Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tusiwe down.
It's been a fantastic ride. We will come back stronger next season.
Lazima kuna vitimu vingependa kuwa nafasi yetu.
C O Y G
Gunners for life
💪✊💯🤝
Next season 21 coming soon stay tuned

Netflix
GqYCEqrWMAAk8j-.jpeg
 
We naye ni mjinga mjinga.

PSG haina ST Ramos ni beki? Walivyoona hafanyi poa January wametumia sh ngapi? Hua unanitia uvivu kukujibu kwakua hujui vitu halafu unataka ujenge hoja.
Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?😂😂
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
 
Arsenalia watachagua wenyewe fainali watushangilie sisi au wamshangilie jirani yao ili akibeba ndoo akawasimangie hapohapo sebuleni kwao.

Raha sana aiseee anaemaliza ligi nafasi ya 15 ana furaha kuliko anaemaliza nafasi ya 2.
1745923807373.jpg
 
Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?😂😂
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.

Unaquote kila mtu unatafuta relief.

You are too dependent on others unaamini unahitaji validation kutoka kwa wengine.

Hii tendency inaonekana sana kwa watu waliolelewa na mzazi mmoja. So sorry nigga
 
Tetea kiwigi anasema pamoja na kutolewa kwenye michuano ila bado Yeye ana timu Bora
Kweli aliyewaroga ameshakufa na vifaa vyake😆
Hii kauli ya Tetea imenifanya nikawaza sana fans wa ganaz hapa jukwaani! Maana na wao ni watetea timu hata kwa mambo yasiyo na ulazima kama kocha wao tu.
Sijui Tetea anapimaje ubora wa timu ambao sisi hatuuoni. Defense kila mechi inachoma halafu wanakwambia wana defense nzuri ulaya nzima, kwenye kiundo, zaidi ya Partey, Rice ni Henderson version 2 na yule Ode sioni la maana analoofa kwa timu zaidi ya kuweka sawa nywele na arm band yake kila mara. Ukirudi forward line wanamtegemea yule Saka amabye anatumia mguu mmoja tu na mechi ya juzi kashindwa kabisa kuonyesha umahiri wake.

Anyway, mnapenda kukutana na Inter Milan au Barca fainali?
 
Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?😂😂
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
Waonee huruma. Washaanza kutokwa povu.
 
Hii kauli ya Tetea imenifanya nikawaza sana fans wa ganaz hapa jukwaani! Maana na wao ni watetea timu hata kwa mambo yasiyo na ulazima kama kocha wao tu.
Sijui Tetea anapimaje ubora wa timu ambao sisi hatuuoni. Defense kila mechi inachoma halafu wanakwambia wana defense nzuri ulaya nzima, kwenye kiundo, zaidi ya Partey, Rice ni Henderson version 2 na yule Ode sioni la maana analoofa kwa timu zaidi ya kuweka sawa nywele na arm band yake kila mara. Ukirudi forward line wanamtegemea yule Saka amabye anatumia mguu mmoja tu na mechi ya juzi kashindwa kabisa kuonyesha umahiri wake.

Anyway, mnapenda kukutana na Inter Milan au Barca fainali?
Watasema wanajipanga next season 😆
Watafute kwanza wachezaji wa kueleweka
 
Timerlane nakubaliana na wewe. Kinachoigharimu Arsenal kwa sasa ni hofu ya kisakolojia ya kushinda makombe, ubora wa Arsenal ndani ya hii misimu 3 ni mkubwa mno. Mshambuliaji wa kati pekee hatoshi kubadili psychological fear.

Confidence huja hata kwa kubeba vikombe vidogo vidogo kama FA na Carabao ila ukikaa muda mrefu bila kikombe hata uwe na ubora mkubwa kiufundi wachezaji wanakuwa hawana ile mentality ya kushinda makombe.
Na huu ndio uchambuzi wa kitanzania, na wachambuzi wengi kwa redio zetu wana uwezo mdogo wa kufikiri kama huyu, kwamba tatizo ni saikoloji, yani Arsenal tuna timu bora kwa miaka mitatu nyuma kuliko hata Man city iliyochukua treble, typical Tanzanians.
 
Unajua kelele nyingi humu ni kwamba siku hizi timu zao wamesahau kuona zinashinda against us, been so good nowadays even with big number of injuries and redcards, sasa timu ya hivi lazima itengeneze fear factor kwa wapinzani, kilichobaki ni ku deliver big trophies tu, kitu ambacho nakiona next season
 
Back
Top Bottom