Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona Wafaransa wamekomaa, mandanda na ramsey wamesaidia kusiwe na goli.

Sio tabu,kipindi cha 2 wetu hawa
 
Former Arsenal defender Lee Dixon is at Emirates for BBC Radio 5 live: "I've no idea what Santos is doing. He just stands and lets opponents run behind him. He's got no idea what he's doing at left-back. He cannot defend!"


Mimi naskiliza kwenye bbc radio 5 live lakini kwa mujibu wa Dixon Santos haeleweki kama yeye ni beki ama winga.
 
PER ndo man of the match kwa hii 1st half... very nice n fine intercepts..... Ramsey kakosa magoli ya wazi kabisa... Walcott na Gervinho wote walikua na very nice game..... Jenkinson safi... Nadhani hata Sagna huko aliko atakua namkubali dogo.... @nd half ni kuacha upuuzi wa kukosa magoli ya kijinga and the winning bread will be on the table for us to cheer up....
 
Mimi naskiliza kwenye bbc radio 5 live lakini kwa mujibu wa Dixon Santos haeleweki kama yeye ni beki ama winga.

Jamaa ni slow flani hivi na kule kuna AYEW ambae ni sharp n fast... Ila inapanda safi na VER keshalijua hilo so most of the tym anakua anacover ule upande wake.... Ila ana pace safi... Ni mbovu ila sio kama ubovu wa game ya Chel5ea 1st half.....
 
Viktoria Plzen 0 - Barca 2.... Magoli yote kafunga Lionel Messi... la kwanza kwa Penalty...... Jamaa ni wabaya sana.... si wa kuombea kukutana nao kwenye last 16.....
 
Mimi naskiliza kwenye bbc radio 5 live lakini kwa mujibu wa Dixon Santos haeleweki kama yeye ni beki ama winga.

BBC 5 Live mara nyingi wananizungua, utafikiri kama Dixons alikua perfect wakati wake! Usiwasikilize sana hao Kweli, ghafla unaweza kuiona timu yako kama ni bomu hakuna!
Mpira mzuri tu, sawa Santos labda anapanda mno, ila kiukweli tunatafuta goli kwanza, ili Marseille watoke nyuma kule!

By the way Peasant yuko hai kweli? Huwa anarandaranda humu kwa siku kama za leo!
Kweli ilikua balaa!
 
PER ndo man of the match kwa hii 1st half... very nice n fine intercepts..... Ramsey kakosa magoli ya wazi kabisa... Walcott na Gervinho wote walikua na very nice game..... Jenkinson safi... Nadhani hata Sagna huko aliko atakua namkubali dogo.... @nd half ni kuacha upuuzi wa kukosa magoli ya kijinga and the winning bread will be on the table for us to cheer up....

kweli kabisa, 2nd half.
 
Half time and goalless-but pleanty of chances,Marseille stating really well but Arsenal having a shedload of opportunities with Ramsey particular wasteful
 
Tatizo la walcott ana mpira wa riadha.. Hajui kupunguza watu kama gervinho.
 
Back
Top Bottom