fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,206
Kama kawaida yao wameshift mada ghafla sana kutoka kuchagua opponent wa kucheza naye fainali ya UCL hadi kubishana usajili wa Gyokeres. Utadhani sio wao hawa walikuwa wanaongelea namna ya kukabiliana na Barca/Inter kwenye fainali!Nyie kenge mnadanganyana sana humu

