Itakuwa haujatusoma vizuri au hujatuelewa mkuu.Mkiambiwa nyie hazipo huwa mnakataa, mnawaza nusu wakati madrid tu kawatanguliza na baiskeli ya barafu halafu mbele kuna bonge moja la jua.
Ukiangalia mfano ile mechi ya juz ya dortmund,ni kwa sababu tu dortmund hawana watu wenye quality ya kutumia zile open space walizokuwa waanacha barcelona,Barcelona akicheza na arsenal hautamuona yamine akiwa free vile atafanywa kama vin jr alichofanywa,arsenal imeundwa kupambana zaidi na timu kubwa kuliko ata timu ndogoKwa nini mkuu?
Mimi naona kufika quarter finals mara mbili mfululizo ni achievement kubwa kwetu kwa historia yetu ya hili kombe.
Ambao jumla walipiga shoot on target moja tu dk 90Mnachekesha humu jamvini! Mnataka mshinde uefa na kiwior? Saka ? Martineli ? Bichwa kubwa akili kisoda merino ? Kabla ya kuwaza ni nani mtakutana nae finally,,, wazeni fuko la magoli pale berbabeu,, ! Goli 3 ni chache sana kwa utatu wa vini , klyan na rodrigo,,, ! !
Tusubiri tuwaone pale Barnabeu watakavyo kuwa. Maana pale Barnabeu ndiyo pa kupindulia kila aina ya meza. Labda watapata on target 4 zitakazo zaa magoli ya ushindi...Ambao jumla walipiga shoot on target moja tu dk 90
Wazungu kumbe nao wanamakomwe!!Huyu jamaa alikaa Arsenal kwa miaka 14 akashika nafasi mbalimbali kabla ya kua CEO na mashabiki wengi wanamterm kama failure.
Ila hii ya kwenda Spurs ndiyo ya moto zaidi na inazidi kumuweka mbali na mashabiki.View attachment 3301347
Mara ya mwisho Arsenal kufungwa goli tatu ni mwaka 2023.Mnachekesha humu jamvini! Mnataka mshinde uefa na kiwior? Saka ? Martineli ? Bichwa kubwa akili kisoda merino ? Kabla ya kuwaza ni nani mtakutana nae finally,,, wazeni fuko la magoli pale berbabeu,, ! Goli 3 ni chache sana kwa utatu wa vini , klyan na rodrigo,,, ! !
Mnachekesha humu jamvini! Mnataka mshinde uefa na kiwior? Saka ? Martineli ? Bichwa kubwa akili kisoda merino ? Kabla ya kuwaza ni nani mtakutana nae finally,,, wazeni fuko la magoli pale berbabeu,, ! Goli 3 ni chache sana kwa utatu wa vini , klyan na rodrigo,,, ! !
MbwaDon't argue like a fool
Kwenye mpira kila kitu kinawezekana chief,,, historia pekee haisaidii, tuna 90mins nyingine pale Spain wacha tuoneMara ya mwisho Arsenal kufungwa goli tatu ni mwaka 2023.
Wamkodi na Lewandowski awasaidie.
OffsideTayari 1-0