


Arsenyo msimu huu wamebeba makombe mawili.
- Kombe la kwanza ni kumfunga City goli 5 (hapa misukule wanakwambia hii ni zaidi ya kubeba Epl)
- Kombe lao la pili ni kumfunga Madrid nje ndani ( Hapa misukule inadai kua hii ni zaidi ya kubeba Uefa)
Hakika ndugu zetu Arsenyau msimu huu ulikua ni zaidi ya mafanikio kwenu, Masingeli hapa anasema msimu huu Tetea na Arsenyau yake wamekua overachieved, maana malengo yao Epl ilikua ni top 4 sasa kushika nafasi ya 2 imekua kama bonus, na upande wa Uefa kufika Quarter-finals imekua ni surprise kubwa sana kwao achilia mbali kumpiga nje ndani Madrid.
Kwa mafanikio hayo chawa za Masingeli kina
mkorea na
arsenal2004 wanadai kwa sasa Tetea ndio kocha bora wa dunia, anaebisha apimwe akili.
View attachment 3323528