Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

good joke

Ameibeba kweli aisee, lazima mgongo uume, wengine watadhani ameumia kweli
 
Jamaa anatisha sana,na namkubali.Gooners.

jamaa anatupa raha sana ... kipindi tunafungwa fungwa kuna watu walikuwa hawakauki kwenye hii thread ... haha sasa ni mwendo wa kugawa dozi kutwa mara tatu ...
 
Wakuu vipi mambo? Siwaoni jamaa zangu akina ''Mzee wa chuki binafsi'' aka Peas of ant na maswaiba wenzake kunani?

Manda, Belo, Mfarisayo nae kaenda kwa wasamaria wema khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee mambo yote kesho ... .... ....
Tupo na vijana wangu wote ,sisi tunajikongoja taratibu.Tunasubiri December jirani ateleze
 
article-2065341-0EEBB6B400000578-455_634x485.jpg


Captain Vantastic! Its another weekend, all the best gooners
 
Aliye umia ni Underson wa Man U na mpaka Februari ndio aingie mchezoni, Van Perse habari hizo hazipo, au umesahau?
 
BREAKING NEWS:SKYSPORTS.reporting that Robin van Persie has a back Injury after having carry the whole Arsenal team on his own.

Wacha longo longo...Hiyo BBC ya Tanzania nini??

Waswahili bwana!! Umeambiwa chanzo cha habari ni SkySports, wewe unakuja na BBC!! Au wewe ndio wale mnaoita kila gasoline station​ Shell?!!? Au kila kalamu ya wino Bic?!?
 
Majitu ya humu bwana, yametaniwa yanareact, nahc hata habari hayajasoma yote. Uvivu tu!
 
ARSENAL v FULHAM (1730 GMT)
Neil Johnston reports: "Arsenal's embarrassing 8-2 defeat at Manchester United seems a long time ago. Actually, it was only three months yet five straight league wins - fuelled by in-form Robin van Persie's - means they are back in the title hunt. Van Persie will be confident of adding to his tally of 12 goals in eight games against Fulham, who have managed five wins in their last 44 league away games."
source :BBC Sport - Football - Live - Saturday football

kazi tunayo!
 
Naona muda unakaribia kumuangalia rvp,vp kama m2 anajua kikoc cha leo kimekaaje anijuze.
 
Hello and welcome to Emirates, for the London Derby between City rivals, Arsenal and Fulham...
 
Back
Top Bottom