HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,627
- 7,016
Oya Flano wanawake wetu wanawaongoza wanawake wenu kule. Mechi ya mwisho hii. Tukishinda tunaingia group Champions League bila kupambana kwenye play-offs.Sema fuentte unawajua vizuri mashabiki wa Shenali utafikiri wewe ndio baba yao mzazi. View attachment 3330064
