Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_2025-04-21-19-25-36-384_com.instagram.android-edit.jpg
 
Mfano, Partey akiondoka kwenye midfield, halafu kwenye defense tukamkosa Tierney, Zinchenko, Tomiyasu na labda Kiwior kwa kuondoka au kuuzwa kwao. Je, tunahitaji kununua beki au midfielder mwingine? Nadhani Arteta anaangalia midfielders sana kwa sababu unakuta wanaweza kucheza defense (Partey anacheza right back tukikosa namna hapo. Rice anacheza centre back) na attack (Rice, Merino, Havertz) hivyo wanasaidia kuziba mapengo mengi kiasi.
 
Papa John Paul I alifariki dunia mwaka 1978, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2005 Papa John Paul II alifariki dunia, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2022 Papa Benedict XVI alifariki dunia, timu ya England ikabeba kombe la UEFA.

Mwaka huu Papa Francis amefariki dunia.

Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

C&P
 
Mfano, Partey akiondoka kwenye midfield, halafu kwenye defense tukamkosa Tierney, Zinchenko, Tomiyasu na labda Kiwior kwa kuondoka au kuuzwa kwao. Je, tunahitaji kununua beki au midfielder mwingine? Nadhani Arteta anaangalia midfielders sana kwa sababu unakuta wanaweza kucheza defense (Partey anacheza right back tukikosa namna hapo. Rice anacheza centre back) na attack (Rice, Merino, Havertz) hivyo wanasaidia kuziba mapengo mengi kiasi.
Ni sawa unachokiona.

But umesikia akisema chochote kuhusu our true pressing matter? ST na RW
 
Papa John Paul I alifariki dunia mwaka 1978, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2005 Papa John Paul II alifariki dunia, mwaka huo timu ya England ilichukua ubingwa wa UEFA.

Mwaka 2022 Papa Benedict XVI alifariki dunia, timu ya England ikabeba kombe la UEFA.

Mwaka huu Papa Francis amefariki dunia.

Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

C&P
Haya mambo ni jinx hizi
 
Mfano, Partey akiondoka kwenye midfield, halafu kwenye defense tukamkosa Tierney, Zinchenko, Tomiyasu na labda Kiwior kwa kuondoka au kuuzwa kwao. Je, tunahitaji kununua beki au midfielder mwingine? Nadhani Arteta anaangalia midfielders sana kwa sababu unakuta wanaweza kucheza defense (Partey anacheza right back tukikosa namna hapo. Rice anacheza centre back) na attack (Rice, Merino, Havertz) hivyo wanasaidia kuziba mapengo mengi kiasi.
It will be a grave mistake to let Kiwior go. Kiwior walikuwa wanamchukulia poa kwa sababu alikuwa hapewi game time ya kutosha. Lakini ni asset kwa klabu
 
Nwaneri bado kwenye defense na kukuza work rate
Same story, the guy is good. He is underrated because he hasn't been given enough game time, so is Butler Oyedeji. Jana niliona kama akipewa muda wa kutosha, tusingekuwa tunatafuta ST. We shouldn't be moved by the big names, we have talents within club, they just need nurturing
 
Back
Top Bottom