia DOF wao hataki majadiliano chini ya 90M. Huwezi lipa hiki kiasi kwa magoli 13 ya La Liga
"...lakini Sesko ana high ceiling kuzidi hata Earling Haaland..."Gyokeres ni mzuri anafunga pia lakini Sesko ana high ceiling kuzidi hata Earling haaland.
K
Katika jambo nilicheka na kuona hatuko serious ni kwenye usajili wa LUIS SUAREZ. 🤣😂
Nili andika humu mimi naenda na gyokeres huyu ni goal hunter kweli kweliKuna page nimekuta imeweka stats.
Halafu page nyingine inasema wengi wanaomtaka Sesko wanatamani kuona tukikosa makombe kisingizio kiwe Sesko ni project so tuvumilie aive.
View attachment 3396599
Goal hunter kwenye ligi gani?Nili andika humu mimi naenda na gyokeres huyu ni goal hunter kweli kweli
Haikumshinda cheki statsGoal hunter kwenye ligi gani?
Huyo si alishacheza EPL na CHAMPIONSHIP ikamshinda,kaenda huko ligi za "ndondo" ndio kawa goal hunter!!!
Tunajitaji mtu wa kuweka mipira nyavuni
Hizo high ceiling, sijui runner hazikupi kitu mwisho wa michuano.
Kuna kipindi katika analysis arsenal tulikua vizuri kwenye overload, sjui high pressing. Mwisho wa siku ndio zikawa zinatumika hizo hizo kutukanwa humu


Daah leo hii mpaka mkorea anaongea hivi tena kwa uchungu ujue akili zimeanza kurudi mahali pake, Mkorea wewe si ndio ulikua mpiga zumari mkuu wa yule motivational speaker wenu Masingeli?