Ndiyo ndiyo tupo Arsenal Mpaka ituue๐๐Reminder
Huchagui timu. Subconsciously timu inakuchagua and it hits you kwamba you are in love with the club.
Baba yangu ni Liverpool wakati Liverpool inastruggle alikomaa na timu yake. Katika crew yangu ya watu wanne kuna Chelsea, Liverpool na united fan na katika vipindi tofauti kila mmoja alikomaa na timu yake.
Unaweza amka na kusema sifuatilii mechi. Ila huwezi amka ukasema kuanzia leo mimi siyo Simba naanza kushabikia Yanga. Ukiweza kufanya hivi wewe ni plastic fan, na ni ngumu sana plastic fan kua na hoja.
Next season 21 coming soon stay tunedTusiwe down.
It's been a fantastic ride. We will come back stronger next season.
Lazima kuna vitimu vingependa kuwa nafasi yetu.
C O Y G
Gunners for life
๐ชโ๐ฏ๐ค
Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?๐๐We naye ni mjinga mjinga.
PSG haina ST Ramos ni beki? Walivyoona hafanyi poa January wametumia sh ngapi? Hua unanitia uvivu kukujibu kwakua hujui vitu halafu unataka ujenge hoja.
Hasira unazo wewe. Unataka utumie watu kama sehemu ya kukupunguzia stress.Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?๐๐
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
Hii kauli ya Tetea imenifanya nikawaza sana fans wa ganaz hapa jukwaani! Maana na wao ni watetea timu hata kwa mambo yasiyo na ulazima kama kocha wao tu.Tetea kiwigi anasema pamoja na kutolewa kwenye michuano ila bado Yeye ana timu Bora
Kweli aliyewaroga ameshakufa na vifaa vyake๐
Waonee huruma. Washaanza kutokwa povu.Punguza hasira kaka , hasira za nini wakati wewe ni false hopers wazee wa final tucheze na nan?๐๐
Ramos ameanza mechi ipi ?? Ramos sio first 11 huyo ramos kacheza dk ya 92.
PSG wamewafunga bila ST huu ndo ukweli . Unamuongelea ramos ambae katika dk 180 kacheza dk 7
Watasema wanajipanga next season ๐Hii kauli ya Tetea imenifanya nikawaza sana fans wa ganaz hapa jukwaani! Maana na wao ni watetea timu hata kwa mambo yasiyo na ulazima kama kocha wao tu.
Sijui Tetea anapimaje ubora wa timu ambao sisi hatuuoni. Defense kila mechi inachoma halafu wanakwambia wana defense nzuri ulaya nzima, kwenye kiundo, zaidi ya Partey, Rice ni Henderson version 2 na yule Ode sioni la maana analoofa kwa timu zaidi ya kuweka sawa nywele na arm band yake kila mara. Ukirudi forward line wanamtegemea yule Saka amabye anatumia mguu mmoja tu na mechi ya juzi kashindwa kabisa kuonyesha umahiri wake.
Anyway, mnapenda kukutana na Inter Milan au Barca fainali?
Watasema wanajipanga next season
Watafute kwanza wachezaji wa kueleweka


Wasisahau pia kutafuta na Kocha kueleweka, Tetea kiwigi sio kocha yule bali ni mhamasishaji tu. Daah ila we jamaa Arsenyo wamekukosea nini?Arsenalia wanatamani Michuano ya Uefa ingekuwa na mshindi wa tatu, wakikumbuka ikiwa hivyo itawabidi wacheze na Barcelona wanabaki wanasonya tu. View attachment 3329013
Dah mtakuja kuwamaliza kwa shinikizo la damu naona ni mwendo wa kufukua makabuli tu๐๐๐Sasa ndugu yangu Castr kwa ile michezo ya kina Lacazette, Ordegaard, Pepe na Bellerin kwenye vyumba vya kubadilishia nguo mtaachaje kulaanika? View attachment 3328021
๐๐๐๐๐๐๐๐๐View attachment 3329083
Chuma hiyoo Imeganda kwa Hewa.
๐๐๐