Kwa timu ya kwanza mpaka ya saba timu iliyofunga magoli mengi mpaka sasa ni Liver magoli 85, Man City 70, Newcastle 68, Arsenal 67, Chelsea 63, Villa na Forest wote 58.
Arsenal ni ya nne kwa kuscore magoli mengi lakini imekua na majeruhi wengi msimu wote, Liver, City, Newcastle, Chelsea zote zina angalau forwards zaidi ya wawili ambao wanahesabiwa ni elite kiasi kwamba wamemlipia zaidi ya 80M mmoja wao.
Katika hizi timu Arsenal inastruggle zaidi kuscore haswa kwakua haina ST na timu nyingi zinafanya low block. Now observation kama hii ndiyo inasababisha Arsenal ijivute kusajili.
Kila siku ni rumours mpya, Arsenal kapeleka ofa CP, Breaking: Arsenal kaamua kupursue Sesko, Breaking: Arsenal wanamhitaji LW na Lookman ni miongoni mwa wanaomconsider.
Katika hizi fununu kuna wapuuzi wanaenjoy kuitaja Arsenal coz online more clicks equals to more money.
So utasikia, Breaking: Dusan offered himself to Arsenal, Breaking: Arsenal made contact with Isak.
Meanwhile, Arsenal imelala hata haijui kama huu ni muda wa kusajili