Nyie hata uwezo wa droo hamna. Mhindi kawapa 9!! Pain every where sio kwa wanaume sio kwa wanawake. Mmelaaniwa.Leo wanawake wetu wako UCL final na wanawake wa Barcelona, mabingwa watetezi.
Sijui kama Van Domselaar atakuwa amerudi golini maana yeye ni nafuu kuliko Zinsberger.
Hata kufika fainali yenyewe wanawake wetu wamefika kwa ugumu sana. Barcelona wao waliteleza tu mpaka fainali. Hawa Barcelona waliwacharaza haswa wanawake wa Chelsea.Nyie hata uwezo wa droo hamna. Mhindi kawapa 9!! Pain every where sio kwa wanaume sio kwa wanawake. Mmelaaniwa.
Sie wakina mama angalau wametupa invicible ya pili safiii. Ambayo mnatambaga nayo, mpk wamama wanaweza!! tena mara ya pili. Sio ishu tena.
Angeanza mwanzo wa msimu angebeba ile wsl nadhaniHuyu kocha apewe mkataba
KashapewaHuyu kocha apewe mkataba
Apewe mkataba kama ile ya kina chief mangungo miaka 100Kashapewa