Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenyeji wa hapa hongera sana kwa 'ubatizo' mliowapa jamaa!! Najaribu kukokotoa jina hapa maana league hii ni uchuro mtupu... Chelse5, Blue5 au ChelseaFive kabisa??? Amueni wenyewe... Hongereni tena.
 
tatizo lako unafikiri uko entitled kupewa pongezi wewe tu sio vinginevyo. Mbona wewe hutoi hizo pongezi unazotaka kila Chelsea inaposhinda?!

Mkuu mpira wa leo mlizidiwa ujanja, RVP na Gervinho walikosa magoli mawili ya wazi kabla ya kuanza kufunga, hata pale uwanjani watu tulijua whatever happens mtafungwa. Mpira wenu ni mbovu, huwezi kukubali hilo lakini ukiangalia Arsenal walivyochukulia mpira wa leo hamkuwa na majibu kutoka kwa Theo, Gervinho na Walcott, Song kidogo leo ngoma haikumkubali, Arteta bado huwezi mlinganisha na Cesc wakati Ramsey anaendelea kukuza mpira wake na confidance. Ligi bado ni ndefu na safari hata nusu bado hivyo usiwe na wasiwasi. Mbinu zenu za kumfanyia fujo RVP zilijulikana na hazikuzaa matunda khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ile elbow atalipa tu we chubiri. Koscielny kafanya kazi kubwa sana leo ... .... .... ... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wenyeji wa hapa hongera sana kwa 'ubatizo' mliowapa jamaa!! Najaribu kukokotoa jina hapa maana league hii ni uchuro mtupu... Chelse5, Blue5 au ChelseaFive kabisa??? Amueni wenyewe... Hongereni tena.

khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee ubatizo walipewa na QPR chichi tumewapa komunyo ya kwanza bado wanachubiri kipaimara khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Peasant bwana Balantanda anadai yuko fit, ila kama atapata io "gongo" au JD kwa sana itakua tabu, ila kifupi, vijana wenye defence mbovu, na AW aliechanganyikiwa wamewapa kipigo cha ajabu! Sasa kama wata recover poa, ila sio siri, Peasant kudos! Ni mshabiki wa soka, katokea, wala hakujificha wala kusingizia chochote!
Ila leo ni "happy days".
Niko na JD natafakari yajayo! Ila kama unavyopenda kusema Balantanda, sie tunaenda game kwa game, AW is ....!
 
Wakuu.....

Nasikitika kwamba tangu ijumaa niki safarini na sikuwa na access ya internet wala TV na nimeingia mjini jioni hii so sijafuatilia derby ya Dsm ya Yanga na Simba wala hii ya derby ya London ya Chelsea na Arsenal.....

Nimefurahi kuona timu zangu zote leo zimeshinda katika derby zao so weekend yangu inaenda barabara kabisa.....


Chonde chonde jirani zangu msimtimue AVB.......

Hongereni sana Ze Ganaz wenzangu...

Arsenal: Together We Stand
 
Wakulu mpo?

Mimi sina mengi ya kusema maana tunafahamu kwamba Arsenal ina macho mengi yanayoitazama kila kukicha.

Ila kama nilivyosema kwenye post moja hapa kwamba naamini Arsenal itashinda mechi sita kuanzia ile ya Sunderland, ikaja Marseille, Steke, halafu Bolton na sasa Chelsea na mechi iliyobaki ni ya marudiano na Marseille na kumalizia na Borusia Dortmund.

Tukishinda mechi mbili za Emirates basi tutakuwa tumefuzu kucheza last 16 na mechi na ile mechi ya mwisho tunaweza kuchezesha timu iliyoifunga Bolton Wanderers Jumatano iliyopita.

[TABLE="class: image"]
[TR]
[TD]
vanepa_2040582i.jpg

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]



Robin Van Persie akitushukuru wapenzi wa Arsenal baada ya kumaliza kufunga goli lake la hat-trick.

[TABLE="class: image"]
[TR]
[TD]
vanpersietrio_2040583i.jpg

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Van Persie amefunga hat-trick mbili msimu huu.
[TABLE="class: image"]
[TR]
[TD]
terrypa_2040541i.jpg

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Kuna wakti JT alikuwa hawezi kuona na mipira mingi ilikuwa ni cross za Theo Walcott.

article-1319898870703-0E959F6400000578-11953_466x419.jpg

Mwishoni John Terry alikuwa hoi kabisa.
 
Hongereni wana jamvi nillikuwa Pub naangalia mpira sikuwa karibu na Net,mnisamehe kwa kutoshiriki nanyi hapa mchana.Naomba huu moto tuliouwasha usizimike,zaidi ya yote Wenger anatakiwa aangalie uwezekano wa kumuanzasha TV5 kwani defence yetu bado haijaelewana.
 
kosa la Chelsea coach kuweka 5 mid field baada ya kuweka goli la tatu, walisahau kuwa wanaweza kupigwa goli la kustukizia ndio utaona magoli yote yalikuwa ya kustukiza
Hongera Gooners kwa ushindi
 
Wakuu.....

Nasikitika kwamba tangu ijumaa niki safarini na sikuwa na access ya internet wala TV na nimeingia mjini jioni hii so sijafuatilia derby ya Dsm ya Yanga na Simba wala hii ya derby ya London ya Chelsea na Arsenal.....

Nimefurahi kuona timu zangu zote leo zimeshinda katika derby zao so weekend yangu inaenda barabara kabisa.....


Chonde chonde jirani zangu msimtimue AVB.......

Hongereni sana Ze Ganaz wenzangu...

Arsenal: Together We Stand
swahiba this time lazima ulambe sana gambe....
 
Wakuu.....

Nasikitika kwamba tangu ijumaa niki safarini na sikuwa na access ya internet wala TV na nimeingia mjini jioni hii so sijafuatilia derby ya Dsm ya Yanga na Simba wala hii ya derby ya London ya Chelsea na Arsenal.....

Nimefurahi kuona timu zangu zote leo zimeshinda katika derby zao so weekend yangu inaenda barabara kabisa.....


Chonde chonde jirani zangu msimtimue AVB.......

Hongereni sana Ze Ganaz wenzangu...

Arsenal: Together We Stand
Huenda hii ilikuwa wikiendi yako nzuri sana mwaka huu
 
Duuh!naona benchi linamnyemelea Per coz TV5 ndo anarejea mdogo mdogo halafu pia Wenger anaonekana kumkubali sana Koscienly.
 
Back
Top Bottom