Kimenuka sasa.
Mda wa kutosha wamtoe Arshavin wamlete Gervinho tutafute ushindi.
Diaby amerudi baada ya miezi kadhaa out
Huyo mzee huwa ni mgumu sana kufanya mabadiliko. Toa Mrusi!
Tumejifunga kijinga kabisa!
Kimenuka sasa.
Mda wa kutosha wamtoe Arshavin wamlete Gervinho tutafute ushindi.