Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Newcastle united fans?
Kwangu hapana they don't even exist in my world.
Huoni kama ww ndio unatakiwa ukapimwe akili mkuu? Newcatle kabeba kombe, chelsea man u wapo final huko. Muda wowote kombe linanukia, haya tuambie ww una nini msimu huu, kumfunga Madrid au?
Kuna nyie halafu kuna hawa chawa wa CCM, huwaga nawashangaa sana. Kuna fuse huwaga zimepga shoti.
 
Mbuzi mmoja anakuambia hua anashinda makombe msimu wa pili.

Mbuzi mwingine anakwambia hajawahi kupoteza fainali.

Battle of retards
 
Mashabiki wa arsenal bongo wanataka Tottenham ashinde ila uingereza naamini wanaiombea Manchester ndio ashinde.
 
Majinga yanazunguka humu mwezi mzima kupiga makelele ya kipuuzi halafu fainali yanasasambuliwa. Jinga lingine utakuta linamsapoti mjinga mwingine.

Successful campaign kuliko Arsenal, jinga kabisa. Anyway, hata hivyo ni bora angeshinda United kuliko Spurs. Ila kwakua united hawajui mpira matokeo yake ndiyo haya.
 
Jana Flano bado nusu ampasue bwege flani hivi kibanda umiza, hua sipendi zereu mimi, hivyo kuweni na tahadhari humu msije kusema sikuwaambia
1747893424476.jpg
 
Mbuzi mmoja anakuambia hua anashinda makombe msimu wa pili.

Mbuzi mwingine anakwambia hajawahi kupoteza fainali.

Battle of retards
Mbuzi mmoja amekuwa na msimu wa mafanikio kuliko arsenal na washabiki wake wote ,
 
Wazee wa next season hivi kati ya Ange Postecoglou mwenye misimu miwili Spurs na Tetea Kiwigi mwenye miaka 7 unaenda wa 8 hapo Asno ni yupi anaonekana kocha mwenye mafanikio zaidi? View attachment 3341716View attachment 3341721
Arse8 akicheza mashabiki wake duniani kote wanapita mtaani na kanga moja imelowana huku wakisema chukua chukua yote yako.
 
Back
Top Bottom