Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaendeleaje mkuu
Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia mashabiki wa Utd kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi hawa Arsenyau wanawezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?
Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo.
images-10.jpg
 
Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia mashabiki wa Utd kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi hawa Arsenyau wanawezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?
Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo. View attachment 3343721
Vumilieni 😂
Kwa miaka kama mitano hv, spurs ana mafanikio makubwa kumzidi arsenyani na nyumbu 🔥
 
Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia mashabiki wa Utd kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi hawa Arsenyau wanawezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?
Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo. View attachment 3343721
😃😃😃 hujakosa kabisa namna ya kutuhusisha sisi kwenye andiko lako la masikitiko juu ya timu yako.

Hata hivyo, sisi tutabaki kuwa juu na nyie mtaendelea kubaki chini.

Msimu ujao najua utakuwa unatushabikia Ulaya.
 
hujakosa kabisa namna ya kutuhusisha sisi kwenye andiko lako la masikitiko juu ya timu yako.

Hata hivyo, sisi tutabaki kuwa juu na nyie mtaendelea kubaki chini.

Msimu ujao najua utakuwa unatushabikia Ulaya.
Yaani kabisa niache kushabikia hata Spurs yenye walau kombe la Ulaya niende nikashabikie Arsenyau kwangu pakavu?
si nitaonekana kituko kwenye jamii.
1710749783560.jpg
 
Leo wanawake wetu wako UCL final na wanawake wa Barcelona, mabingwa watetezi.
Sijui kama Van Domselaar atakuwa amerudi golini maana yeye ni nafuu kuliko Zinsberger.
 
Leo wanawake wetu wako UCL final na wanawake wa Barcelona, mabingwa watetezi.
Sijui kama Van Domselaar atakuwa amerudi golini maana yeye ni nafuu kuliko Zinsberger.
Nyie hata uwezo wa droo hamna. Mhindi kawapa 9!! Pain every where sio kwa wanaume sio kwa wanawake. Mmelaaniwa.

Sie wakina mama angalau wametupa invicible ya pili safiii. Ambayo mnatambaga nayo, mpk wamama wanaweza!! tena mara ya pili. Sio ishu tena.
 
Nyie hata uwezo wa droo hamna. Mhindi kawapa 9!! Pain every where sio kwa wanaume sio kwa wanawake. Mmelaaniwa.

Sie wakina mama angalau wametupa invicible ya pili safiii. Ambayo mnatambaga nayo, mpk wamama wanaweza!! tena mara ya pili. Sio ishu tena.
Hata kufika fainali yenyewe wanawake wetu wamefika kwa ugumu sana. Barcelona wao waliteleza tu mpaka fainali. Hawa Barcelona waliwacharaza haswa wanawake wa Chelsea.
 
Barcelona wametukalia kooni ila Blackstenius amewakosakosa hapa. Almost iwe 1-0
 
Bado dk 7. Blackstenius alikuwa na fursa ya kumaliza game dk ya 90...ila si mbaya. Hebu tuone kama tutaweza kushikilia bomba.
 
Back
Top Bottom