Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

images(2).jpg

Kweli nyie mnanux, Nketiha keshajibebea zake kombe. Angeng'ang'ania hapo kwa Mabridesmaid, angejizeekea bila kubeba chochote kama mwenzie Saka.
 
Hii ishu ya Arsenal kuingia fainali UEFA ni kweli?
😂😂😂😂 false hope wametengeneza hope nyingine kwamba psg anahonga waamuzi . False hopes juu ya false hopes kuna mwaka walitaka wapewe kombe eti kisa man city ina kesi mahakamani
 
Msimu huu Eddie Nketiah ana mafanikio makubwa kuliko Saka.
Ukibisha huna akili. View attachment 3337676
Hii ni nyie manyumbu na kenge mnashindwa kutumia akili.

Ujanja wa kushinda kombe lolote kinyota nyota ni kuwa na wachezaji kutoka Arsenal, the Champion Makers.
Hata nyie mmejitahidi kuwachukua Chido na Heaven na si mnaona mpo fainali ya Europa?

Ila mjue muda si mrefu tutaacha huu uungwana wetu wa kusaidia wengine kubeba makombe halafu tutaanza kuyasomba yote wenyewe.

Hili tutaanza rasmi next season katika Phase 4 aka phase la makombe na mataji.
 
Gyokeres ama Sesko?

Tetesi ni kuwa tunawafuatilia hawa wawili. Mimi huwa siamini habari yoyote ya Arsenal mpaka nimuone mchezaji anatambulishwa Arsenal.com

Ila nyie wadau mnaona yupi anatufaa na kwa nini? Na je kama mmeangalia mastraika tofauti na hao, yupi mnaona atatufaa?
 
Hii ni nyie manyumbu na kenge mnashindwa kutumia akili.

Ujanja wa kushinda kombe lolote kinyota nyota ni kuwa na wachezaji kutoka Arsenal, the Champion Makers.
Hata nyie mmejitahidi kuwachukua Chido na Heaven na si mnaona mpo fainali ya Europa?

Ila mjue muda si mrefu tutaacha huu uungwana wetu wa kusaidia wengine kubeba makombe halafu tutaanza kuyasomba yote wenyewe.

Hili tutaanza rasmi next season katika Phase 4 aka phase la makombe na mataji.
Hapo kwenye champion makers nimecheka sana😂😂 ila nyinyi ni champion makers kweli maana kwenye race yoyote ya champion ukiwa na arsenal unajihesabu kabisa wewe ni champion maana kwenye race upo na arsenal kama ilivyotokea kwa man city, Leicester, Birmingham , Liverpool na wengine wengi
 
Hapo kwenye champion makers nimecheka sana😂😂 ila nyinyi ni champion makers kweli maana kwenye race yoyote ya champion ukiwa na arsenal unajihesabu kabisa wewe ni champion maana kwenye race upo na arsenal kama ilivyotokea kwa man city, Leicester, Birmingham , Liverpool na wengine wengi
Wewe tukutane Emirates baadae unipe points zangu 3.
 
Point 3 zipi hapo emirates umesahau nimekupiga 2 :0 hapo hapo tena nakupiga goal 3 leo.
Katika game 5 tulizokutana umeshinda game 1 tu zote 4 nakupiga , kwanza nafasi ya 2 inabidi nikae mimi hapo maana huna unachokifanya muda wote upo hapo.
So unaona kama wewe unastahili hii nafasi yangu ya pili kuliko mimi?
 
So unaona kama wewe unastahili hii nafasi yangu ya pili kuliko mimi?
As long as ni arsenal fan hustahili chochote kabisa😂, hii nafasi ya pili nitakaa kuzugia tu ili next season nikae pale juu natamani uwe nafasi ya 2 mm nikiwa juu maana wewe ndo tiketi ya ubingwa kwa team yoyote inayokaa juu wakikaa kina liverpool, man city, chelsea , man utd safari inakua ngumu ila wewe pombe ya ngomani kila mtu anajichotea tu hahaha
 
Gyokeres ama Sesko?

Tetesi ni kuwa tunawafuatilia hawa wawili. Mimi huwa siamini habari yoyote ya Arsenal mpaka nimuone mchezaji anatambulishwa Arsenal.com

Ila nyie wadau mnaona yupi anatufaa na kwa nini? Na je kama mmeangalia mastraika tofauti na hao, yupi mnaona atatufaa?
Gyokeres and Sesko only want Arsenal
 
Back
Top Bottom