Wewe kenge upo ?"Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri and I like that"
Mpuuzi aliye nafasi 16 halafu akabeba kombe la Ulaya akiwa Unbeatable ni mpuuzi mwenye faida kuliko yule mpuuzi anaesindikiza wenzake kila msimu na kutoka mikono mitupu huku akiishia kuisifia timu yake kwa utayari wa ugomvi na kupata red card nyingi.
Natamani mashabiki wa Arsenyau wangefungiwa tu akili mnemba kuliko kuachwa wanaropokwa hovyo. View attachment 3339798
Wewe kenge upo ?
Wewe jamaa una roho ngumu sana 😀 😀Wazee wa next season hivi kati ya Ange Postecoglou mwenye misimu miwili Spurs na Tetea Kiwigi mwenye miaka 7 unaenda wa 8 hapo Asno ni yupi anaonekana kocha mwenye mafanikio zaidi? View attachment 3341716View attachment 3341721
Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.Deal ya Adidas kwa Nyumbu ni kwamba ikatokea hawajafuzu mashindano ya Ulaya wanapunguza uwekezaji kwa 30%
Mind you nyumbu bado ina ile mishahara anayowalipa average players wengi sana ambao mashabiki wanahisi mtu akilipwa pesa nyingi basi ni world class player.
Kama umeangalia interviews za Bruno, Ruben na Garnacho ni kama vile wanaaga mashabiki. Bruno kaenda mbali mpaka kasema kama akiuzwa ili kufinance Maendeleo ya klabu yeye hana tabu. Ila angependa abaki.
Of course hata wewe ungependa kubaki. Mshahara mkubwa na mashabiki wanaamini we ni elite wakati ni average nitakushangaa ukitaka kuondoka.
mkorea anatumia vilevi vikaliNipo mkuu napitia pitia hapa zile picha zilizoanza kuvuja. View attachment 3342172View attachment 3342173View attachment 3342174View attachment 3342175View attachment 3342176
Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.
Ni mchezaji mzuri sana ila anahitaji timu nzuri ya La Liga ama Serie A akang'are.Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.
Wakizingua (which is very likely) atatimiza 32 akiwa nje ya michuano. By now tunatarajia aanze kua nyanya zaidi kutokana na umri.
Let's see
Imeingia Fainali ya Mbao Cup huko jijini LondonArsenal wameigia fainali UCL ama hawajaingia? nithibitishieni
Kweli aiseeeMsimu huu Eddie Nketiah ana mafanikio makubwa kuliko Saka.
Ukibisha huna akili. View attachment 3337676
Tupo kwenye Phase 6 ya moboresho....tukifika phase 10 tunaanza kubeba kombeTangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.
Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.
Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
Umechanganya mafile kidogo mkuu. Tuko Phase 3. Phase 4 ni phase ya makombe. Yaani ukiona tu makombe yanaingia, ujue Phase 4 hiyooo.Tupo kwenye Phase 6 ya moboresho....tukifika phase 10 tunaanza kubeba kombe