Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Partey kucheza RB nafikiri ni kwa sababu kulikuwa hakuna mwingine wa kuwekwa hapo katika hizo mechi. Kama Timber alikuwa fit basi Saliba au Gabriel hawapo hivyo Timber akakaa CB, na kina White na Tomiyasu hawakuwepo...
Nafikiri Arteta alikuwa analazimika tu kumchezesha hapo maana majeruhi walikuwa wengi.
 
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
 
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
Bahati ilikuwa upande wake dk ya 90+ , wangeenda dk 30 pengine Celtic angepenya.
 
Bayern amepenya aisee. Huyu mhuni huwa hatumtaki kabisa. Ila Atalanta na Milan naona wametolewa. Huu mfumo mpya kweli hauna huruma. Ukiteleza kidogo unaweza kujikuta umeanguka kabisa.
Tuone kama ManC115y atapindua meza leo.
Uefa walivyo na nongwa draw inayofata wanawapangia na Bayern makusudi kabisa ili juhudi zenu zote mkazielekeze huko kwenye Epl.
1713782188650.jpg
 
Uefa walivyo na nongwa draw inayofata wanawapangia na Bayern makusudi kabisa ili juhudi zenu zote mkazielekeze kwenye Epl. View attachment 3241805
Kama kawaida. Timu zetu bishi ni Bayern na Barcelona. Tunaweza kuzikuta kwenye form mbaya ila tunajikuta tunatolewa nazo tu. Msimu jana Arteta alijikoroga kumuweka Kiwior namba 3 badala ya Tomiyasu na ikala kwetu.

Uzuri ni kwamba Arteta ni mwepesi wa kujifunza kuliko watu wanavyofikiri. Ndiyo maana msimu kwa msimu wale wabaya wetu haswa wanazidi kuteseka kwa kutokutufunga. Itafika wakati tukikutana na Bayern tutaona ni sawa na kukutana na West Ham tu kama ilivyo tukikutana na Manchester United.
 
Kuanzia jana kuna mashabiki wameitukana Villa.

But, swali langu ni kwanini hatushindi mechi zetu? Msimu wa nne mfululizo unatarajia miujiza ya timu zingine si uongo huu
 
Unajua kwamba Arsenal tunastruggle hivi kwakua wameumia wachezaji wangapi? 5.

Katika hao 5 regular starters ni 3. Saka, Martinelli na Kai. Wawili waliobaki inategemea kocha kaamkaje, Jesus na Takehiro.

Kimahesabu unahitaji wachezaji 7 tu wa ndani ya uwanja wanaojua wanataka nini ili kushinda mechi.

This means either we are too dependent on pattern or we have to add 3 world class players
 
Back
Top Bottom