Very tricky question.
Rodrygo ana skills, analijua goli, anaweza take ons na dribbles na ni shooter mzuri. Ila Rodrygo siyo finished article, so akija Arsenal atatakiwa kuadopt.
Kwa 100M kumleta mchezaji ili aadopt ni uchizi, pili kama Arsenal kweli tunahitaji makombe wachezaji wa mpaka waadopt siyo option tena.
Swali lako linakua tricky kwakua ni kama linamaanisha "Yanahitajika makombe, Rodrygo ni mchezaji sahihi?" Hapa sasa ndiyo kujibu swali inakua ngumu. Ni mzuri ila ana uzuri wa kutosha kuleta instant impact? Hapo sina uhakika. Ila kama anakuja wakurupuane na Martinelli ni sawa