😂😂😂😂 false hope wametengeneza hope nyingine kwamba psg anahonga waamuzi . False hopes juu ya false hopes kuna mwaka walitaka wapewe kombe eti kisa man city ina kesi mahakamaniHii ishu ya Arsenal kuingia fainali UEFA ni kweli?
Hii ni nyie manyumbu na kenge mnashindwa kutumia akili.Msimu huu Eddie Nketiah ana mafanikio makubwa kuliko Saka.
Ukibisha huna akili. View attachment 3337676
Hapo kwenye champion makers nimecheka sana😂😂 ila nyinyi ni champion makers kweli maana kwenye race yoyote ya champion ukiwa na arsenal unajihesabu kabisa wewe ni champion maana kwenye race upo na arsenal kama ilivyotokea kwa man city, Leicester, Birmingham , Liverpool na wengine wengiHii ni nyie manyumbu na kenge mnashindwa kutumia akili.
Ujanja wa kushinda kombe lolote kinyota nyota ni kuwa na wachezaji kutoka Arsenal, the Champion Makers.
Hata nyie mmejitahidi kuwachukua Chido na Heaven na si mnaona mpo fainali ya Europa?
Ila mjue muda si mrefu tutaacha huu uungwana wetu wa kusaidia wengine kubeba makombe halafu tutaanza kuyasomba yote wenyewe.
Hili tutaanza rasmi next season katika Phase 4 aka phase la makombe na mataji.
Wewe tukutane Emirates baadae unipe points zangu 3.Hapo kwenye champion makers nimecheka sana😂😂 ila nyinyi ni champion makers kweli maana kwenye race yoyote ya champion ukiwa na arsenal unajihesabu kabisa wewe ni champion maana kwenye race upo na arsenal kama ilivyotokea kwa man city, Leicester, Birmingham , Liverpool na wengine wengi
Point 3 zipi hapo emirates umesahau nimekupiga 2 :0 hapo hapo tena nakupiga goal 3 leo.Wewe tukutane Emirates baadae unipe points zangu 3.
So unaona kama wewe unastahili hii nafasi yangu ya pili kuliko mimi?Point 3 zipi hapo emirates umesahau nimekupiga 2 :0 hapo hapo tena nakupiga goal 3 leo.
Katika game 5 tulizokutana umeshinda game 1 tu zote 4 nakupiga , kwanza nafasi ya 2 inabidi nikae mimi hapo maana huna unachokifanya muda wote upo hapo.
As long as ni arsenal fan hustahili chochote kabisa😂, hii nafasi ya pili nitakaa kuzugia tu ili next season nikae pale juu natamani uwe nafasi ya 2 mm nikiwa juu maana wewe ndo tiketi ya ubingwa kwa team yoyote inayokaa juu wakikaa kina liverpool, man city, chelsea , man utd safari inakua ngumu ila wewe pombe ya ngomani kila mtu anajichotea tu hahahaSo unaona kama wewe unastahili hii nafasi yangu ya pili kuliko mimi?
Gyokeres and Sesko only want ArsenalGyokeres ama Sesko?
Tetesi ni kuwa tunawafuatilia hawa wawili. Mimi huwa siamini habari yoyote ya Arsenal mpaka nimuone mchezaji anatambulishwa Arsenal.com
Ila nyie wadau mnaona yupi anatufaa na kwa nini? Na je kama mmeangalia mastraika tofauti na hao, yupi mnaona atatufaa?