Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ila tumejitahidi kidogo. Unaona man u&spurs
IMG_20250517_001500.jpg
 
Newcastle wamepaniki. Wameacha kupaki basi na wanafanya sub tatu
 
Arsenal tunapakiwa basi karibu 80% ya mechi zote, hii naona inatuaffect sana.
Inatufanya tusahau namna ya kucheza na tim zinazofunguka...
ZAchinchin wakat tunadiscuss nan aje kati ya victa au sesko, kina ateta wanawaza kusajili beki uko
 
False hoper bana, this season match 4 Newcastle kashinda 3 kupata ushindi wa papatu unakuja kupiga kelele.
Msimu umeisha onyesha kombe unavyo ongelea arsenal kama vile team 😅😅 kumbe kikundi cha wacheza ngoma
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.

Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter
 
Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.

Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.

Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
 
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.

Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter
Kikundi ni nyie tu epl nzima miaka 22 hamna kombe sasa nyinyi ni team? Furaha yako kubwa kuliko zote kwenye soka ni kumfunga madrid 😅 wewe unaona nan kikundi ?
Yaani inter unaita kikundi kuwa na heshima basi false hoper? Inter yupo final uefa ndani ya miaka 3 yupo final 2 wewe miaka 20 hii una final 1 😅 huko kwenye league ndo usiseme.

Shida si kupaki basi shida ni ndani ya cabinet una trophy?? Kama huna wewe basi hicho ni kikundi cha ngoma tu kama wamakonde wengine
 
Back
Top Bottom