Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Unaendeleaje mkuu![]()


Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia mashabiki wa Utd kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi hawa Arsenyau wanawezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo.
