Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Akili za kocha hizo, sijui huwa anataka kuprove nini. Benchi mabeki anao.
Akili za kocha hizo, sijui huwa anataka kuprove nini. Benchi mabeki anao.
Akili za kocha hizo, inashangaza sana.Mnamchukua Sterling kwa mkopo, halafu mnamtoa Leece Nelson kwa mkopo!!!!!!!
Partey kucheza RB nafikiri ni kwa sababu kulikuwa hakuna mwingine wa kuwekwa hapo katika hizo mechi. Kama Timber alikuwa fit basi Saliba au Gabriel hawapo hivyo Timber akakaa CB, na kina White na Tomiyasu hawakuwepo...
Bahati ilikuwa upande wake dk ya 90+ , wangeenda dk 30 pengine Celtic angepenya.Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.


Uefa walivyo na nongwa draw inayofata wanawapangia na Bayern makusudi kabisa ili juhudi zenu zote mkazielekeze huko kwenye Epl.
Kama kawaida. Timu zetu bishi ni Bayern na Barcelona. Tunaweza kuzikuta kwenye form mbaya ila tunajikuta tunatolewa nazo tu. Msimu jana Arteta alijikoroga kumuweka Kiwior namba 3 badala ya Tomiyasu na ikala kwetu.Uefa walivyo na nongwa draw inayofata wanawapangia na Bayern makusudi kabisa ili juhudi zenu zote mkazielekeze kwenye Epl. View attachment 3241805
Kitu ambacho hamuwezi kuwa nachoLiverkuku kashakata moto ni sisi tu kuwa na mentality ya ubingwa.
Morali itakuja msimu huu kwa maana tumetokea nyuma kwa points,misimu mingine mda huu tupo kileleni tunaenda poteana mwishoniKitu ambacho hamuwezi kuwa nacho
Nakuhakikishia Man City anamaliza juu Arsenal.Liverkuku kashakata moto ni sisi tu kuwa na mentality ya ubingwa.
Hehehe huko CL tu kashindwa kumaliza juu ya ArsenalNakuhakikishia Man City anamaliza juu Arsenal.
Achana na mambo ya nguvu za gizaHehehe huko CL tu kashindwa kumaliza juu ya Arsenal
Kombe linatutafuta misimu hii mi 3 mfululizo ila tunayatimba wenyewe.Liverkuku kashakata moto ni sisi tu kuwa na mentality ya ubingwa.
Kwenye Mei hivi mkuu, sauti ya jumbe hii itakua inatosha kusikika.Hehehe huko CL tu kashindwa kumaliza juu ya Arsenal
SawaKwenye Mei hivi mkuu, sauti ya jumbe hii itakua inatosha kusikika.