Na yamekaza fuvu kabisa na nyuso , haya majamaa kwa kujazana ujinga haya 😅😅😅😅😅😅😅,eti yanajiita bingwa wa epl na UEFA msimu huuHaya makenge yalikuwa yanataka ubingwa
Braza umesubsrcibe mpaka matakataka ya Taifa Stars??? 😂😂😂😂😂😂😂Leo hata kuangalia mechi sikua na huo mpango ila Fotmob nimesubscribe timu 3. Taifa Stars, Arsenal na Sheffield.
So notifications za hizi timu hua zinakuja tu. Ikanialert in 15 minutes game inaanza mi nikawa nacheki game ya Lecce na Napoli. Hii mechi kwetu haina faida, mshindi kashajulikana, mtu wa kwanza mpaka wa tano anaenda CL so ukimaliza second na Forest akamaliza 5th wote mnakutana CL.
Nikapata alert Rice kascore.
Nikapata alert Bournemouth kascore.
Nikapata alert Bournemouth kascore ila VAR inacheki goli.
Jumanne si tutabanduliwa kama ndiyo hivi


Hii timu kuanzia mwanzo wa msimu mpaka game ya 28 inaitwa Arsenal, zikibakia game 10 za mwisho inabadilika na kua Arsenalia, Jukwaa linageuka kutoka furaha na kua vilio. Mimi ni mTanzania. Nisiposupport Taifa Stars sina timu nyingine tenaBraza umesubsrcibe mpaka matakataka ya Taifa Stars??? 😂😂😂😂😂😂😂
na hio mechi itakuwa ngumu kwenu sababu huku epl bado hatujamalizana na nyie nafasi ya pili kushuka chini mpaka wa 7 mmepisha point 10 soo hamuwez zarau mechi za ligi huku wenzenu kama kawaida yao wanaweka 1st squad yote bench maana washa beba kombe watakuwa wanacheza 30 mins for match fitness tu sio kukamia then baada ya hapo wanaingia fresh kuwakamia watu waliotoka kwenye fatigue ya kugombania top 5 epl
mbona kazi bado mbichi hii
Kwako wew unaona rodrygo anafaa kuichezea arsenalArsenal inamtaka Rodrygo wa Madrid. Rodrygo ametaka aongee kwanza Xabi ili ajua kama ana uhakika wa namba kisha afanye maamuzi.
Starting price ni 100M
Very tricky question.Kwako wew unaona rodrygo anafaa kuichezea arsenal
Umejibu vizury kiongozi, itakua lengo moja wapo ni ushindani wa namba kama hapo ulipogusia kwa martinelli.Very tricky question.
Rodrygo ana skills, analijua goli, anaweza take ons na dribbles na ni shooter mzuri. Ila Rodrygo siyo finished article, so akija Arsenal atatakiwa kuadopt.
Kwa 100M kumleta mchezaji ili aadopt ni uchizi, pili kama Arsenal kweli tunahitaji makombe wachezaji wa mpaka waadopt siyo option tena.
Swali lako linakua tricky kwakua ni kama linamaanisha "Yanahitajika makombe, Rodrygo ni mchezaji sahihi?" Hapa sasa ndiyo kujibu swali inakua ngumu. Ni mzuri ila ana uzuri wa kutosha kuleta instant impact? Hapo sina uhakika. Ila kama anakuja wakurupuane na Martinelli ni sawa