Kama Arsenal ina mid players na iko nafasi ya pili kwenye ligi huku ina majeruhi 10+ na iko njiani kwenda nusu fainali CL basi tusubiri siku Arsenal ipate world class players kama Nyumbu ili ichukue kabisa makombe. Ni bahati mbaya nyumbu wapo nafasi ya 15 msimu wa nne mfululizo.
🤣What's funny ni pale J5 Madrid akigeuza kibao.
Nitacheka sana.
Nikikwambia kwamba hata mkishinda kesho unabaki ulipo utasemaje?View attachment 3302038
Hapa vipi
Safi sanaTayari 1-0
THIS IS DECLAN RICE GAME! Rice with an even better hit! Arsenal 2-0 Real Madrid
View attachment 3297451
View attachment 3297453
Hawa hawana hata haja ya kukutana na hao ma-giant wa UEFA. Wangekutana na A. Villa ndio wangejua hawajui.Mnachekesha humu jamvini! Mnataka mshinde uefa na kiwior? Saka ? Martineli ? Bichwa kubwa akili kisoda merino ? Kabla ya kuwaza ni nani mtakutana nae finally,,, wazeni fuko la magoli pale berbabeu,, ! Goli 3 ni chache sana kwa utatu wa vini , klyan na rodrigo,,, ! !