Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,873
- 233,407
Kama vipi wsngeingiza timu yao ya akina mama maana hivi karibuni wsligeuzia gia huko na kusema kwamba itawakomboa😀😀😀😀 Uwezo mdogo kwenyee kazi za kiumeee
Kama vipi wsngeingiza timu yao ya akina mama maana hivi karibuni wsligeuzia gia huko na kusema kwamba itawakomboa😀😀😀😀 Uwezo mdogo kwenyee kazi za kiumeee
Ufaransa pagumu haina budi inawabidi tu waMezan imekataa kupindukaa 😀😀😀,,imepinduka bundukiii dadakeeee


Arsenalia Tetea amemaliza tena phase7 mikono mitupu, ombeni sana dua Man Utd United na Chelsea tukose Europa na Conference.
Kwahiyo?Kweli binadamu hawana shukursni.huyo saka si kawafungia goli hapo jamani
Mlikuwa mnatoka na nunge bila Saka😃Kwahiyo?
😂🤣 Mpira hauko hivyo akikosea tunamchana, akipatia atasifiwa, alichokifanya hakijatosha..Mlikuwa mnatoka na nunge bila Saka😃
Huku mvua ni Kali inanyesha tumemuomba meneja wa Bar kasema hakuna shida tunaweza kulala hukuhuku😃Mpira umeisha mrudi nyumbani
Anataka kuamisha magoli.7-6 mkuu context muhimu
😃nah this is too much🤣🤣🤣