Hizi emoji na picha hazitasaidia kuficha level ya upuuzi uliyopo kwa sasa. Ni ajabu sana mjinga mmoja unaenda msimu wa tatu anamaliza msimu kwa goal difference za kutosha ila hachoki kutafuta relevance kwa kuquote kila anayemuona na kuanza kupreach uharo."Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri and I like that"
Mpuuzi aliye nafasi 16 halafu akabeba kombe la Ulaya akiwa Unbeatable ni mpuuzi mwenye faida kuliko yule mpuuzi anaesindikiza wenzake kila msimu na kutoka mikono mitupu huku akiishia kuisifia timu yake kwa utayari wa ugomvi na kupata red card nyingi.
Natamani mashabiki wa Arsenyau wangefungiwa tu akili mnemba kuliko kuachwa wanaropokwa hovyo. View attachment 3339798
Pathetic

