Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Huyo ni mnazi wa hamis77
(kakimbilia kwenye utumishi na kujifanya anachambua holy books)


Kuna yule chawa mwingine arsenal2004 huyo ndio kasusa kabisa kuingia humu hataki tena kusikia habari za mipira, tokea Masingeli alivyowaahidi msimu ulioisha watabeba treble halafu wakatoka mikono mitupu jamaa alitia kiberiti jezi zake zote, halafu akaenda zake kwa Mwamposa kupata wokovu, sasa hivi muda mwingi anashinda zake kanisani tu, anakwambia hii mipira ni ubatili mtupu, anadai mpira ni mpango wa Lucifer kupambana na wokovu.