HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,643
- 7,073
😃😃😃 hujakosa kabisa namna ya kutuhusisha sisi kwenye andiko lako la masikitiko juu ya timu yako.Asikwambie mtu maumivu ya Runner-up hua ni makali kuliko hata maumivu ya kushuka daraja, yaani hii hali tunayopitia mashabiki wa Utd kwa kukosa Europa najiuliza hapa hivi hawa Arsenyau wanawezaje kuvumilia maumivu makali kiasi hiki kwa misimu mitatu mfululizo?
Nilichojifunza kama binadamu kuna wakati inatakiwa tuwe na huruma japo kidogo kwa mashabiki wa Arsenyo. View attachment 3343721
Hata hivyo, sisi tutabaki kuwa juu na nyie mtaendelea kubaki chini.
Msimu ujao najua utakuwa unatushabikia Ulaya.

