Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu sio powa Mimi huwa nalia Kabisa aisee 😀 😀😃😃
 
Mie match ambazo sitazisahau ni hii ya citizens kutolewa semi final na Madrid.

Afu Simba kutolewa na wydad kwa mikwaju ya penalt ktk quarter final CAFCL, chama na Kapombe walikosa, nililia ile siku hatarii.

Hizi game zita zisahau maishani. Lol
 
Mie match ambazo sitazisahau ni hii ya citizens kutolewa semi final na Madrid.

Afu Simba kutolewa na wydad kwa mikwaju ya penalt ktk quarter final CAFCL, chama na Kapombe walikosa, nililia ile siku hatarii.

Hizi game zita zisahau maishani. Lol
Hiyo ndio raha ya mpira...ndugu zetu wa Aseno naona hali si hali thread imekwama😃
 
Mtu akikusoma anaweza kujua uko serious kweli.

Kumbe unaandaa scene za comedy kama Ndaro.
 
Mmh

Mtu hata PSG hujamtoa unawaza fainali.

Hii timu mashabiki wake wanapenda kujipa matumaini yaliyopitiliza.
 
Yaani huyo Timbulo mnaetupigia makelele humu kua ndio beki bora duniani jinsi Kvicha anavyomnyanyasa sidhani kama atamaliza dakika 90 bila ya kuchezea umeme.
Akaamua kukimbia mechi sub yake akachukua Ben mweupe....😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…