Arse8 na Makolokolo ni mapacha kabisa, wote ni kamdomo wala huwa hawana hata sekunde ya kuheshimu wapinzani wataokutana nao kimchezo.Jamaa kaongea ukwel mtupu
Shida sio wachezaji wa Arsenal shida ni Mashabiki wanaamini mno kuwa team yao ni team boraππkumbe ni version ya Tottenham iliyochangamka
Tuache kidogo πππΎMna nini Cha kutuambia baada ya kupoteza mchezo?
verifaidi yuza wewe ni wa kukimbia jukwaa?π
mkorea ungeingilia kati na karate uwavhape PSG maana ndugu zenu arse8 walianza kukabia hadi mikono
Castr nilikuambia ni rahisi ngamia kupenya tundu la sindano kuliko aseno kuchukua UEFA
Do you see?
Nikakuahidi Aseno akichukua UEFA mwaka huu najitoa jf π
HENRY14 njoo tu angalau usafishe nyota ya kupiga picha na PL yetu maana dah
Kikombe mnachoweza nyie ni Cha kahawa tu
Mh kwani ulikua unashirikiana nao?Sasa ndugu yangu Castr kwa ile michezo ya kina Lacazette, Ordegaard, Pepe na Bellerin kwenye vyumba vya kubadilishia nguo mtaachaje kulaanika? View attachment 3328021
Sina muda na nyumbuzi mie, πππππLeo Manchester Nyumbu anacheza kapewa Odd 3
Jichanganye akushangazeπ
Comment bora kabisaa hii. ππππMimi ni United, shida ya Arsenal si kwamba ni timu mbaya hapana ni timu Bora sana, lakini wanachokosa Arsenal ni ile Personality na Maturity, unajua kwenye mpira kuna ile mentality Fulani ya kubeba majukumu as if una share ya umiliki kwenye timu, kama utakuwa unaangalia vizuri na unaujua mpira bila mapenzi utaona timu zote zinazochukua makombe zina hizo sifa, unaweza kuona timu hii mbona haichezi vizuri lakini inachukua makombe ni kwasababu ya burning desire iliyo kwenye mioyo ya wachezaji.
Vipaji na mifumo haitoshi, Inahitaji uwe na wachezaji wa aina hiyo ambao wao Kila nafasi ama dakika ina maana kwao, Juzi Inter Milan na Barca Kila timu ilikuwa inajua muda wowote tunaweza kufunga goli, Kila mara ni keep pushing, Sasa Arsenal wao wanafuata tu njia za kocha na kucheza vipaji vyao lakini wamesahau kuwekeza kwenye akili, pindi tu Arsenal players wakiwa na ile akili ya kibingwa watavunja gundu lao na kufika mbali sana.
Arsenal wameziacha mbali timu nyingi hasa kiuchezaji, Inahitaji uwe na timu kuifunga Arsenal. Vipaji na mbinu havitoshi , good personality ndiyo iliwafanya Madrid wachukue UEFA back to back na si kwamba Zidane alikuwa ni kocha Bora sana hapana bali wale jamaa Kina Toni kroos, Modric, Cristiano, Casemiro, Ramos, Marcelo walikuwa wanajua tunaenda kufanya Nini kiasi ambacho hata bila kocha wanacheza.
Haya anzeni kuhesabu siku kusubiri mwezi wa 8 msimu mpya wa 2025/26. Fungu la kukosaEh aisee acha tu.
Hakipo kokote. PSG walikua hatari on and off the ball
Hizi akili ndio zinasababisha mashabiki wa arse8 waonekane wa hovyo.Unaota wewe. Itakua humjui Raya
Mh kwani ulikua unashirikiana nao?
Eti tetea KIWIGIπππ halafu kweli bhana jamaa hana fremTetea kiwigi anasema pamoja na kutolewa kwenye michuano ila bado Yeye ana timu Bora
Kweli aliyewaroga ameshakufa na vifaa vyakeπ