Fainali ya mshindi wa tatu sio...Leo tunapumzika tukisubiri mechi ya Inter na Barca. Mmojawapo atakutana na sisi fainali.
Yaani bro, naona kama hili kombe mbona tunalibeba mchana kweupe hili.?Fainali ya mshindi wa tatu sio...
View attachment 3320601
Me nawakumbusha kila siku kaka mkikosa UEFA msimu huu sijui mtatuambia nini tuwaelewe😃Yaani bro, naona kama hili kombe mbona tunalibeba mchana kweupe hili.?
Na hivi wanawake wetu washatangulia fainali.Me nawakumbusha kila siku kaka mkikosa UEFA msimu huu sijui mtatuambia nini tuwaelewe😃
Kule ni vipigo tuu hao wanawake wa barca ni balaaNa hivi wanawake wetu washatangulia fainali.
Akina Saint Anne walivyo na wivu dhidi ya wanawake wataacha chuki na
wataweka kambi hapa siku 7 mfululizo kututania kuwa tunashindwa na mademu.
Hapo badoo, huu mwaka unalo, 😂😂😂😂Mtoto una mdomo mbaya sana wewe.
😂😂😂😂Jana mmetanguliza msalaba Goligota. Wiki ijayo mnawambwa msalabani
Ramos na barcola kukosa zile nafasi za wazi wameniudhi sana, marehemu jana alikua anatakiwa kuzikwa palepele kwao, mambo ya kutangatanga na jeneza mpaka Ufaransa ni kumchosha tu marehemu.








Tunaomba Aseno top11 iwe replaced na akina Mama waoNa hivi wanawake wetu washatangulia fainali.
Akina Saint Anne walivyo na wivu dhidi ya wanawake wataacha chuki na
wataweka kambi hapa siku 7 mfululizo kututania kuwa tunashindwa na mademu.
Mkuu hii hali hara mimi huwa inanitokea mara kwa mara aisee🤔Déjà vu...
Miezi michache nyuma niliota kitu ambacho jana nilikishuhudia...ile drive ya Lewis-Skelly aliyofanya first half na kumpa Martinelli through pass halafu shot ya Martinelli ikapanguliwa na kipa. Nikawaambia wenzangu 'hakyanani hiki kitu nilikiona ndotoni miezi imepita na tulikuwa tumekaa wote hapa hapa tunaangalia hii mechi...'.
Jamaa wakanicheka na kuniuliza matokeo yatakuwaje. Nikawaambia sikuota mechi nzima bali hiko kipande tu.
2-2Inavyoonekana fainali ni Arsenal vs Inter milan
Barca nimewanyooshea mikono