Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,199
- 10,834
ila tumejitahidi kidogo. Unaona man u&spursIla arsenal hovyo kabisa
ila tumejitahidi kidogo. Unaona man u&spursIla arsenal hovyo kabisa
ila tumejitahidi kidogo. Unaona man u&spurs
Ngapi ngapi hukoSaliba bench
False hoper bana, this season match 4 Newcastle kashinda 3 kupata ushindi wa papatu unakuja kupiga kelele.Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.False hoper bana, this season match 4 Newcastle kashinda 3 kupata ushindi wa papatu unakuja kupiga kelele.
Msimu umeisha onyesha kombe unavyo ongelea arsenal kama vile team 😅😅 kumbe kikundi cha wacheza ngoma
Kikundi ni nyie tu epl nzima miaka 22 hamna kombe sasa nyinyi ni team? Furaha yako kubwa kuliko zote kwenye soka ni kumfunga madrid 😅 wewe unaona nan kikundi ?Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.
Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter