Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

alafu hapa wanakuambia next season wao fainali uwakika wakipata striker yani hawaoni kama msimu mbovu wa wengine ndio silver lining yao

Man city Bayern Barca Madrid yani kama vile Hawa watu hawata sajili kuja kukompete vizur pia ukiangalia majeruhi wao wanao rudi msimu ujao hata hao psg wanaweza wasisikike tena baada ya hii fainali
 
Partey ayaikosa mech ya kwanza ya PSG

Arteta aje na midfield ya

Merino Rice Ø

Why?

PSG Wana midfield nzuri sana kwenye possession ila OOP (out of possession)ni wabovu sana

Walipokuja Emirates walituzidi kwenye possession,ila tuliwazidi Physicality na OOP , wakala 2-0


PSG watu wanaona ni timu tishio ila ubovu wao ni ukiwafanyia press wanakuwa ovyo kwenye kukaba ,

Na hiko kitu Mikel anakijua sana ,hata Villa Jana waliwafanyia hivo ,

Sasa kuwamaliza twende na midfield ya

Merino Rice Ø

Hapo Kuna physicality na OOP
Huyu ni hamis77 au ukipenda muite Masingeli.
 
PSG hata kwenye kushambulia wana rely zaidi kwenye indivudual techinical skills ya washambuliaji wao kuliko tactical fluidity na cordination, ndio maana wanafika golini mara nyingi sana halafu mashambulizi yanakuwa butu, mpaka akina Kvaritshka wapate angle nzuri ya kupiga mpira ndoa wanafunga.

Kwa defense yetu ilivyo hicho kitu hawatakiruhusu.
Eti, Defence yetu haitowaruhusu
 
Mpira umeisha mrudi nyumbani
Kabla ya kurudi kwanza wakapate selfie kwenye Eifel Tower.

Wasikubali kukosa vyote.
Screenshot_20250508-001543.png
 
Back
Top Bottom