Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal fans online wameanza kuchambua context ya spurs kuchukua kombe.

Aina ya opponents na cash incentive ya kushinda Europa. They are trying to water down umuhimu wa hili kombe kwa spurs.

I think in terms of winning they did great labda ije kwenye ishu za cash incentive, hapa ndiyo Arsenal anakua top.

Anyway, it's funny pia mashabiki wa nyumbu wengine wanasema Hakika Ruben afukuzwe halafu wengine ili kuficha maumivu wanajifanya hawajali so long as Arsenal hana trophy 😅

Ujinga ni kipaji. Kiundiwe segment kwenye mashindano ya Olympic
 
Ubaya uko hapa.

Kutokana na kukosa kombe nyumbu anakua hayupo sawa financially kwenye vitabu. Ili kuvibalansi itabidi auze baadhi ya wachezaji, kisha asajili mid players.

Elite players watahitaji pesa zaidi hii itasababisha vitabu visibalansi. So system is kinda leaning on making sure aliyefanikiwa anafanikiwa zaidi.

Hivi viazi 😅😅 havijajua uzito wa situation bado vinazunguka kujifariji
 
"Utayari wa Arsenal kwenye ugomvi ni mzuri and I like that"

Mpuuzi aliye nafasi 16 halafu akabeba kombe la Ulaya akiwa Unbeatable ni mpuuzi mwenye faida kuliko yule mpuuzi anaesindikiza wenzake kila msimu na kutoka mikono mitupu huku akiishia kuisifia timu yake kwa utayari wa ugomvi na kupata red card nyingi.

Natamani mashabiki wa Arsenyau wangefungiwa tu akili mnemba kuliko kuachwa wanaropokwa hovyo. View attachment 3339798
Wewe kenge upo ?
 
Mwakani nyumbu tunakuwa wapenzi watazamaji tu. Ingawa binafsi naona ni wakati mzuri wa kufanya rebuild ya kina bila presha ya mechi za ulaya ukizingatia recently tumefanya panic buys kuendana na ushindani na brand yetu sokoni, basi wauzaji walikuwa wanatupiga parefu kwa magalasa.
 
Asengo walipo mfunga madrid ilikuwa balaa mitandaon lakn spurs hawana nongwa mitandaon
 
Wewe kenge upo ?
Nipo mkuu napitia pitia hapa zile picha zilizoanza kuvuja.
1746634202636.jpg
images-7.jpg
images-8.jpg
1746879258241.jpg
tapatalk_-467365911_562x576.jpg
 
Binafsi sijawahi kuwaamini hawa makocha wanaovaa vimodo, huyu Amorim naona kama vile nae ana uTetea kwa mbali, haiwezekani usipoteze mechi tokea mwanzo wa michuano halafu uje kupoteza kwenye fainali.
Mambo ya runner-up hio sio culture yetu United, hio mambo awaachie Arsenyau wanaoweza kuvumilia ujinga miaka 7, kwa Man utd atatimuliwa ndani ya msimu wake wa pili tu kama hatajirekebisha, sisi tunataka makombe mezani sio ngonjera za phases zisizoisha.
1281578344.jpg
 
Deal ya Adidas kwa Nyumbu ni kwamba ikatokea hawajafuzu mashindano ya Ulaya wanapunguza uwekezaji kwa 30%

Mind you nyumbu bado ina ile mishahara anayowalipa average players wengi sana ambao mashabiki wanahisi mtu akilipwa pesa nyingi basi ni world class player.

Kama umeangalia interviews za Bruno, Ruben na Garnacho ni kama vile wanaaga mashabiki. Bruno kaenda mbali mpaka kasema kama akiuzwa ili kufinance Maendeleo ya klabu yeye hana tabu. Ila angependa abaki.

Of course hata wewe ungependa kubaki. Mshahara mkubwa na mashabiki wanaamini we ni elite wakati ni average nitakushangaa ukitaka kuondoka.
 
Deal ya Adidas kwa Nyumbu ni kwamba ikatokea hawajafuzu mashindano ya Ulaya wanapunguza uwekezaji kwa 30%

Mind you nyumbu bado ina ile mishahara anayowalipa average players wengi sana ambao mashabiki wanahisi mtu akilipwa pesa nyingi basi ni world class player.

Kama umeangalia interviews za Bruno, Ruben na Garnacho ni kama vile wanaaga mashabiki. Bruno kaenda mbali mpaka kasema kama akiuzwa ili kufinance Maendeleo ya klabu yeye hana tabu. Ila angependa abaki.

Of course hata wewe ungependa kubaki. Mshahara mkubwa na mashabiki wanaamini we ni elite wakati ni average nitakushangaa ukitaka kuondoka.
Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.
 
Huyo Bruno aje kwetu awe anacheza mechi za Carabao na awe back up ya kina Nwaneri.
Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.

Wakizingua (which is very likely) atatimiza 32 akiwa nje ya michuano. By now tunatarajia aanze kua nyanya zaidi kutokana na umri.

Let's see
 
Mwakani anatimiza 31 huku akiwa hayupo kwenye michuano ya Ulaya.

Wakizingua (which is very likely) atatimiza 32 akiwa nje ya michuano. By now tunatarajia aanze kua nyanya zaidi kutokana na umri.

Let's see
Ni mchezaji mzuri sana ila anahitaji timu nzuri ya La Liga ama Serie A akang'are.
 
Hamjambo wazee wa trophy less! Nashanga tangu uzi umeanzishwa mpaka leo hii club imekua na ukame dah! Inahuzunisha sana lakini mie napita tu!

Ciao.
 
Tangu tuanze kua kwenye rhythm huu ni msimu ambao mechi ya kwanza tu nikajua we will have a long season.

Huu ni msimu ambao kila kitu kilikua against surprisingly ambao wanaclaim wana timu bora wanatrail. Mkikutana watafanya swarming ya mbele ya goli.

Anyway, hii timu kumaliza nafasi ya pili ni milestone. Kikosi kinatakiwa kuboreshwa, maajabu yake bado tunafanya unnecessary dragging
Tupo kwenye Phase 6 ya moboresho....tukifika phase 10 tunaanza kubeba kombe
 
Back
Top Bottom