Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
KWENYE RHYTHM SIO!!!!!!Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.
Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.
Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
Rhythm gani😂😂😂 unajua arsenal fans huwa mnaleta raha sana yaani mpo kwenye rhythm ndo makombe yenu hayo .
Rhythm peleka kwenye ngoma huko huku kwenye mpira ni trophies basi, tukiwaambia nyinyi ni kikundi cha ngoma mnabisha ona sasa ushaanza kuleta mambo ya ngoma huku.
Huwezi kuta fan wa Chelsea, man city , Newcastle, Liverpool , man utd Leicester na hata westham wanaongelea mambo ya rhythm 🥁😆 ni wataongelea drogba alivyopiga tuta la mwisho, rodri alivyopiga ile bomba ikazama, mahrez na vard walivyokua wanasumbua, slot alivyonyanyua kombe , van der saar alivyochomoa tuta la anelka, rice na moyes walivyonyanyua kombe au isak alivyopiga kamba ya pili hizi zote ni story za makombe.
Wewe unaleta mambo ya ngoma tena kwenye football
