Iko wazi mzeeWachawi mnaotuwangia tumieni vizuri muda huu kutunanga na msije sema hatukuwambia.
Kuna muda mtashindwa hata kufungua huu Uzi na sisi Wala hatutakuwa na shobo na nyie
Iko wazi mzeeWachawi mnaotuwangia tumieni vizuri muda huu kutunanga na msije sema hatukuwambia.
Kuna muda mtashindwa hata kufungua huu Uzi na sisi Wala hatutakuwa na shobo na nyie
City nini kimemkumba?
Gyokeres anaweza akaenda united sasa


Sio nini kimemkumba, City kakutana na kocha wa Man Utd, kocha mwenye mbinu zote, Unaambiwa Ruben Amorim ana mbinu sio ya kufunga na kubeba makombe tu bali ana mbinu mpaka za kuifanya timu zenye washabiki wenye vidomodomo kama Arsenyau ishuke daraja. Anti-Man U wote walitaka Eric Ten Hug asiondoke Man U ili waendelee kuteseka....
Ila kwa sasa, Anti-Arsenal wote wanataka Arteta aondoke eti kwa performance dip ya muda mfupi
Tunajua... Hakuna shabiki la Man U linataka Arsenal ifanye maamuzi ya kupata raha.
Ni hiviii, Teta bado yupo, na Teta ball mtaendelee kukumbana nalo.


Teta ball burudani kwa wote, hawa hapa mashabiki lialia wa Arsenyau jinsi wanavyofurahia Teta ball

Mkuu unayafokos makabiri vizuri😁.
Naona risiti za kutoshaTeta ball burudani kwa wote, hawa hapa mashabiki lialia wa Arsenyau jinsi wanavyofurahia Teta ball
View attachment 3144988View attachment 3144990View attachment 3144991View attachment 3144993View attachment 3144994View attachment 3144995View attachment 3144996View attachment 3144997View attachment 3144998View attachment 3144999
Tunammudu huyoo,wala hatushtuiMkuu wew na arsenal mkae chini mmalize tofauti zenu😃🙌
Teta anaakili sana, anaona vitu tusivyoona mashabiki.
Hawa wajamaa itakuwa wanakula sana nyetonimesikia rice kaumia nahajasafiri kabisa na team, sijui tatizo ni nini majeruhi yanatuandama sana
Mkuu unayafokos makabiri vizuri.


Mwamba Kigi alikua anataka kutuaminisha kua mashabiki wote wa Arsenyau wanamfurahia Tetea na wana imani nae, kupitia Teta ball wanaenda kudominate league kwa miaka 10+ consecutively, akataka kutuaminisha mashabiki wa timu nyingine ndio tuna gubu na wivu kwa kocha la ball, bila hiyana imebidi nimtolee risiti za efd za mashabiki lialia wa Arsenyo waliochoshwa na mambo ya pressing na Overlap mara sijui overload, positional play, minyumbuliko, mikimbio mizuri, dark art pamoja na haramu football halafu wanaishia kumaliza msimu mikono mitupu, misimu yote wao wanabaki kua wapenzi wasindikizaji, halafu wanashangaa Nyumbu wanabutua butua tu lakini mwisho wa msimu wanamaliza kwa furaha ya kunyanyua kwapa mpaka na wao wanatamani wawe kama nyumbu


Teta anaakili sana, anaona vitu tusivyoona mashabiki.
Kwangu mimi Teta bado fundi sana..., amefuta uteja wa Arsenal kwa timu nyingi mbofu mbofu....
Ndo maana hamumpendi![]()


Kweli kabisa Tetea ana akili sana, anauwezo mkubwa wa kuona vitu mashabiki wa Arsenyau wasivyoona ila amekosa tu akili ya kuyaona makombe 


Hawa wajamaa itakuwa wanakula sana nyeto
Nini injury za kisenge hivi mara kwa mara
Akipona huyu anakuja huyu, wanataka tukonde kwa mawazo au...


Sasa mtu kwa hiari yako mwenyewe bila kushawishiwa wala kulazimishwa na mtu umeamua kushabikia Mateso Fc halafu unataka unenepe ili iweje?Mambo niaje mzee baba, unatukandia Sana mzeeHili jukwaa limepitia mambo mengi sana aiseeee. View attachment 3144255View attachment 3144256View attachment 3144257
Mambo niaje mzee baba, unatukandia Sana mzee


Shwari kabisa mzee baba, sio kuwakandia mkuu, mimi naweka tu kumbukumbu sawa maana binaadamu tumeumbiwa kusahau. Inaonekana unafurahia Sana kutuma risiti zetu, tukutane mwakani mayShwari kabisa mzee baba, sio kuwakandia mkuu, mimi naweka tu kumbukumbu sawa maana binaadamu tumeumbiwa kusahau.
Vipi lakini mambo yanaenda?
Ndugu yako arsenal2004 simuoni kabisa humu au na yeye ameshatupa kijiti na kuamua kukimbilia uhamishoni pamoja na Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi?
Inaonekana unafurahia Sana kutuma risiti zetu, tukutane mwakani may




nimecheka mpaka nahisi mbavu zinauma. 

