Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo ni mnazi wa hamis77
(kakimbilia kwenye utumishi na kujifanya anachambua holy books)
Kuna yule chawa mwingine arsenal2004 huyo ndio kasusa kabisa kuingia humu hataki tena kusikia habari za mipira, tokea Masingeli alivyowaahidi msimu ulioisha watabeba treble halafu wakatoka mikono mitupu jamaa alitia kiberiti jezi zake zote, halafu akaenda zake kwa Mwamposa kupata wokovu, sasa hivi muda mwingi anashinda zake kanisani tu, anakwambia hii mipira ni ubatili mtupu, anadai mpira ni mpango wa Lucifer kupambana na wokovu.
 
Sema fuentte unawajua vizuri mashabiki wa Shenali utafikiri wewe ndio baba yao mzazi.
Ila alichokifanya Pep kuwauzia Tetea Kiwigi ilikua ni daylight robbery, halafu mpaka kesho ukimsikiliza Pep jinsi anayomsifia Tetea kinafki unaweza ukacheka mpaka ukaharibu bandama.
1746879898146.jpg
 
FT. Arsenal 4 - 3 Manchester United.

Arsenal sasa wanasubiri fainali ya Champions League na Barcelona huku Manchester United wakisubiri fainali ya FA cup na Chelsea.
 
1746893187070.png


ALESSIA RUSSO
2024/2025 WSL GOLDEN BOOT WINNER (tied with Khadija Shaw wa Man City)
PFA Writers Player of the Year.

Hongera kwake.

Mambo yakiendelea hivi wanawake wetu nao wataanza kuwaletea Chelsea ushindani wa kweli.

Timu ya wanaume nayo iache kuzingua ianze kubeba makombe kabla hatujazeeka.
 
Nah, awe converted kua LB. Atateseka na pace ila afanyie kazi technic
Awe LB ambaye hapandi juu, yaani anakuwa anapeleka yale mapass yake akiwa nyuma? Tukishambulia yeye na Gabriel na Saliba wanaunda back 3, Gabriel kati huku Saliba anasogea kulia?
 
Papa John Paul I alifariki dunia mwaka 1978, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2005 Papa John Paul II alifariki dunia, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2022 Papa Benedict XVI alifariki dunia, timu ya England ikabeba kombe la UEFA.

Mwaka huu Papa Francis amefariki dunia.

Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

C&P
False hope kwenye peak 😂😂 unasema timu ya England ilichukua ubingwa ni sahihi ila umesahau tu Arsenal sio team ni kikundi cha matumaini na vichekesho
 
Vyanzo mbali mbali plus super computer wanaipa arsenal asilimia kubwa ya kubeba UEFA
Liverpunda acha achukue hicho ki-EPL, sisi tunalibeba li-UEFA

NB
Bilbao anawapiga home and away
Kesho tutakua na kikao usikose arteta atakuepo umuelezee ni super computer ya wapi na ni UEFA hipi mnabeba.
Yaani carabao tu limewashinda ndo mje kubeba kombe zito kama UEFA , nan pale anaweza kunyanyua uzito wa UEFA trophy
 
Back
Top Bottom