Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ulipiga yowe πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Sio kwa yowe lile nililopiga, nyie nililia, sikulala ile siku, naona maruwe ruwe, kitanda km kinazunguka vileee
Woiiiiiih πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hivi
 
Pole sana Hilo yowe hata Mimi nililitoa siku ile psg anatupiga sie Liverpool sio powa nilikuwa naona mauza uza kama hiviView attachment 3320200
Hiyo ndio raha ya UEFA🀣...mimi nakumbuka fainali ya 2005 Liverpool anarudisha goli 3 dhidi ya Milan halafu wanabeba kombe ile mechi aisee nusu nizimie nilishangaa nasikia maumivu makali kifuani halafu kama hewa inakata nashindwa kuongea. Nakumbuka nilifakamia konyagi kama sina akili nzuri kupunguza maumivu lakini wapi ....mpaka leo sijawahi kuisahau hiyo game
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…