Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kombe pekee lenye Wenger orphans mnaweza kunyenyua msimu huu ni ili tu😂😂
IMG-20230521-WA0024.jpg
 
Arsenalia Tetea amemaliza tena phase7 mikono mitupu, ombeni sana dua Man Utd United na Chelsea tukose Europa na Conference.
Kinachoniuma hili jukwaa kuanzia kesho linatelekezwa na wenyewe, ila HENRY14 wasisitize wenzio wasikimbie, waendelee kubaki humu washangilie Arsenal Queens kwenye Uefa final.
 
Niliwaambia baadhi ya watu

Kuifunga Madrid na kuchukua UEFA ni vitu viwili tofauti.

Watu wakanipinga.
 
Back
Top Bottom