Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe kenge upo ?
 
Mwakani nyumbu tunakuwa wapenzi watazamaji tu. Ingawa binafsi naona ni wakati mzuri wa kufanya rebuild ya kina bila presha ya mechi za ulaya ukizingatia recently tumefanya panic buys kuendana na ushindani na brand yetu sokoni, basi wauzaji walikuwa wanatupiga parefu kwa magalasa.
 
Asengo walipo mfunga madrid ilikuwa balaa mitandaon lakn spurs hawana nongwa mitandaon
 
Binafsi sijawahi kuwaamini hawa makocha wanaovaa vimodo, huyu Amorim naona kama vile nae ana uTetea kwa mbali, haiwezekani usipoteze mechi tokea mwanzo wa michuano halafu uje kupoteza kwenye fainali.
Mambo ya runner-up hio sio culture yetu United, hio mambo awaachie Arsenyau wanaoweza kuvumilia ujinga miaka 7, kwa Man utd atatimuliwa ndani ya msimu wake wa pili tu kama hatajirekebisha, sisi tunataka makombe mezani sio ngonjera za phases zisizoisha.
 
Deal ya Adidas kwa Nyumbu ni kwamba ikatokea hawajafuzu mashindano ya Ulaya wanapunguza uwekezaji kwa 30%

Mind you nyumbu bado ina ile mishahara anayowalipa average players wengi sana ambao mashabiki wanahisi mtu akilipwa pesa nyingi basi ni world class player.

Kama umeangalia interviews za Bruno, Ruben na Garnacho ni kama vile wanaaga mashabiki. Bruno kaenda mbali mpaka kasema kama akiuzwa ili kufinance Maendeleo ya klabu yeye hana tabu. Ila angependa abaki.

Of course hata wewe ungependa kubaki. Mshahara mkubwa na mashabiki wanaamini we ni elite wakati ni average nitakushangaa ukitaka kuondoka.
 
Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.
 
Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.
Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.

Wakizingua (which is very likely) atatimiza 32 akiwa nje ya michuano. By now tunatarajia aanze kua nyanya zaidi kutokana na umri.

Let's see
 
Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.

Wakizingua (which is very likely) atatimiza 32 akiwa nje ya michuano. By now tunatarajia aanze kua nyanya zaidi kutokana na umri.

Let's see
Ni mchezaji mzuri sana ila anahitaji timu nzuri ya La Liga ama Serie A akang'are.
 
Hamjambo wazee wa trophy less! Nashanga tangu uzi umeanzishwa mpaka leo hii club imekua na ukame dah! Inahuzunisha sana lakini mie napita tu!

Ciao.
 
Tupo kwenye Phase 6 ya moboresho....tukifika phase 10 tunaanza kubeba kombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…