Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyetoooooooz , yamepigwa tenaaaaaaaaa , AsenyetooooooooZzzzzzzzzzz back to default mode , ninyi ni loosers
 
Screenshot_20250503_220000_Facebook.jpg
 
Leo hata kuangalia mechi sikua na huo mpango ila Fotmob nimesubscribe timu 3. Taifa Stars, Arsenal na Sheffield.

So notifications za hizi timu hua zinakuja tu. Ikanialert in 15 minutes game inaanza mi nikawa nacheki game ya Lecce na Napoli. Hii mechi kwetu haina faida, mshindi kashajulikana, mtu wa kwanza mpaka wa tano anaenda CL so ukimaliza second na Forest akamaliza 5th wote mnakutana CL.

Nikapata alert Rice kascore.

Nikapata alert Bournemouth kascore.

Nikapata alert Bournemouth kascore ila VAR inacheki goli.

Jumanne si tutabanduliwa kama ndiyo hivi
Braza umesubsrcibe mpaka matakataka ya Taifa Stars??? 😂😂😂😂😂😂😂
 
Hii timu kuanzia mwanzo wa msimu mpaka game ya 28 inaitwa Arsenal, zikibakia game 10 za mwisho inabadilika na kua Arsenalia, Jukwaa linageuka kutoka furaha na kua vilio.
Sasa kama Bournemouth tu anawapiga nje ndani, kweli jumatano mtaweza kupindua meza kwa ile mijitu ya miraba 6 pale Parc des Princes?



#Arsenalia
1740382991259.jpg
 
Huyo Saka mnayemuona ndio star men wenu ambaye mlikuwa mnaamini akiwa fit mnachukua EPL tangu amerudi amewasaidia nini ??

Mmebahatisha point 9 kwenye possible 18 points na Saka akiwemo.
 
wadau wa mpira tuliliona hili mapema sana sasa nyie arsenal jumaa tano mnaingia na fatigue kidogo wakati wenzenu 98% ipo reserved mazoezini huo mpira wa comeback mnaofikiria sio rahisi kiivyo japo kwenye mpira lolote linawezekana

Tactic approach ya arsenal itakuwa sawa na approach aliotumia kwenye mchezo wake na Liverpool ulioisha
2-2 pale Emirates walianza kwa kasi ya ajabu kutafuta goli la lazima mapema ili wakae kwenye mfumo wao kilichotokea ikawa piga ni kupige hawafikiria hili linaweza kutokea huko ikitokea wamepata bao la mapema kwamba nao psg wata react na mchezo kuzidi kuwa mgumu kwa arsenal mlima wa aggregate kuzidi kujaa
na hio mechi itakuwa ngumu kwenu sababu huku epl bado hatujamalizana na nyie nafasi ya pili kushuka chini mpaka wa 7 mmepisha point 10 soo hamuwez zarau mechi za ligi huku wenzenu kama kawaida yao wanaweka 1st squad yote bench maana washa beba kombe watakuwa wanacheza 30 mins for match fitness tu sio kukamia then baada ya hapo wanaingia fresh kuwakamia watu waliotoka kwenye fatigue ya kugombania top 5 epl

mbona kazi bado mbichi hii
 
Arsenal inamtaka Rodrygo wa Madrid. Rodrygo ametaka aongee kwanza Xabi ili ajua kama ana uhakika wa namba kisha afanye maamuzi.

Starting price ni 100M
 
City iliona mambo hayaendi. January akatumia 250M ili apate nafasi ya kucheza CL.

Arsenal tukaona mambo hayaendi. Ili kushindania kombe la ligi na CL hatukusajili mchezaji yeyote January
 
Kwako wew unaona rodrygo anafaa kuichezea arsenal
Very tricky question.

Rodrygo ana skills, analijua goli, anaweza take ons na dribbles na ni shooter mzuri. Ila Rodrygo siyo finished article, so akija Arsenal atatakiwa kuadopt.

Kwa 100M kumleta mchezaji ili aadopt ni uchizi, pili kama Arsenal kweli tunahitaji makombe wachezaji wa mpaka waadopt siyo option tena.

Swali lako linakua tricky kwakua ni kama linamaanisha "Yanahitajika makombe, Rodrygo ni mchezaji sahihi?" Hapa sasa ndiyo kujibu swali inakua ngumu. Ni mzuri ila ana uzuri wa kutosha kuleta instant impact? Hapo sina uhakika. Ila kama anakuja wakurupuane na Martinelli ni sawa
 
Very tricky question.

Rodrygo ana skills, analijua goli, anaweza take ons na dribbles na ni shooter mzuri. Ila Rodrygo siyo finished article, so akija Arsenal atatakiwa kuadopt.

Kwa 100M kumleta mchezaji ili aadopt ni uchizi, pili kama Arsenal kweli tunahitaji makombe wachezaji wa mpaka waadopt siyo option tena.

Swali lako linakua tricky kwakua ni kama linamaanisha "Yanahitajika makombe, Rodrygo ni mchezaji sahihi?" Hapa sasa ndiyo kujibu swali inakua ngumu. Ni mzuri ila ana uzuri wa kutosha kuleta instant impact? Hapo sina uhakika. Ila kama anakuja wakurupuane na Martinelli ni sawa
Umejibu vizury kiongozi, itakua lengo moja wapo ni ushindani wa namba kama hapo ulipogusia kwa martinelli.
 
Ni kivipi Brighton ameweza kuscore dk ya 28 dhidi ya Newcastle na akalinda goli mpaka dk ya 88?

Game management ya Arsenal is worrying. Miaka miwili nyuma Arsenal ilikua inaweza kuiongoza timu pinzani goli mbili na mechi ikaisha suluhu. Zikatoka lawama swala likaisha.

Sasa huku mwisho limeanza upya.

Na kitu kimoja. Kama unahisi Arteta ni tatizo technically nakuhakikishia jamaa anaweza kutoka Arsenal na akaenda timu nyingine na akafanya vizuri. Mshkaji siyo mbaya ila financial backup ya bodi ni kichomi.
 
Back
Top Bottom