Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.

Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.

Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!
Rhythm gani😂😂😂 unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm 🥁😆 ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football
 
Kikundi ni nyie tu epl nzima miaka 22 hamna kombe sasa nyinyi ni team? Furaha yako kubwa kuliko zote kwenye soka ni kumfunga madrid 😅 wewe unaona nan kikundi ?
Yaani inter unaita kikundi kuwa na heshima basi false hoper? Inter yupo final uefa ndani ya miaka 3 yupo final 2 wewe miaka 20 hii una final 1 😅 huko kwenye league ndo usiseme.

Shida si kupaki basi shida ni ndani ya cabinet una trophy?? Kama huna wewe basi hicho ni kikundi cha ngoma tu kama wamakonde wengine
Furaha ya Arsenal ni kuifunga spurs. Makombe hua ni bonus tu

Unauliza kama cabinet ya Arsenal ina makombe? 😅😅😅

Newcastle kwa huu mpira wa kupaki basi wako vizuri wakifuatiwa na kikundi kingine cha Inter
 
KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!
Rhythm gani😂😂😂 unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm 🥁😆 ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football

rhythm maana yake siyo muziki. Kama unaheshimika huko ulipo usije ukarudia hiki ulichoandika, watu watahisi elimu kisoda kumbe ni mjinga by choice.
 
Wanaogombea kwenda CL wana last match hizi

Villa atacheza na nyumbu
Kenge atacheza na Forest
Newcastle atacheza na Everton
City atacheza na Bournemouth na Fulham

Villa, Kenge, Newcastle wana points 66. Hawa yeyote akisuluhu au kufungwa inawezekana nafasi yake ikachukuliwa na City au Forest kama City au Forest atashinda mechi zake.

Advantage wanayo Newcastle kwakua wameshinda kombe la carabao hii inamaanisha kwanza wanavuta mpunga mnene wa kushinda kombe ambao ni Paundi laki moja pia wataenda Conference league automatically kwakua ni washindi wa carabao.

In comparison Arsenal ambayo haina msimu mzuri ameingiza zaidi ya paundi milioni 70 kwa kufika nusu fainali ya CL hapa bila kuconsider viingilio. Pia anaingiza paundi milioni 50 kwa kumaliza nafasi ya pili kwenye ligi.
 
Point 3 zipi hapo emirates umesahau nimekupiga 2 :0 hapo hapo tena nakupiga goal 3 leo.
Katika game 5 tulizokutana umeshinda game 1 tu zote 4 nakupiga , kwanza nafasi ya 2 inabidi nikae mimi hapo maana huna unachokifanya muda wote upo hapo.
Si nilikuambia unakuja kunipa points 3?
Na jana tuliwahurumia sana nyie. Sasa pambana uingie top 5 tukacheze wote Champions League. Sisi Ze Ganaz tunawasupport nyie muingie kuliko wale washamba Chelkenge.
 
Inabidi uwe mjinga ili uamini Newcastle anaifunga Arsenal.

Sijakutana na kakikundi kanajua kupaki basi kama haka kakifuatiwa na Inter
Najua hakukuelewa ila twende naye taratibu tu huyu mwamba. Si unajua aliondoka kwetu? Muda si mrefu atarejea na asiporejea, atahamia timu nyingine akiona mijusi haishindi makombe atakavyo yeye.
 
Kama kawaida yao wameshift mada ghafla sana kutoka kuchagua opponent wa kucheza naye fainali ya UCL hadi kubishana usajili wa Gyokeres. Utadhani sio wao hawa walikuwa wanaongelea namna ya kukabiliana na Barca/Inter kwenye fainali!
Sasa hivi tunajadili sajili za kutengeneza kikosi cha mauaji maana ndicho tulichobaki nacho. Tumemaliza nafasi ya 2 kwa msimu wa tatu mfululizo huku msimu huu ukiwa mbovu kwetu kuliko hiyo miwili iliyopita.

Sasa ni lazima tujipange upya kufwekelea mbali pimbi yeyote atakayekatiza kwenye anga zetu.

Tunawaonya tu, msimu ujao utakuwa wa vilio vingi kwa wapinzani wetu.
 
Gyokeres ama Sesko?

Tetesi ni kuwa tunawafuatilia hawa wawili. Mimi huwa siamini habari yoyote ya Arsenal mpaka nimuone mchezaji anatambulishwa Arsenal.com

Ila nyie wadau mnaona yupi anatufaa na kwa nini? Na je kama mmeangalia mastraika tofauti na hao, yupi mnaona atatufaa?
Waje wote.

Fund ipo
 
Dusan at some point Arsenal tulikua tunahitaji huduma yake and the guy opted Juve.

Leo Juve hawataki kuextend mkataba wa Dusan, I wonder if he would have been treated differently at Arsenal
 
Waje wote.

Fund ipo
Wote kwa pamoja si wanaweza kugharimu 150m euros hawa? Siyo mbaya ila nadhani klabu itataka kumchukua mmoja tu kwanza maana Havertz atakuwa amepona na Jesus bado yupo, wote hawa wawili wanamishahara ya juu sana na hawauziki.

Klabu itajitahidi kuwekeza kwenye nafasi zingine, kama wings na beki mmoja wa pembeni maana Zinchenko na Tomiyasu wanaweza kujikuta wameondoka, Kiwior akabaki.

Naanza kuwaza pia kama Odegaard ataenda kufanyiwa surgery sasa, labda ni muhimu kumchukua mtu kama Eze wa Crystal Palace au playmaker mwingine matata apambanie nafasi ya Odegaard.
 
Dk za mwisho kwenye mechi ya jana ukatokea ugomvi. Ule ugomvi ni matokeo ya Kai kufanya ambacho wachezaji wa Newcastle wamekua wanakifanya kwa misimu miwili sasa.

The difference is that mtenda akitendewa hujihisi kaonewa.

hamis77 aliwahi kusema Kai hua anacheza rafu ambazo hazimpi kadi ila zinamzuia mpinzani. Hicho ndicho Kai alichofanya alipoingia tu.

Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri. I like that, wayback ugomvi alikua anaachiwa Xhaka peke yake, Kieran peke yaka au Guendouz peke yake, Arteta brought this team together.
 
Timber anaenda kufanyiwa surgery kwenye ankle yake. Tunamtakia kila la heri.
 
Sesko anaweza kuondoka RB Leipzig kwa sababu hawajafanikiwa kuingia kwenye ligi yoyote ya Ulaya.
 
Msimu jana Liverkuku walimaliza msimu katika nafasi ya tatu na points 82 huku sisi tukimaliza wa pili na points 89. C115y walikuwa vinara kwa points 91.

Msimu huu Liverpool ni mabingwa, wana points 83 na huenda wakamaliza na 86.
Sisi ni wa pili na points 71, zinaweza kufika 74, huku C115y wakiwa na uwezo wa kufikisha points 71 tu.

Je tunaweza kuona kipi hapa?
 
Dk za mwisho kwenye mechi ya jana ukatokea ugomvi. Ule ugomvi ni matokeo ya Kai kufanya ambacho wachezaji wa Newcastle wamekua wanakifanya kwa misimu miwili sasa.

The difference is that mtenda akitendewa hujihisi kaonewa.

hamis77 aliwahi kusema Kai hua anacheza rafu ambazo hazimpi kadi ila zinamzuia mpinzani. Hicho ndicho Kai alichofanya alipoingia tu.

Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri. I like that, wayback ugomvi alikua anaachiwa Xhaka peke yake, Kieran peke yaka au Guendouz peke yake, Arteta brought this team together.
Tazama akili matope hii, wenzao wanafurahia na kushangilia makombe wenyewe wanashangilia ugomvi.
Tukisemaga humu kua ukishabikia hii timu lazima tu utakua na matatizo ya kisaikolojia watu wanaona kama vile tunawaonea, haya jioneeni wenyewe.

"Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri, I like that"

1651289304.jpg
 
Tazama akili matope hii, wenzao wanafurahia na kushangilia makombe wenyewe wanashangilia ugomvi.
Tukisemaga humu kua ukishabikia hii timu lazima tu utakua na matatizo ya kisaikolojia watu wanaona kama vile tunawaonea, haya jioneeni wenyewe.

Mashabiki wa Arsenyau badala ya kuzungumzia utayari wa kubeba makombe wenyewe wanazungumzia utayari wa timu yao kwenye ugomvi ni mzuri.
View attachment 3339719
Mpuuzi aliye nafasi ya 16 anakuja kuongelea swala la makombe kwenye uzi wa aliye nafasi ya pili.

Unatafuta relevance siyo? Unatamani kuongeleshwa punda wa matofali ya kuchoma
 
Mpuuzi aliye nafasi ya 16 anakuja kuongelea swala la makombe kwenye uzi wa aliye nafasi ya pili.

Unatafuta relevance siyo? Unatamani kuongeleshwa punda wa matofali ya kuchoma
"Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri and I like that"

Mpuuzi aliye nafasi 16 halafu akabeba kombe la Ulaya akiwa Unbeatable ni mpuuzi mwenye faida kuliko yule mpuuzi anaesindikiza wenzake kila msimu na kutoka mikono mitupu huku akiishia kuisifia timu yake kwa utayari wa ugomvi na kupata red card nyingi.

Natamani mashabiki wa Arsenyau wangefungiwa tu akili mnemba kuliko kuachwa wanaropokwa hovyo.
1652449023.jpg
 
Back
Top Bottom