Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal wenyewe chagueni wa kujutana nae hapa leo kma mtapita maaana sioni hata kma mnamuweza mmoja wapo hapa
 
Mkuu hii hali hara mimi huwa inanitokea mara kwa mara aisee🤔

Labda ni mambo ya relativity (hata siijui vizuri hii theory).Labda inawezekana kama tumeshaishi maisha tunayoyaona sasa hivi ila hatukumbuki tu na ndoto ni njia tu ya kutukumbusha ya mbele yajayo. Imagine kama miaka 20 mbele huko tayari ishatokea sema hatukumbuki tu...

Itapendeza sana ka Arsenal tayari tushabeba kombe halafu hatukumbuki tu ya mbele na tunajistress tu bure hapa.
 
Mkuu hii hali hara mimi huwa inanitokea mara kwa mara aisee🤔


Labda ni mambo ya relativity (hata siijui vizuri hii theory).Labda inawezekana kama tumeshaishi maisha tunayoyaona sasa hivi ila hatukumbuki tu na ndoto ni njia tu ya kutukumbusha ya mbele yajayo. Imagine kama miaka 20 mbele huko tayari ishatokea sema hatukumbuki tu...

Itapendeza sana ka Arsenal tayari tushabeba kombe halafu hatukumbuki tu ya mbele na tunajistress tu bure hapa.
 
Inter wamemaster hii mbinu ya kukususia possession halafu wanafocus na kutafuta matokeo.

Walitunyoosha na plan hii hii
 
Saka anafanya vitu basic precisely hana kuremba.

Yamal anafanya vitu basic precisely na anaweza kukurembea mpira. Akiwa consistent barca wana bonge la winger
 
Inter kipa wao angekua Wojciech au Onana ingekua ni kilio na kusaga meno
 
Kuna mbuzi aliliwa mkeka jana na akawa ameyaamini maneno ya hydroxo kwamba barca anatoboa na leo ameliwa tena.
 
4 games

PSG vs Villa home and away
PSG vs Loserfools home and away
Loserfools away won 1 - 0 goli la jioni. Home lost 1 - 0
Villa away were defeated 3 - 0. Home they won 3 - 2

Ni kivipi Villa walimanage kuscore magoli 3? Aliyechukua kombe England, Loserfools, akiwa nyumbani couldn't do that. What happened?

Loserfools walishinda first leg, second leg opted same route waliyopita nayo first leg. Absorb pressure, Dembele disappointed them kwa goli la mapema la dakika ya 12. Loserfools reacted but luck was never by their side.

Three big chances, na zote wakamiss.

Njoo kwa Villa, first leg wakafungwa 3. Second leg mapema tu dakika ya 11 PSG wanapata goli la kwanza. Villa reacted, ikawapa 6 big chances ambazo 5 wakamiss ila wakascore magoli 3 PSG wakapata mawili.

I think attitude determined kila kitu kwenye game na PSG, Loserfools wakiwa away walicheza kama underdog ila home right after goli la mapema la Dembele wakaopt different tactic. But tangu mwanzo attitude ilikua kulinda ushindi.

Villa second leg ilikua hawana cha kupoteza so they went all out. Dignity ilishakua tainted Paris so hawakua na cha kupoteza. Their attitude gave them three goals, forward yao plus Rogers na McGinn wote wakawa focused na shooting.

Second leg against PSG inabidi tuache tabia mbili tatu unnecessary sideway passes, hesitation kwenye kushoot, CMs kusambaratika. Nashindwa sema Partey angekuepo ingetubeba kwakua tulikua shit kwenye kucapitalize chances, hii haihusiani na Partey.

Tukutane tena
We ni kenge
 
Notice no one hatowashangaa Inter kumfunga Barca.

Wala hakuna atakayeshangaa Barca kushindwa kumfunga Inter.

It's all routine mpaka big team icheze
 
Back
Top Bottom