Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timerlane nakubaliana na wewe. Kinachoigharimu Arsenal kwa sasa ni hofu ya kisakolojia ya kushinda makombe, ubora wa Arsenal ndani ya hii misimu 3 ni mkubwa mno. Mshambuliaji wa kati pekee hatoshi kubadili psychological fear.

Confidence huja hata kwa kubeba vikombe vidogo vidogo kama FA na Carabao ila ukikaa muda mrefu bila kikombe hata uwe na ubora mkubwa kiufundi wachezaji wanakuwa hawana ile mentality ya kushinda makombe.
Na huu ndio uchambuzi wa kitanzania, na wachambuzi wengi kwa redio zetu wana uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu, kwamba tatizo ni saikoloji, yani Arsenal tuna timu bora kwa miaka mitatu nyuma kuliko hata Man city iliyochukua treble, typical Tanzanians.
 
Unajua kelele nyingi humu ni kwamba siku hizi timu zao wamesahau kuona zinashinda against us, been so good nowadays even with big number of injuries and redcards, sasa timu ya hivi lazima itengeneze fear factor kwa wapinzani, kilichobaki ni ku deliver big trophies tu, kitu ambacho nakiona next season
 
Haina shida hizo risiti wewe zitunze, ila tukutane mwakani may
Miaka mingi tulikua tuna-struggle mwisho ila msimu huu tuna-struggle mwanzoni.

Siongei sana
Mkorea ulisema risiti zako tuzitunze tukutane mwakani mwezi May na Mwezi May ndio huu Mkuu
 
Sasa new ST, LW, AM maybe na Zubimendi, kwanza kama tunamsajili zubi maanake total football ile msimu wa kwanza wa Zinchenko inarudi, kama Zubi anamreplace partey maanake hata style of play inachange, sio tena physical, ni technical tu sasa kina Newcastle hatushindani tena manguvu na duels off the park ni kuutafuta chumba kwa chumba, passer zubi, release runners kina maybe Williams na new ST ambaye naamini atakuwa outlet km Haaland sasa kwanini usienjoy soka, ukumbuke km Zubi ni dm maanake we control the game with the ball, yani mwingi paka unamwagika na goli ni nyingi cuz we will have a top striker, the future is exciting, in Arteta we trust. #Coyg.
 
Sasa new ST, LW, AM maybe na Zubimendi, kwanza kama tunamsajili zubi maanake total football ile msimu wa kwanza wa Zinchenko inarudi, kama Zubi anamreplace partey maanake hata style of play inachange, sio tena physical, ni technical tu sasa kina Newcastle hatushindani tena manguvu na duels off the park ni kuutafuta chumba kwa chumba, passer zubi, release runners kina maybe Williams na new ST ambaye naamini atakuwa outlet km Haaland sasa kwanini usienjoy soka, ukumbuke km Zubi ni dm maanake we control the game with the ball, yani mwingi paka unamwagika na goli ni nyingi cuz we will have a top striker, the future is exciting, in Arteta we trust. #Coyg.
Sawa Charlie chaplin.
 
Unajua kelele nyingi humu ni kwamba siku hizi timu zao wamesahau kuona zinashinda against us, been so good nowadays even with big number of injuries and redcards, sasa timu ya hivi lazima itengeneze fear factor kwa wapinzani, kilichobaki ni ku deliver big trophies tu, kitu ambacho nakiona next season
Kwahiyo hizo injuries ilipata timu yenu tu?
Timu nyingine wachezaji Wana miili ya chuma walikuwa hawaumii?
 
Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.

Unaquote kila mtu unatafuta relief.

You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.

Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
Sasa hasira nitolee wapi wakati nina carabao cup😅
Relief ipi ivi kati ya false hoper na mimi geordie nan wakutafuta relief

Maisha ya nadharia yatawaua false hopers ..yaani una nadharia ya mimi kulelewa na mzazi mmoja tena kama nadharia ya fainali mnacheza na barcelona😂😂😂😂
 
Sasa hasira nitolee wapi wakati nina carabao cup😅
Relief ipi ivi kati ya false hoper na mimi geordie nan wakutafuta relief

Maisha ya nadharia yatawaua false hopers ..yaani una nadharia ya mimi kulelewa na mzazi mmoja tena kama nadharia ya fainali mnacheza na barcelona😂😂😂😂
Hongera kwa Carabao cup. Tukutane CL mwakani.

Una attachment issues pia, hii kunifuata na kukomaa nimesema vitu sijawahi kusema siyo mara ya kwanza.

Inamaanisha nipo sahihi juu ya nilichosema, haya ni malezi ya mzazi mmoja yamesababisha utafute kufit in kilazima hata kwa kuongopa.
 
Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.

Unaquote kila mtu unatafuta relief.

You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.

Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
Mkuu hapo chini umezingua na umepanic.
Watu wamelelewa na wazazi wa wili na bado wakawa mashoga.
 
Mkuu hapo chini umezingua na umepanic.
Watu wamelelewa na wazazi wa wili na bado wakawa mashoga.
Chief, hua unanijudge nasema umekosea. Mimi kazi yangu inahusisha kujudge character pia, na nilichofanya hapo ni uzoefu wa kazi yangu.

Kuzingua ama la niliyemquote atajua.
 
Mkuu Castr ulifika mpaka hatua ukawaita watu Majinga Majinga kwa sabahu ya kuwafunga R.Madrid ukaamini kabisa una team bora .
Basi ligi ya EPL imejiishia kama timu worse inashika nafasi ya pili.
 
Screenshot_2025-05-10-10-32-54-222_com.twitter.android-edit.jpg
 
Back
Top Bottom