Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle wamepaniki. Wameacha kupaki basi na wanafanya sub tatu
 
Ila hili chama litakuja kutuua 😂😂😂

Na tusiposajili tujiandae kwa maumivu
20250518_210640.jpg
 
Arsenal tunapakiwa basi karibu 80% ya mechi zote, hii naona inatuaffect sana.
Inatufanya tusahau namna ya kucheza na tim zinazofunguka...
ZAchinchin wakat tunadiscuss nan aje kati ya victa au sesko, kina ateta wanawaza kusajili beki uko
 
False hoper bana, this season match 4 Newcastle kashinda 3 kupata ushindi wa papatu unakuja kupiga kelele.
Msimu umeisha onyesha kombe unavyo ongelea arsenal kama vile team 😅😅 kumbe kikundi cha wacheza ngoma
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.

Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter
 
Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.

Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.

Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
 
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.

Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter
Kikundi ni nyie tu epl nzima miaka 22 hamna kombe sasa nyinyi ni team? Furaha yako kubwa kuliko zote kwenye soka ni kumfunga madrid 😅 wewe unaona nan kikundi ?
Yaani inter unaita kikundi kuwa na heshima basi false hoper? Inter yupo final uefa ndani ya miaka 3 yupo final 2 wewe miaka 20 hii una final 1 😅 huko kwenye league ndo usiseme.

Shida si kupaki basi shida ni ndani ya cabinet una trophy?? Kama huna wewe basi hicho ni kikundi cha ngoma tu kama wamakonde wengine
 
Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.

Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.

Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!
Rhythm gani😂😂😂 unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm 🥁😆 ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football
 
Kikundi ni nyie tu epl nzima miaka 22 hamna kombe sasa nyinyi ni team? Furaha yako kubwa kuliko zote kwenye soka ni kumfunga madrid 😅 wewe unaona nan kikundi ?
Yaani inter unaita kikundi kuwa na heshima basi false hoper? Inter yupo final uefa ndani ya miaka 3 yupo final 2 wewe miaka 20 hii una final 1 😅 huko kwenye league ndo usiseme.

Shida si kupaki basi shida ni ndani ya cabinet una trophy?? Kama huna wewe basi hicho ni kikundi cha ngoma tu kama wamakonde wengine
Furaha ya Arsenal ni kuifunga spurs. Makombe hua ni bonus tu

Unauliza kama cabinet ya Arsenal ina makombe? 😅😅😅

Newcastle kwa huu mpira wa kupaki basi wako vizuri wakifuatiwa na kikundi kingine cha Inter
 
KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!
Rhythm gani😂😂😂 unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm 🥁😆 ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football

rhythm maana yake siyo muziki. Kama unaheshimika huko ulipo usije ukarudia hiki ulichoandika, watu watahisi elimu kisoda kumbe ni mjinga by choice.
 
Wanaogombea kwenda CL wana last match hizi

Villa atacheza na nyumbu
Kenge atacheza na Forest
Newcastle atacheza na Everton
City atacheza na Bournemouth na Fulham

Villa, Kenge, Newcastle wana points 66. Hawa yeyote akisuluhu au kufungwa inawezekana nafasi yake ikachukuliwa na City au Forest kama City au Forest atashinda mechi zake.

Advantage wanayo Newcastle kwakua wameshinda kombe la carabao hii inamaanisha kwanza wanavuta mpunga mnene wa kushinda kombe ambao ni Paundi laki moja pia wataenda Conference league automatically kwakua ni washindi wa carabao.

In comparison Arsenal ambayo haina msimu mzuri ameingiza zaidi ya paundi milioni 70 kwa kufika nusu fainali ya CL hapa bila kuconsider viingilio. Pia anaingiza paundi milioni 50 kwa kumaliza nafasi ya pili kwenye ligi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom