Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,158
- 123,234
Hapo hata Budo hakukosi
Hapo hata Budo hakukosi

wahuni wanaoongozaga ligi ikianza kiherufi
neno context sio gumu kulielewa mkuuKwahiyo inakua siyo 7?
LOsers FC 😆Huo ndio mpango uliokuwepo ila michezo si unajuwa inavokuwaga?
Merino ni beki?Tungepata hata forward wa
u-23 tu kuliko kuanza bila foward
Bora kaondoka na Gundu lakeMbape kapishana na gari la mshahara.
YNWAKama kuna makocha matapeli basi huyu ni tapeli mbobezi.
Misimu 5 £ 800ml spent hakuna cha UCL wala EPL.
MASTER ARNE SLOT Miezi 9 tuuuu £ 12.5ml spent na EPL juuView attachment 3327354
Hao watu sio wa kuwapa airtime. Ni hamnazo kichwaniSi tulisema humu currently psg wapo inform kuliko arsenal ila false hoppers humu wakawa wanaitangaza fainali yao na inter milan na kwenda mbali zaidi kusema washalibeba kombe hilo
Kitambo nishasema
Hakuna timu kubwa inayorusha mipira kama kona
Ni Stellinbosch na nyie ndio mna hizo mamboView attachment 3327352