Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wahuni wanaoongozaga ligi ikianza kiherufi
1746633948941.jpg
 
Makofi meengi😆
Kushinda aaaaah!
 

Attachments

  • PXL_20250507_205756292.jpg
    PXL_20250507_205756292.jpg
    452.2 KB · Views: 27
  • PXL_20250507_205755201.jpg
    PXL_20250507_205755201.jpg
    369.7 KB · Views: 11
  • PXL_20250507_205757998.jpg
    PXL_20250507_205757998.jpg
    399 KB · Views: 15
Arsenal kombe lao msimu huu ni kumfunga real madrid nje ndani.

Mpira umetenda haki, akichukua Inter milan itakua poa zaidi au sio jemeni.
 
Mmeteseka sana ndg zetu ila toka niangalie uefa mwaka 93 mpaka Leo makelele uwanjani yalikuwa sio ya kawaida ,mshabiki wamewatesa ,wachezaji wameteseka ni totally humiliation
 
Back
Top Bottom