Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilikua nacheki mechi ya RB na Bayern.

Bayern akishinda anakua kachukua kombe.

RB wakaanza kuongoza 2. Bayern karudisha.

Dakika ya 80+ Bayern anapata goli la tatu.

Zinaongezwa dakika nne.

Kane anaonekana kasimama anajiandaa kushingilia.

Dakika ya 93 na sekunde 48 RB wanarudisha goli.

Kane is down. Watangazaji can't wait. And this is the beauty of football
umesahau fataki za mashabiki 🤣
 
Starting with strong 11
1000649253.jpg

Nyie KENGE sasa sio ubingwa tena, hata nafasi ya pili inapeperuka. Pambaf kabisa. Sisi tuli-draw na hawa nyie mnabakwa kabisa hapo nyumbani kwenu.
 
Déjà vu...

Miezi michache nyuma niliota kitu ambacho jana nilikishuhudia...ile drive ya Lewis-Skelly aliyofanya first half na kumpa Martinelli through pass halafu shot ya Martinelli ikapanguliwa na kipa. Nikawaambia wenzangu 'hakyanani hiki kitu nilikiona ndotoni miezi imepita na tulikuwa tumekaa wote hapa hapa tunaangalia hii mechi...'.

Jamaa wakanicheka na kuniuliza matokeo yatakuwaje. Nikawaambia sikuota mechi nzima bali hiko kipande tu.
Uliota na hii comeback ya bonamausi sahv?
 
Leo hata kuangalia mechi sikua na huo mpango ila Fotmob nimesubscribe timu 3. Taifa Stars, Arsenal na Sheffield.

So notifications za hizi timu hua zinakuja tu. Ikanialert in 15 minutes game inaanza mi nikawa nacheki game ya Lecce na Napoli. Hii mechi kwetu haina faida, mshindi kashajulikana, mtu wa kwanza mpaka wa tano anaenda CL so ukimaliza second na Forest akamaliza 5th wote mnakutana CL.

Nikapata alert Rice kascore.

Nikapata alert Bournemouth kascore.

Nikapata alert Bournemouth kascore ila VAR inacheki goli.

Jumanne si tutabanduliwa kama ndiyo hivi
 
Back
Top Bottom