Wewe na shoga yako kenge mchukue kombe au msichukue hayo ni matatizo yenu. Arsenal tuna yetu makubwaKwenye sala zenu ombeni sana dua Man Utd na Chelsea tusibebe kombe, la sivyo hili jukwaa la Arsenyo Queens litapitia dhahama kubwa sana mpaka nimejikuta nimeanza kuwahurumia. View attachment 3322235
