Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger aache masihara huyu mtoto Jenkinson hana hadhi ya kuanza kikosi cha kwanza.
 
kafanya nini cha ajabu leo? au ndo umekariri? mbona hata ramsey kaboronga sana tu?
 
loic remy anatoka, almafitano makes way in! remy hakucheza katika kiwango chake leo...
 
Back
Top Bottom