Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

"Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri and I like that"

Mpuuzi aliye nafasi 16 halafu akabeba kombe la Ulaya akiwa Unbeatable ni mpuuzi mwenye faida kuliko yule mpuuzi anaesindikiza wenzake kila msimu na kutoka mikono mitupu huku akiishia kuisifia timu yake kwa utayari wa ugomvi na kupata red card nyingi.

Natamani mashabiki wa Arsenyau wangefungiwa tu akili mnemba kuliko kuachwa wanaropokwa hovyo. View attachment 3339798
Hizi emoji na picha hazitasaidia kuficha level ya upuuzi uliyopo kwa sasa. Ni ajabu sana mjinga mmoja unaenda msimu wa tatu anamaliza msimu kwa goal difference za kutosha ila hachoki kutafuta relevance kwa kuquote kila anayemuona na kuanza kupreach uharo.

Pathetic
 
Hizi emoji na picha hazitasaidia kuficha level ya upuuzi uliyopo kwa sasa. Ni ajabu sana mjinga mmoja unaenda msimu wa tatu anamaliza msimu kwa goal difference za kutosha ila hachoki kutafuta relevance kwa kuquote kila anayemuona na kuanza kupreach uharo.

Pathetic
Sasa huyo mjinga mmoja unaenda msimu wa 3 anamaliza kwa GD- za kotosha lakini misimu yote 3 anabeba makombe, hauoni kua ni mjinga anaejitambua kuliko yule msindikizaji misimu yote anamaliza na GD+ za kutosha, clean sheet za kutosha halafu mwisho wa msimu anatoka mikono mitupu?

Hivi malengo haswa ya Arsenyau kucheza mpira ni nini? MAANA HATUWAELEWI.
Isijekua tunawalaumu bure kutokubeba makombe kumbe wenzetu nyie malengo yenu ni GD+




1745923807373.jpg
 
Sasa huyo mjinga mmoja unaenda msimu wa 3 anamaliza kwa GD- za kotosha lakini misimu yote 3 anabeba makombe, hauoni kua ni mjinga anaejitambua kuliko yule msindikizaji misimu yote anamaliza na GD+ za kutosha, clean sheet za kutosha halafu mwisho wa msimu anatoka mikono mitupu?

Hivi malengo haswa ya Arsenyau kucheza mpira ni nini? MAANA HATUWAELEWI.
Isijekua tunawalaumu bure kutokubeba makombe kumbe wenzetu nyie malengo yenu ni GD+




View attachment 3339982
hamjashinda makombe misimu 3.

Now tuassume mmeshinda makombe misimu 3. Na mmeshinda makombe ya muhimu.

Kwanini hauna confidence na timu yako na mafanikio yako mpaka inabidi uje kutafuta relevance hapa? Kwanini lazima utafute engagement kuquote watu day in day out?
 
Richards alisema ikitajwa Arsenal kila mtu anataka aonekane mtaalamu na anakimbilia kuongea.

Juzi mchezaji wa zamani wa kenge, Obi, akasema Arsenal katumia 700M na hakuna makombe ni failing. Akaambiwa aseme context ya hiyo 700M akasema haina haja ya context kikubwa ni 700M imetumika.

Akaambiwa Arsenal kaspend 700M katika misimu 6 hiki kiasi ni halali kabisa kwa huo muda. Akashikilia msimamo.

Akaambiwa ila kenge wametumia Bilioni 1 kwa msimu mmoja. Hapa akasema lakini tuzingatie context ambayo yeye alidai ni kwakua Kenge ipo kwenye transition.

Wajinga wa kariba ya Obi ndiyo wamejazana JF.
 
hamjashinda makombe misimu 3.

Now tuassume mmeshinda makombe misimu 3. Na mmeshinda makombe ya muhimu.

Kwanini hauna confidence na timu yako na mafanikio yako mpaka inabidi uje kutafuta relevance hapa? Kwanini lazima utafute engagement kuquote watu day in day out?
Una ushahidi gani kua sina confidence na mafanikio ya timu yangu?
Tunawaquote sio kwa kupenda bali kusahihisha pale tunapoona mnaudanganya umma waziwazi.
1781124175.jpg
 
Una ushahidi gani kua sina confidence na mafanikio ya timu yangu?
Tunawaquote sio kwa kupenda bali kusahihisha pale tunapoona mnaudanganya umma waziwazi.
View attachment 3340097
Ungekua na hiyo confidence ungekua uzi wenu mkijadili mafanikio ya timu.

You will never stay relevant gallery imejaa timu za watu wengine. Day in day out unajiingizisha kwenye conversation hazikuhusu.

Pathetic
 
Una ushahidi gani kua sina confidence na mafanikio ya timu yangu?
Tunawaquote sio kwa kupenda bali kusahihisha pale tunapoona mnaudanganya umma waziwazi.
View attachment 3340097
Kumbe nyundo ni Ass-anal?
Haha jamaa yangu unawapiga spana mpk wanacheua povu.

Ifike atu washabiki wa hii timu wajue tunaingia kwenye uzi wao kuja kusoma vichekesho vyao ndio maana hatuwaachi, yaani huu uzi uwekwe jukwaa la jokes.
 
Sasa huyo mjinga mmoja unaenda msimu wa 3 anamaliza kwa GD- za kotosha lakini misimu yote 3 anabeba makombe, hauoni kua ni mjinga anaejitambua kuliko yule msindikizaji misimu yote anamaliza na GD+ za kutosha, clean sheet za kutosha halafu mwisho wa msimu anatoka mikono mitupu?

Hivi malengo haswa ya Arsenyau kucheza mpira ni nini? MAANA HATUWAELEWI.
Isijekua tunawalaumu bure kutokubeba makombe kumbe wenzetu nyie malengo yenu ni GD+




View attachment 3339982
Kama hata kuelewa hapa baasi matatizo ya asnal ni makubwa yanaanza kwenye akili kwanza.
Maana false hopes kwa miaka 21+ lazima afya ya akili pia ichunguzwe .

Mtu anaongelea GD , clean sheet, overloading sijui inverted midfielder na kujivunia without a single trophy na team ambayo every season inatoka na trophy mmoja , maajabu hayaishi kwa false hopers
 
Forest akitaka kuja CL inabidi afie arena dhidi ya kenge halafu lady luck awe upande wake newcastle na villa wasishinde.

Hawa wakishinda watakua na points 69 halafu yeye ataishia points 68. So team za CL zitakua Loserfools, Arsenal, C115y (assuming asifungwe tu game ya mwisho dhidi ya Fulham), Newcastle na Spurs/ Nyumbu. Kisha yeye atatakiwa aende Europa.

Ila hawezi kwenda Europa kwakua Palace alishashinda FA so formality ni Palace aende Europa kisha Forest aende Conference. Lakini kwakua Villa alishinda na ana points 69 hii inamaanisha Villa ataenda Conference na Forest atakua out.

Hii sasa inahalalisha ile attitude ya mmiliki wa Forest.

Mwingine ambaye atakua out ni kenge, blow itakua kubwa kwake kwa matokeo ya hivi kwakua itakuja kumgusa na kwenye finance.
 
Online mashabiki wa Arsenal wanaihype Forest ihakikishe kenge hashindi game ya mwisho. Mashabiki wapo sure villa atamkanyaga nyumbu.

Belief ni kwamba Kenge asiposhinda hiyo game ni ama atajikuta conference league au ashinde conference league ili automatically ajikute Europa. Kenge akishinda conference league automatically anaenda Europa.

So Europa zitaenda timu mbili. Iliyoshinda FA na Kenge kwa kushika nafasi ya saba au kushinda conference league. Na kama Villa atamkanyaga nyumbu baada ya formalities zote itabidi Villa ajikute Conference league na Forest atakua out of international tournament yoyote.

Ila Newcastle alishashinda Carabao cup hivyo ana automatic qualification ya conference league. Hivyo Villa na Forest watakua nje ya international tournament yoyote.
 
Kuna page X inapost shit kwa Arsenal fans wanaosema bora ashinde Spurs iki-cite kwamba rivalry ni kati ya Arsenal na Spurs. Mashabiki wakawa na maoni tofauti, some are saying kwa nchi zao huwezi kukutana na shabiki wa spurs na tangu wameanza kufuatilia mpira rivalry kwao imekua dhidi ya nyumbu so wanaona bora ashinde Spurs.

Kuna page ikabalance mzani kwa kusema tu kwamba yeyote atayeshinda kati ya hao ni loss kwa Arsenal.
Screenshot_2025-05-21-08-46-39-057_com.twitter.android-edit.jpg
 
Kuna watu humu inabidi wapimwe akili.okay ni banter or whatever ila ni very illogical,
Akija shabiki wa man city au liverpool humu na akatiririka angalau namwelewa maana they have something to prove.

Shida inakuja pale ambapo shabiki wa man u au Chelsea anapakuja kuleta story za ajabu humu.

Timu yako Iko nafasi ya 16 au ya sita ila bado una courage ya kuja kutapika humu,hii ni zaidi ya ujasiri
 
Newcastle united fans?
Kwangu hapana they don't even exist in my world.
 
Back
Top Bottom