PSG iliyofungwa 3 na Villa ni PSG ambayo iliomba isicheze mechi yoyote kwa week nzima ili ijiandae dhidi ya mechi na Villa.
Hii ni PSG ambayo inaaminiwa kumtoa Arsenal![]()




















Tunaanza circle tena.
Mwanzo ilikua Madrid atawatoa. Akafa 3.
Ikaahidiwa comeback for a week.
Madrid kafa tena.
Wameanza ujinga wa kusema PSG atatukomesha.
These fools never learn









Dah, AiseeFor the sake of EPL's dignity, we should do everything possible to eliminate PSG, not even by chance we should allow those oil money spoiled brats to eliminate us.
Itakuwa ni aibu kubwa sana kwa EPL Liverpool, Aston Villa na Arsenal kutolewa na timu inayocheza ligi ya wakulima..
Imagine jamaa wameshatangaza ubingwa bado mechi 6 na hawajapoteza game yoyote kwenye league 1 mpaka sasa hili kuonesha ligi yao ni ya wakulima..
Naamini wachezaji wetu watatunza heshima ya EPL
Yeah of course it's..
Arsenal VS Inter in Munich, Allianz Arena 31/O5/2025... save the date




Yaani wewe sijui ni lini utakuja hapa kushangilia Makombe.Loserfools ilikua kila wakikutana na Vardrid Mudi ataanza kupost online 'Revenge' halafu wanabondwa.
Ilifikia hatua ikabidi aache kuandika revenge. Na bado wakabondwa.
Kwa Arsenal mambo yamekua tofauti
Kuna mmoja anaitwa kiwio 😂Timu ina mchezaji anaitwa mbao ina mchezaji anaitwa mchele halafu inataka kumfunga PSG!
Mchezaji ana mlio wa kuku halafu unataka kumfunga PSG ukachujue UEFA.Kuna mmoja anaitwa kiwio 😂
SawaSubiri siku icheze arsenal women utaona wadau watakavyojaa humu![]()
Kwa uchambuzi wao humu kuhusu uwepo wa partey generally wao basi tuwape goli lao moja 1-1 kwaio kule wanaenda kuanza full mkoko na partey wao kati ...hapo hamna psg hata mmoja ataweza kupitisha mpira na mpira utakuwa unapigwa kwenda lango la psg dakika 90 zote na wao arsenal kutoka na ushindiKwahiyo tufute goli kisa partey hakuwepo kwahiyo mlicheza pungufu hamkuwa 11 hahaha watu wameshachanganyikiwa hukuuu🤣🤣🤣🤣
Kwa sasa hakuna utatu uliokamilika wa team yoyote kama hawa Vitihna shimoni ,Ruiz kishoto ,na Neves kulia hawa jamaa wanakupa Energy ,top passing Ability,wana scan sana matukio ,technical awareness ya Hali ya juu ,labda siku Yao ikiwa mbaya utawazima kama game ya Astonvilla Unai aliwapatia akawa shut downKwa uchambuzi wao humu kuhusu uwepo wa partey general wao basi tuwape goli lao moja 1-1 kwaio kule wanaenda kuanza full mkoko na partey wao na kati hapo hamna psg hata mmoja ataweza kupita ya mpira utakuwa unapigwa kwenda lango la psg dakika 90 zote na wao kutoka na ushindi
unajua hawa jamaa nashindwaga kuwaelewa sijui ni mapenzi yamewajaa sana maana ukiangalia timu kama Liverpool yenye Quality Cm na Dm ya maclister na Gavernech walishindwa ku opt kitu chochote kule paris wao wanamuona partey kama mkombozi wao na wakati wanajua kwa upande wa mtu akiwa nyumban hamuwez jiachia sana mtapewa aibu kubwa lazima mcheze kwa taadhari maana unakutana na wajomba wa wili hawa Vitihna na ruiz hawa kwa midfielder wa sasa hivi quality yao ni yakina dejong na pedri kwaio swala la midfield haitakuwa sababu kubwa ukizingatia partey huyo huyo alikuwepo bernabeu na mka dominatiwa vizur na wagonjwa wale ila safu yao ya ulinzi ilikuwa mbovu wakaishia kupiga cross tu jee wanafikiri psg ni timu ya kupiga piga cross wakiwa Nyumbani nooo hao wana pita hapo hapo kati na partey wao akiwepo