Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Poor positioning and defending, ukizingatia Raya ni tiamaji- tiamaji
umesahau fataki za mashabiki 🤣Nilikua nacheki mechi ya RB na Bayern.
Bayern akishinda anakua kachukua kombe.
RB wakaanza kuongoza 2. Bayern karudisha.
Dakika ya 80+ Bayern anapata goli la tatu.
Zinaongezwa dakika nne.
Kane anaonekana kasimama anajiandaa kushingilia.
Dakika ya 93 na sekunde 48 RB wanarudisha goli.
Kane is down. Watangazaji can't wait. And this is the beauty of football
kivipi mkuu bingwa si kashapatikana lakiniNimewaambia Raya ni kopo lipo golini
Starting with strong 11
Uliota na hii comeback ya bonamausi sahv?Déjà vu...
Miezi michache nyuma niliota kitu ambacho jana nilikishuhudia...ile drive ya Lewis-Skelly aliyofanya first half na kumpa Martinelli through pass halafu shot ya Martinelli ikapanguliwa na kipa. Nikawaambia wenzangu 'hakyanani hiki kitu nilikiona ndotoni miezi imepita na tulikuwa tumekaa wote hapa hapa tunaangalia hii mechi...'.
Jamaa wakanicheka na kuniuliza matokeo yatakuwaje. Nikawaambia sikuota mechi nzima bali hiko kipande tu.
Hata akiwapumzisha, sioni timu ya ushindiArteta mjinga anaacha kutunza wachezaji ana game ngumu na ya UEFA et anakomaa huku wakati bingwa tayari
Huu unabii bado kidogo tu unatimia.😄Nakuhakikishia Man City anamaliza juu Arsenal.