Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mezan imekataa kupindukaa 😀😀😀,,imepinduka bundukiii dadakeeee
Ufaransa pagumu haina budi inawabidi tu wa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenalia Tetea amemaliza tena phase7 mikono mitupu, ombeni sana dua Man Utd United na Chelsea tukose Europa na Conference.
Kinachoniuma hili jukwaa kuanzia kesho linatelekezwa na wenyewe, ila HENRY14 wasisitize wenzio wasikimbie, waendelee kubaki humu washangilie Arsenal Queens kwenye Uefa final.
 
Tushajipanga next season tunatoka na treble
images (30).jpeg
 
Niliwaambia baadhi ya watu

Kuifunga Madrid na kuchukua UEFA ni vitu viwili tofauti.

Watu wakanipinga.
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
Arse8 mje sasa leo muone jinsi
1000654220.jpg
ya kuingia fainali za Ulaya. Zingatia aggregate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom